Hapo bado left back na kiungo mmoja wa chini tumemaliza kazi🔥💙 Maxence Lacroix to Chelsea… HERE WE GO! 💙🔥
📝 Mambo yamekamilika! Ofa rasmi imekubaliwa na Crystal Palace — makubaliano ya msingi yalifungwa jana usiku.
🏥 Medical inaendelea London kwa beki wa Kifaransa.
💰 Ada ni £52 milioni, na Axel Disasi HAJAHUSISHWA kwenye dili.
📄 Lacroix atasaini mkataba mrefu hadi Juni 2032.
🔵 Chelsea wanaendelea kujijenga upya daraja la Stamford Bridge!
-Fabrizio Romano
View attachment 3635837