Huyo hawezi kurudi Tena umempa za usoAna miaka 23 tu, uzoefu wa EPL lukuki, bado hajaingia kwenye PRIME. Unataka nini tena bro
View attachment 3632529
Huyo hawezi kurudi Tena umempa za usoAna miaka 23 tu, uzoefu wa EPL lukuki, bado hajaingia kwenye PRIME. Unataka nini tena bro
View attachment 3632529
Ni mzuri ndiyo maana hata sisi tulikuwa tunataka aje kwetu. Mmefanikiwa kutunyang'anya tonge mdomoni.Napenda mtu anayeacha ushabiki na kuwa muwazi namkweli kwenye mambo ya wazi
Tunauza kwa 45
Malo Gusto ni mzuri mdogo bado tutawapa huyo, hao wengine UNTOUCHABLENi mzuri ndiyo maana hata sisi tulikuwa tunataka aje kwetu. Mmefanikiwa kutunyang'anya tonge mdomoni.
Sasa endelezeni pia tabia yenu ya kututupia wachezaji wenu wabovu kama kina Kai, Noni na Jorginho. Sasa tupeni Malo Gusto na Estevao. Hata Caicedo na Enzo ni wabovu mnaweza kutupa hao tuwatumie sisi.
Zitatokea tu team nyingineRoma wanamtaka kwa loan plus obligation ya kumchukua mazima next season! Nyie mnataka muuze mazima ! Patamu hapo, timu za Italy hazina pesa
Kuna pesa vilevile Chelsea watapewa na FIFA kutokana na wachezaji wake walioshiriki kwenye mashindano ya kombe la Dunia.Sifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidie
Zitatokea tu team nyingine
Chelkenge bwana, huyo Alonso atakaa msimu mmoja anaondoka, anakuja mwengineSecret Mission
Xabi Alonso alishiriki kwenye operesheni ya siri ya kuuteka usajili wa Morgan Rogers.
View attachment 3632506
Hamna kitu hapo. Nimekaa paleMagoal 10 Assist 6 last season
Alipokuwa target a Arsenal mlimremba sana, uzuri wa ushabiki unaanzia hapo, kama siasa tu. Candidate akiwa upande wenu hata kama ni mchafu mtamsafisha sana, akiwakana tu atapakwa matope hata ambayo hanaHamna kitu hapo. Nimekaa pale
Sio mchezaji wetu huyo minywele mavuuFIFA bado inamtambua cucurella kama mchezaji wa Chelsea, mana aliingia WC kama mchezaji wa Chelsea.
So Chelsea tuna mchezaji aliyeshinda wc 🔥
Ila pesa tumepokea 🤣 .Sio mchezaji wetu huyo minywele mavuu
Kila mchezaji kwako takataka,sasa unataka asajiliwe nani?Morgan Rogers ni takataka
Ila we jamaa kila mchezaji kwako ni takataka haya tuambie utakataka wake uko wapi?Morgan Rogers ni takataka