Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tunauza kwa 45
AS Roma wamemgeukia Summerville wa Westham na wamesha submit Euro milioni 45 kwa kiungo huyo wa kushoto wa Westham. Sidhani kama wataendelea na interest ya Garnacho.
1784425678602.png
 
Hakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu.

Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
Kuwa mshabiki sio kupinga kila kitu kwa team pinzani kwa hapa mwamba umeonesha uungwana wa Hali ya juu umeongea kimpira Zaidi hivyo ndivyo inavyopaswa
 
AS Roma wamemgeukia Summerville wa Westham na wamesha submit Euro milioni 45 kwa kiungo huyo wa kushoto wa Westham. Sidhani kama wataendelea na interest ya Garnacho.
View attachment 3632377
Sifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidie
 
Secret Mission

Xabi Alonso alishiriki kwenye operesheni ya siri ya kuuteka usajili wa Morgan Rogers.
1784453045089.png
 
Sifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidie
Tulishauza uza wachezaji na ada mabali mbali kama Faini ya Man city kumuiba Maresca, ada ya Shakta Donesti kutumia kiwanja chetu kama mil 6 hivi
Tunaweza kuwa tumeshaingiza zaidi ya Mil 140 hadi sasa
Kwa hiyo Chelsea ina uwezo wa kufanya manunuzi ya mil 250 bila kugombana na FFP na UEFA
 
Hakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu.

Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
Napenda mtu anayeacha ushabiki na kuwa muwazi namkweli kwenye mambo ya wazi
 
Napenda mtu anayeacha ushabiki na kuwa muwazi namkweli kwenye mambo ya wazi
Ni mzuri ndiyo maana hata sisi tulikuwa tunataka aje kwetu. Mmefanikiwa kutunyang'anya tonge mdomoni.

Sasa endelezeni pia tabia yenu ya kututupia wachezaji wenu wabovu kama kina Kai, Noni na Jorginho. Sasa tupeni Malo Gusto na Estevao. Hata Caicedo na Enzo ni wabovu mnaweza kutupa hao tuwatumie sisi.
 
Ni mzuri ndiyo maana hata sisi tulikuwa tunataka aje kwetu. Mmefanikiwa kutunyang'anya tonge mdomoni.

Sasa endelezeni pia tabia yenu ya kututupia wachezaji wenu wabovu kama kina Kai, Noni na Jorginho. Sasa tupeni Malo Gusto na Estevao. Hata Caicedo na Enzo ni wabovu mnaweza kutupa hao tuwatumie sisi.
Malo Gusto ni mzuri mdogo bado tutawapa huyo, hao wengine UNTOUCHABLE
 
Sifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidie
Kuna pesa vilevile Chelsea watapewa na FIFA kutokana na wachezaji wake walioshiriki kwenye mashindano ya kombe la Dunia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom