Gittens hamna mchezaji mule, bado tu huamini tulipigwaNimecheki clips zake Yuko vizuri sana tutatengeneza kikosi cha ushindani sana hata Gittens msimu atakaza
Si alipata injury mkuu Kuna wachezaji ukiwaangalia unaona kabisa huyu ana kitu ndicho anacho Gittens na chini ya Xabi Alonso nategemea atakuwa Bora Zaidi. Gittens kipaji anacho ana kasi, dribble alafu uwezo wa kupiga pass ni ile Hali yake ya kutojiamini ndicho kilichomfelisha we si umeona kiwango cha Hato wakati tunamaliza msimu? Alijiamini ndio maana tukaona performance nzuri tofauti na mwanzoni. Garnacho binafsi nilimkataa kabisa humu sikuona maajabu yoyote ingawa baadhi walikuwa wanamtetea atimaye umeona uongozi wamuuze.Gittens hamna mchezaji mule, bado tu huamini tulipigwa
Gitten ni madueke mtupu hamna kipaji pale tulipigwa, tokea aje chelsea cjawahi kuona perfomance nzuri kutoka kwake, hajui kudrible wala kutoa pasi, cjui hata hayo uliyaonea wapi? tukiendelea kutegemea wachezaji wa hovyo kama hao hata nafasi ya kumi tutaisikia kwenye bomba.Si alipata injury mkuu Kuna wachezaji ukiwaangalia unaona kabisa huyu ana kitu ndicho anacho Gittens na chini ya Xabi Alonso nategemea atakuwa Bora Zaidi. Gittens kipaji anacho ana kasi, dribble alafu uwezo wa kupiga pass ni ile Hali yake ya kutojiamini ndicho kilichomfelisha we si umeona kiwango cha Hato wakati tunamaliza msimu? Alijiamini ndio maana tukaona performance nzuri tofauti na mwanzoni. Garnacho binafsi nilimkataa kabisa humu sikuona maajabu yoyote ingawa baadhi walikuwa wanamtetea atimaye umeona uongozi wamuuze.
Mkuu ulikuwa hufuatilii mechi za Chelse. Gittens alikuwa kwenye ubora wa juu dhidi Ajax UEFA champions league aliweka record kwa create chances 5 za wazi kwa wenzake na kutoa Assist 1 na kwa huo mchezo yeye ndio alichaguliwa kuwa man of the match. Pia Kuna mechi ya Carabao dhidi ya wolves mechi ilisha 3 kwa 2 kwenye hii mechi alitoa Assist 2 na kufunga goli la kideo lenye umbali mrefu kati ya Top 3 ya magoal Bora yaliyofungwa na Chelsea la kwake ni mojawapo na kwenye hii game alichaguliwa kuwa man of the match.Gitten ni madueke mtupu hamna kipaji pale tulipigwa, tokea aje chelsea cjawahi kuona perfomance nzuri kutoka kwake, hajui kudrible wala kutoa pasi, cjui hata hayo uliyaonea wapi? tukiendelea kutegemea wachezaji wa hovyo kama hao hata nafasi ya kumi tutaisikia kwenye bomba.
Mkuu, tukubali tukatae Gitten ni tapeliMkuu ulikuwa hufuatilii mechi za Chelse. Gittens alikuwa kwenye ubora wa juu dhidi Ajax UEFA champions league aliweka record kwa create chances 5 za wazi kwa wenzake na kutoa Assist 1 na kwa huo mchezo yeye ndio alichaguliwa kuwa man of the match. Pia Kuna mechi ya Carabao dhidi ya wolves mechi ilisha 3 kwa 2 kwenye hii mechi alitoa Assist 2 na kufunga goli la kideo lenye umbali mrefu kati ya Top 3 ya magoal Bora yaliyofungwa na Chelsea la kwake ni mojawapo na kwenye hii game alichaguliwa kuwa man of the match.
Alietukuka.Mkuu, tukubali tukatae Gitten ni tapeli
Hiyo iliyoshika shavu ni takataka kabisaJama hawa wachezaji hewa. Wanakula mhshsra wa bure tu. Si hata Azam FC waje tutawapa kwa bei Chee
View attachment 3636307
Utamuitaje kijana wa miaka 21 tapeli, ni swa na kumtukana mamba wakati hujavuka mto, gittens ni swala la misimu miwili chini ya kocha anayemjulia na kumtia moyo. Hata Garnacho watakuja kuwa wachezaji wa kutamanika. Sio kila mchezaji anadevelop kikamilifu chini ya umri wa mika 23 au 25Mkuu, tukubali tukatae Gitten ni tapeli
Mimi nimeweka facts kulingana na hoja yake kama umeamua kipinga sawaMkuu, tukubali tukatae Gitten ni tapeli
H kitu kinaniuma sana aiseeKwahiyo hatuna mpango wa kusajili kipa?
Wamesema wanasubiri maamuzi ya Alonso, Alonso atafanya assessment kwenye hii preseason ndio atatoa maamuziKwahiyo hatuna mpango wa kusajili kipa?
Welbeck au sio.....?
Mtitakiwa striker ambaye atakuja kutishia namba ya Pedro......
Au mmeangalia cheap option?? Wacha tuone
Joao Pedro kwetu ni striker no 1 wetu ni kama Hallaand pale Man city kwahiyo na ukizingatia Joao Pedro sio injury prone ndio maana tunamleta Danny Welbeck kuwa kama Back up wake Kwanza ni mzuri na anafunga decision goals mara nyingi, Pili ni mzoefu na anaijua ligi vizuri kafunga big six woteWelbeck au sio.....?
Mtitakiwa striker ambaye atakuja kutishia namba ya Pedro......
Au mmeangalia cheap option?? Wacha tuone
Na magoal mengi kafunga kutokea benchi ndicho ambacho tunataka mchezaji mwenye uwezo wa kusoma mchezo na kubadilisha matokeo akitokea benchi kitu ambacho tulikikosa msimu uliopita.Kutana na mzee Welbeck msimu uliopita alikuwa na magoli 13
- Uzoefu
- Uongozi
- Uadilifu
View attachment 3638047