Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii tu! ndio inayomfanya Tosin asiuzwe abaki kutoa utumishi wa MJOMBA kwa vijana wadogo wa Chelsea. Yeye akikaa kwenye squad msimu mzima hana sumu alimradi pochi inaingiza pesa.

1784978196512.png
 
Gittens hamna mchezaji mule, bado tu huamini tulipigwa
Si alipata injury mkuu Kuna wachezaji ukiwaangalia unaona kabisa huyu ana kitu ndicho anacho Gittens na chini ya Xabi Alonso nategemea atakuwa Bora Zaidi. Gittens kipaji anacho ana kasi, dribble alafu uwezo wa kupiga pass ni ile Hali yake ya kutojiamini ndicho kilichomfelisha we si umeona kiwango cha Hato wakati tunamaliza msimu? Alijiamini ndio maana tukaona performance nzuri tofauti na mwanzoni. Garnacho binafsi nilimkataa kabisa humu sikuona maajabu yoyote ingawa baadhi walikuwa wanamtetea atimaye umeona uongozi wamuuze.
 
Si alipata injury mkuu Kuna wachezaji ukiwaangalia unaona kabisa huyu ana kitu ndicho anacho Gittens na chini ya Xabi Alonso nategemea atakuwa Bora Zaidi. Gittens kipaji anacho ana kasi, dribble alafu uwezo wa kupiga pass ni ile Hali yake ya kutojiamini ndicho kilichomfelisha we si umeona kiwango cha Hato wakati tunamaliza msimu? Alijiamini ndio maana tukaona performance nzuri tofauti na mwanzoni. Garnacho binafsi nilimkataa kabisa humu sikuona maajabu yoyote ingawa baadhi walikuwa wanamtetea atimaye umeona uongozi wamuuze.
Gitten ni madueke mtupu hamna kipaji pale tulipigwa, tokea aje chelsea cjawahi kuona perfomance nzuri kutoka kwake, hajui kudrible wala kutoa pasi, cjui hata hayo uliyaonea wapi? tukiendelea kutegemea wachezaji wa hovyo kama hao hata nafasi ya kumi tutaisikia kwenye bomba.
 
Gitten ni madueke mtupu hamna kipaji pale tulipigwa, tokea aje chelsea cjawahi kuona perfomance nzuri kutoka kwake, hajui kudrible wala kutoa pasi, cjui hata hayo uliyaonea wapi? tukiendelea kutegemea wachezaji wa hovyo kama hao hata nafasi ya kumi tutaisikia kwenye bomba.
Mkuu ulikuwa hufuatilii mechi za Chelse. Gittens alikuwa kwenye ubora wa juu dhidi Ajax UEFA champions league aliweka record kwa create chances 5 za wazi kwa wenzake na kutoa Assist 1 na kwa huo mchezo yeye ndio alichaguliwa kuwa man of the match. Pia Kuna mechi ya Carabao dhidi ya wolves mechi ilisha 3 kwa 2 kwenye hii mechi alitoa Assist 2 na kufunga goli la kideo lenye umbali mrefu kati ya Top 3 ya magoal Bora yaliyofungwa na Chelsea la kwake ni mojawapo na kwenye hii game alichaguliwa kuwa man of the match.
 
Mkuu ulikuwa hufuatilii mechi za Chelse. Gittens alikuwa kwenye ubora wa juu dhidi Ajax UEFA champions league aliweka record kwa create chances 5 za wazi kwa wenzake na kutoa Assist 1 na kwa huo mchezo yeye ndio alichaguliwa kuwa man of the match. Pia Kuna mechi ya Carabao dhidi ya wolves mechi ilisha 3 kwa 2 kwenye hii mechi alitoa Assist 2 na kufunga goli la kideo lenye umbali mrefu kati ya Top 3 ya magoal Bora yaliyofungwa na Chelsea la kwake ni mojawapo na kwenye hii game alichaguliwa kuwa man of the match.
Mkuu, tukubali tukatae Gitten ni tapeli
 
Mkuu, tukubali tukatae Gitten ni tapeli
Utamuitaje kijana wa miaka 21 tapeli, ni swa na kumtukana mamba wakati hujavuka mto, gittens ni swala la misimu miwili chini ya kocha anayemjulia na kumtia moyo. Hata Garnacho watakuja kuwa wachezaji wa kutamanika. Sio kila mchezaji anadevelop kikamilifu chini ya umri wa mika 23 au 25
 
Welbeck au sio.....?
Mtitakiwa striker ambaye atakuja kutishia namba ya Pedro......

Au mmeangalia cheap option?? Wacha tuone
 
Kwenye uzoefu pia naona ni kigezo kikubwa cha alonso kumtaka Welbeck....achana na mambo ya bei ama mshahara!

Sasa hivi soko limekuwa gumu hasa kuanzia kiungo kwenda mbele .... mchezaji wa kawaida utapigwa hela ndefu na atataka mshahara mkubwa ......

Diomande over €100m ? Soko limekuwa hivo lembu
 
Welbeck au sio.....?
Mtitakiwa striker ambaye atakuja kutishia namba ya Pedro......

Au mmeangalia cheap option?? Wacha tuone
Joao Pedro kwetu ni striker no 1 wetu ni kama Hallaand pale Man city kwahiyo na ukizingatia Joao Pedro sio injury prone ndio maana tunamleta Danny Welbeck kuwa kama Back up wake Kwanza ni mzuri na anafunga decision goals mara nyingi, Pili ni mzoefu na anaijua ligi vizuri kafunga big six wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom