Alipokuwa target a Arsenal mlimremba sana, uzuri wa ushabiki unaanzia hapo, kama siasa tu. Candidate akiwa upande wenu hata kama ni mchafu mtamsafisha sana, akiwakana tu atapakwa matope hata ambayo hanaHamna kitu hapo. Nimekaa pale
Sio mchezaji wetu huyo minywele mavuuFIFA bado inamtambua cucurella kama mchezaji wa Chelsea, mana aliingia WC kama mchezaji wa Chelsea.
So Chelsea tuna mchezaji aliyeshinda wc 🔥
Ila pesa tumepokea 🤣 .Sio mchezaji wetu huyo minywele mavuu
Kila mchezaji kwako takataka,sasa unataka asajiliwe nani?Morgan Rogers ni takataka
Ila we jamaa kila mchezaji kwako ni takataka haya tuambie utakataka wake uko wapi?Morgan Rogers ni takataka
Morgan Rogers kasajiliwa kwa ajili ya LW zaidi ila kwa sababu anacheza nafasi zote za mbele anaweza pia kutumika kwenye double no. 10 ambayo Alosno ndio anapendelea zaidi yaani 3-4-2-1Kwa maoni yangu binafsi
Baada ya ujio wa Morgan Rogers ningependa Enzo Fernandez auzwe kwasababu nafasi kuu ya Morgan Rogers ni no 10 ingawa Kuna wakati anatumika kama Winga lakini nafasi anayocheza kwa ufanisi ni no 10 kwamaana hiyo kocha atapendelea kupanga no 10 wawili Rogers na Cole Palmer kumbuka kwenye hili eneo amekuwa akitumika Enzo Fernandez zaidi alafu chini huwa anacheza Caicedo na James au muda mwingine Caicedo na Santos au Caicedo na Lavia. Kwa kweli sijawahi kumkubali Enzo akicheza chini kwasababu Hana ile quality ya ukabaji kwahiyo Chelsea inabidi wamuuze alafu nafasi yake anunuliwe mtu mwingine.
Michezaji ya kingereza sijawahigi kuielewa.
😂😂😂😂😂Morgan Rogers ni takataka
Si nuseme tu takataka kama mwenzake, unazugazuga nini. Sisi Chelsea asilia tunasonga mbele maana ninyi kuna siku hata Messi, Ronaldo, Mbape, Haaland nao mtasema ni matakatakaMichezaji ya kingereza sijawahigi kuielewa.
Subiri msimu uanze utaona alivyo takataka. Saizi huwezi kunielewa.Ila we jamaa kila mchezaji kwako ni takataka haya tuambie utakataka wake uko wapi?
Kwa upande wako unapendekeza wasajiliwe wachezaji wepiSubiri msimu uanze utaona alivyo takataka. Saizi huwezi kunielewa.
Siwezi kusema ni takataka mana simjui kihiivyo, ila kwa michezaji ya kiingereza labda aniprove wrong kama Palmer.Si nuseme tu takataka kama mwenzake, unazugazuga nini. Sisi Chelsea asilia tunasonga mbele maana ninyi kuna siku hata Messi, Ronaldo, Mbape, Haaland nad ane mtasema ni matakataka
Hili swali huwa hawezi jibu, yeye kazi yake ni kuponda bila kuwa na solutionKwa upande wako unapendekeza wasajiliwe wachezaji wepi