Tunauza kwa 45Garnacho mlitoa £40m sio ?
Tunauza kwa 45Garnacho mlitoa £40m sio ?
AS Roma wamemgeukia Summerville wa Westham na wamesha submit Euro milioni 45 kwa kiungo huyo wa kushoto wa Westham. Sidhani kama wataendelea na interest ya Garnacho.Tunauza kwa 45
Kuwa mshabiki sio kupinga kila kitu kwa team pinzani kwa hapa mwamba umeonesha uungwana wa Hali ya juu umeongea kimpira Zaidi hivyo ndivyo inavyopaswaHakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu.
Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
Sifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidieAS Roma wamemgeukia Summerville wa Westham na wamesha submit Euro milioni 45 kwa kiungo huyo wa kushoto wa Westham. Sidhani kama wataendelea na interest ya Garnacho.
View attachment 3632377
Mmemuona mchezaji wenu jana lakini?😂Secret Mission
Xabi Alonso alishiriki kwenye operesheni ya siri ya kuuteka usajili wa Morgan Rogers.
View attachment 3632506
Tulishauza uza wachezaji na ada mabali mbali kama Faini ya Man city kumuiba Maresca, ada ya Shakta Donesti kutumia kiwanja chetu kama mil 6 hiviSifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidie
Ana miaka 23 tu, uzoefu wa EPL lukuki, bado hajaingia kwenye PRIME. Unataka nini tena broMmemuona mchezaji wenu jana lakini?😂
Napenda mtu anayeacha ushabiki na kuwa muwazi namkweli kwenye mambo ya waziHakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu.
Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
Takwimu za Morgan Rogers msimu uliopita Magoal 14 assist 12 in all competitionsMmemuona mchezaji wenu jana lakini?😂
Huyo hawezi kurudi Tena umempa za usoAna miaka 23 tu, uzoefu wa EPL lukuki, bado hajaingia kwenye PRIME. Unataka nini tena bro
View attachment 3632529
Ni mzuri ndiyo maana hata sisi tulikuwa tunataka aje kwetu. Mmefanikiwa kutunyang'anya tonge mdomoni.Napenda mtu anayeacha ushabiki na kuwa muwazi namkweli kwenye mambo ya wazi
Tunauza kwa 45
Malo Gusto ni mzuri mdogo bado tutawapa huyo, hao wengine UNTOUCHABLENi mzuri ndiyo maana hata sisi tulikuwa tunataka aje kwetu. Mmefanikiwa kutunyang'anya tonge mdomoni.
Sasa endelezeni pia tabia yenu ya kututupia wachezaji wenu wabovu kama kina Kai, Noni na Jorginho. Sasa tupeni Malo Gusto na Estevao. Hata Caicedo na Enzo ni wabovu mnaweza kutupa hao tuwatumie sisi.
Zitatokea tu team nyingineRoma wanamtaka kwa loan plus obligation ya kumchukua mazima next season! Nyie mnataka muuze mazima ! Patamu hapo, timu za Italy hazina pesa
Kuna pesa vilevile Chelsea watapewa na FIFA kutokana na wachezaji wake walioshiriki kwenye mashindano ya kombe la Dunia.Sifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidie
Zitatokea tu team nyingine
Chelkenge bwana, huyo Alonso atakaa msimu mmoja anaondoka, anakuja mwengineSecret Mission
Xabi Alonso alishiriki kwenye operesheni ya siri ya kuuteka usajili wa Morgan Rogers.
View attachment 3632506
Hamna kitu hapo. Nimekaa paleMagoal 10 Assist 6 last season