Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Welbeck aisee!!! tutaservive kweli EPL.
Unaikumbuka Madrid wanachukua Eufa champions league na yule mchezaji wao Joselu kutokea bench? Baada ya msimu huo akakimbilia Uarabuni, mpira inahitaji ujanja ujanja.

Kwangu mimi Welback ni back up ya uhakika. Kuna position kama forward na backline hutakuwi kuwa na young players wote.
 
Jordan Henderson tena aisee? Wa nin? Umri umeenda !!! Sema nini ? Xabi naona anataka watu viongozi na wazoefu EPL......baada ya kumkosa xhaka akajaa kwa Jordan

Pambaneni sasa mumpate
 
Welbeck aisee!!! tutaservive kweli EPL.
Nasikia na Jordan Henderson huko ni karibu na HERE WE GO. Mzee wa miaka 36, Chelsea yangu imekumbwa na nini jamani
1785182001832.jpeg
 
Jordan Henderson tena aisee? Wa nin? Umri umeenda !!! Sema nini ? Xabi naona anataka watu viongozi na wazoefu EPL......baada ya kumkosa xhaka akajaa kwa Jordan

Pambaneni sasa mumpate
Hata kama uzoefu, ila sio kwa henderson!! mchezaji mgumu kama jiwe, alipogeukia ndio huko huko anatoa pass, kwa henderson hapana aisee, huyu Alonso sio kaja kuhakikisha tunaenda championship kweli? Liva special Agent
 
Nasikia na Tom Heaton baye tutasikia HERE WE GO. Golikipa mzee wa miaka 40 kutoka Manchester United, Huyu sina shida naye nilisikia tangu mwanzoni wma mwezi huu kwamba Chelsea wanataka kumsajili Golikipa veteran wa England atakayekuwa choice namba tatu baada ya Robert Sanchez, Mike Penders.
1785183021897.png
 
Nimepata notifications likiwa na jina Henderson nikafurahi nikidhani ni yule kipa wa crystal palace, kuja kuchek vzr nakutana na Jordan Henderson ah kudadeki wallah WTF is this guys
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom