lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,691
- 25,901
Nasikia na Tom Heaton baye tutasikia HERE WE GO. Golikipa mzee wa miaka 40 kutoka Manchester United, Huyu sina shida naye nilisikia tangu mwanzoni wma mwezi huu kwamba Chelsea wanataka kumsajili Golikipa veteran wa England atakayekuwa choice namba tatu baada ya Robert Sanchez, Mike Penders.