Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nasikia na Tom Heaton baye tutasikia HERE WE GO. Golikipa mzee wa miaka 40 kutoka Manchester United, Huyu sina shida naye nilisikia tangu mwanzoni wma mwezi huu kwamba Chelsea wanataka kumsajili Golikipa veteran wa England atakayekuwa choice namba tatu baada ya Robert Sanchez, Mike Penders.
1785183021897.png
 
Nimepata notifications likiwa na jina Henderson nikafurahi nikidhani ni yule kipa wa crystal palace, kuja kuchek vzr nakutana na Jordan Henderson ah kudadeki wallah WTF is this guys
 
Vipi Dastan Satpaev?
Alonso anampenda, anaweza kubaki, maybe baada ya preseaosn ndio tutajua vizuri ila Nicolas Jackson na Liam Delap, hakuna ujanja wabaki. Advantage ya Jackosn anaweza kupata timu nyingi zinazohitaji huduma yake ila bei kubwa sana na nafikri pia mshahara aliyokuwa analipwa Chelsea mkubwa kwa timu ndogo kuweza kumudu
 
Kama forest wameangalia mechi ya leo sidhani kama watatoa zaidi ya 20m, kuna kijeba kinaitwa Tosin kile hata bure hakuna team EPL inachukua
Ila Chelsea tumekusanya magalasa sana kmamake , imagine Tosin + wale wafaransa watatu viazi kama mabeki ,haya mamizigo yauzwe hara kwa paundi milioni 20 kila moja ,useless Kabisa kujaza dressing room
 
Ila Chelsea tumekusanya magalasa sana kmamake , imagine Tosin + wale wafaransa watatu viazi kama mabeki ,haya mamizigo yauzwe hara kwa paundi milioni 20 kila moja ,useless Kabisa kujaza dressing room
Matakataka kibao sana
 
Kama forest wameangalia mechi ya leo sidhani kama watatoa zaidi ya 20m, kuna kijeba kinaitwa Tosin kile hata bure hakuna team EPL inachukua
Mkuu mpira hauko hivyo pamoja na performance za ovyo za Madueke ila tumeweza kumuuza pound mil 50, Mason Mount msimu wake wa mwisho alipoteza namba kwa Joao Felix na akawa anaanzia benchi lakini tukamuuza Man united kwa pound mil 60
 
BREAKING

Mwamba huyo tayari

Je, ulijua kwamba Danny Welbeck alianza kucheza mpira mwezi Septemba 2008 katika klabu ya Manchester United akiwa na miaka 17 tu?

Na je, ulijua kwamba tarehe 15 Novemba 2008, kwenye mechi yake ya kwanza dhidi ya Stoke City, alifunga bao la yadi 30?

Miaka 18 baadaye, Chelsea wanamsajili kama mshambuliaji.

Karibu Danny Welbeck kwenye klabu ya Chelsea.

Kutoka Manchester United, kwenda Sunderland, kurudi Manchester United, kisha kwenda Arsenal na baadaye Watford, kisha Brighton na sasa Chelsea.

1785305733000.png
 
Huwa naheshimu sana wachezaji wa kitaliano hasa kwenye nafasi ya beki na middle huwa wanakuwa na product nzuri. Moja kati ya sajili Bora tuliofanya msimu huu ni sajili ya Marcos Palestra. Huyu bwana mdogo ana vitu vyote vya msingi vya mchezaji Bora Yuko vizuri both Tactically ana technically Mimi nilimuona kwenye mechi dhidi ya AC Milan na Napoli hizi ni team zangu pendwa kwenye ligi ya Italia alikuwa Bora sana ni aina ya defender anayekupa vitu vingi kwa wakati mmoja ni vile tu watu hawamzungumzii kama signing nyingine ndio maana sikushangaa kuteuliwa kuwa beki Bora wa ligi ya Italia kutokana na kiwango chake nafikiri James anaweza akawa beki wa kati wa pembeni dogo akacheza kama wing back.

Tukija kwenye nafasi nyingine kama Morgan Rogers na Maxence Lacroix ni signings nzuri wote hao wachezaji Wana mentality za kutaka kushinda kitu ambacho tulifeli kwenye signing zilizopita. Ukiangalia kwa Morgan Rogers ndio mchezaji Bora wa Aston Villa ameisaidia team yake kucheza michuano ya UEFA champions league kupitia magoals na Assist zake na ni mpambanaji.

Ukija kwa Maxence Lacroix ni mchezaji Bora wa Crystal Palace, ni camptain wao na kaisaidia Crystal Palace kupata taji la Conference league so ukiangalia signing zote zina watu ambao wanaozoefu na ligi, wakomavu na wapambanaji ndio maana msimu huu nina matumaini makubwa team yetu itafanya vizuri. Ukishakuwa na wachezaji wa namna hii wanakusaidia kwenye hatua za kuamua ubingwa.

NB: Nafasi ambazo tunapaswa kuongeza nguvu ni ya left defender na Chelsea wanajua Hilo na middle tumemaliza kazi.
 
BREAKING

Mwamba huyo tayari

Je, ulijua kwamba Danny Welbeck alianza kucheza mpira mwezi Septemba 2008 katika klabu ya Manchester United akiwa na miaka 17 tu?

Na je, ulijua kwamba tarehe 15 Novemba 2008, kwenye mechi yake ya kwanza dhidi ya Stoke City, alifunga bao la yadi 30?

Miaka 18 baadaye, Chelsea wanamsajili kama mshambuliaji.

Karibu Danny Welbeck kwenye klabu ya Chelsea.

Kutoka Manchester United, kwenda Sunderland, kurudi Manchester United, kisha Watford, Brighton na sasa Chelsea.

View attachment 3638957
Ni vile baadhi mashabiki viazi wasiojua mpira wanaponda huu Usajili, Ukimtoa Joao Pedro hakuna mshambuliaji mwingine wa Chelsea kafunga magoal kama Welbeck Katia kamba magoal 13 na katika hayo magoal ana penalty 1 tu na kwenye Top 10 ya washambuliaji wenye magoal mengi Welbeck anashika nafasi 9 wakati huo huo Nafasi ya 10 imeshikwa na Eli junior Kroupi wa Bournemouth ambaye anagombaniwa na Barcelona na Man City na ada yake ya Usajili imewekwa na Bournemouth pound million 111 wakati sisi tunampata Welbeck Bure na ni mzoefu kwenye ligi, analijua goal,huwa anatufunga sana alafu pia anawafunga team kubwa zote. Na huwa akiingia kutoka benchi anabadilisha mchezo wakati msimu uliopita ikitokea tumemtoa Joao Pedro mechi imeisha hawaoni kwamba Uongozi wamefanyia mapungufu ya msimu uliopita? au ni vile tuna hulka ya kupenda kulalamika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom