kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,821
- 20,816
Welbeck aisee!!! tutaservive kweli EPL.
Kwa squad player sio mbaya ....tayari mna Delap ! ALonso atenda na Pedro kama 1st choice
Welbeck aisee!!! tutaservive kweli EPL.
Bado kuna Emmega na yule dogo anaitwa nani sijui jina gumu, au wengine watatolewa mkopo
Unaikumbuka Madrid wanachukua Eufa champions league na yule mchezaji wao Joselu kutokea bench? Baada ya msimu huo akakimbilia Uarabuni, mpira inahitaji ujanja ujanja.Welbeck aisee!!! tutaservive kweli EPL.
Nasikia na Jordan Henderson huko ni karibu na HERE WE GO. Mzee wa miaka 36, Chelsea yangu imekumbwa na nini jamaniWelbeck aisee!!! tutaservive kweli EPL.
Henderson ni takataka bora hata kwa welbeck ina make senseJordan Henderson tena aisee? Wa nin? Umri umeenda !!! Sema nini ? Xabi naona anataka watu viongozi na wazoefu EPL......baada ya kumkosa xhaka akajaa kwa Jordan
Pambaneni sasa mumpate
Hata kama uzoefu, ila sio kwa henderson!! mchezaji mgumu kama jiwe, alipogeukia ndio huko huko anatoa pass, kwa henderson hapana aisee, huyu Alonso sio kaja kuhakikisha tunaenda championship kweli? Liva special AgentJordan Henderson tena aisee? Wa nin? Umri umeenda !!! Sema nini ? Xabi naona anataka watu viongozi na wazoefu EPL......baada ya kumkosa xhaka akajaa kwa Jordan
Pambaneni sasa mumpate
Kwa huyu hapana Bora hata XhakaNasikia na Jordan Henderson huko ni karibu na HERE WE GO. Mzee wa miaka 36, Chelsea yangu imekumbwa na nini jamani
View attachment 3638201
Ripoti zinadai, Joao Pedro na Emanuel Emegha watabaki na wengine wote wataondoka kwa kuuzwa au mkopo
Vipi Dastan Satpaev?Ripoti zinadai, Joao Pedro na Emanuel Emegha watabaki na wengine wote wataondoka kwa kuuzwa au mkopo
Kama forest wameangalia mechi ya leo sidhani kama watatoa zaidi ya 20m, kuna kijeba kinaitwa Tosin kile hata bure hakuna team EPL inachukua
Dogo ananyumbulika sanaVipi Dastan Satpaev?