Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bado sababu zako za Cucurella kuuzwa kwa hiyo Bei hazina mashiko, mbona kovacic tulimnunua kwa Bei ya juu akiwa tena sio first eleven ya Madrid? Kumbuka Cucurella ni key figure wa team na first starter tegemeo wa team ya Taifa ya Spain na ni experience player huo uharaka wa kumuuza Chelsea wameupatia wapi wakati mchezaji ambaye anauzika sokoni kama umri umesema una matter kwani Harry Kane kauzwa kwenda Bayern akiwa na miaka mingapi tena kwa Bei nzuri kama umri ulikuwa ni kikwazo
Tukubaliane hukusoma sababu zangu, zina tofauti mkubwa sana na za Kovacic
Nikupe tu mfano kwamba hukusoma
Cucurella hakuwa Happy, Koc=vaci alikuwa happy
Cucurella form ilishuka sana Kovacic form yake ilikwua bado juu
Chelsea ilitakiwa kumuuza haraka kabla mwaka haujaisha , Kovacic hakuwa n aharaka hiyo
Hakuna timu ilikuwa tayari kutoa zaidi ya Real Madrid, wateja wakubwa walikuwa ni Barcelona na Atleticco Madrid, wapare wakubwa hao. Ona mfano wa Rashford walishindwa kumnunua kwa 30m hata baada ya form nzuri aliyowaonyesha
 
Maelezo mengi kutetea kuuzwa kwa Marc, .kubalini mmejichanganya tu...... kupata replacement yake sio rahisi !"

Hatto bado huwezi kumtegemea ndio LB wako, bado anakuwa, ana makosa mengi sana ! Jaribuni pale Newcastle kwa "Hall" mtaambiwa €75m.

Tena kaondoka kipindi cha mpito, mpo kwenye project !

Majirani tunafurahi kibanda cha mwenzio kikiungua
Ninyi mngeajiriwa na Chelsea mtakuwa bonge la SD, mnajua sana kandanda na uskauti wa wachezaji 😂 😂 😂
 
Ninyi mngeajiriwa na Chelsea mtakuwa bonge la SD, mnajua sana kandanda na uskauti wa wachezaji [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni kama vile unawaambia wadau "Mimi (Lembu) ndio nimeajiriwa na Chelsea kwa sababu ni bonge la SD, najua sana kandanda na uskauti wa wachezaji"

Huku ukiweka emoji ya [emoji23][emoji23][emoji23] kuonyesha wewe ndo Football na Football ndo wewe. Wewe ndo Chelsea na Chelsea ni wewe.
 
Ninyi mngeajiriwa na Chelsea mtakuwa bonge la SD, mnajua sana kandanda na uskauti wa wachezaji 😂 😂 😂

Unatetea matakataka humu, unAkuwa against wenzako , mwisho wa siku unaumbuka !
Kwa uchache .....
Pochettino
Potter
Rosemary
Lampard
Maresca......

wachezaji .. kina hato, garnacho, delap, Neto, etc! Wewe unajulikana kwa kusifia ujinga baadae unaumbuka !!!!! Ujujuaji mwingi kumbe amna kitu
 
Nachompendea Jackson ikiwa ni offside anafunga magoli magumu sana, ngoja sasa iwe onside iwe ni tap in😂😂😂😂
 
Real Madrid wanataka kumasajili Enzo Fernandez haraka sana
Mourinho anamtaka Yeye tu an ameshiambia bodi
Kwa sasa Enzo ni mlengwa namba moja wa Real Madrid na wanataka dili liende haraka kama la Cucurella.
Kwaheri Enzo Fernandez
@MARCA
1781712843769.png
 
Marc Cucurella on leaving Chelsea for Real Madrid: “For me and my family it was an opportunity we couldn’t refuse, and I’m very happy with the decision we made”.

“When you’re a kid, you dream of playing for big teams, and I think Real Madrid is one of them”, told El Mundo

Mkali wade... Cucurella...hivi nyie sio timu kubwa ? 👍 👎 🤙 📌
 
Real Madrid wanataka kumasajili Enzo Fernandez haraka sana
Mourinho anamtaka Yeye tu an ameshiambia bodi
Kwa sasa Enzo ni mlengwa namba moja wa Real Madrid na wanataka dili liende haraka kama la Cucurella.
Kwaheri Enzo Fernandez
@MARCA
View attachment 3610013
Naomba unieleweshe kwa upole, hivi Enzo uzuri wake upogo kwenye kitu gani??
 
Naomba unieleweshe kwa upole, hivi Enzo uzuri wake upogo kwenye kitu gani??
Mfuatilie kwanza, hasa sasa anacheza kombe la dunia na timu yake ya Argentina. Halafu waulize walioweka dau la pauni 120m halafu ndio uje kwetu akina kalaghabao wa Manzese uzuri au wale wa Mabagala kibaoni ua sisi wa Arusha Uswahili mnara wa voda. tutabonga sana
 
Mfuatilie kwanza, hasa sasa anacheza kombe la dunia na timu yake ya Argentina. Halafu waulize walioweka dau la pauni 120m halafu ndio uje kwetu akina kalaghabao wa Manzese uzuri au wale wa Mabagala kibaoni ua sisi wa Arusha Uswahili mnara wa voda. tutabonga sana
Kwa hiyo mchezaji akishawekewa dau 120m au zaid, kwako ni mchezaji mzuri?? Unafikiri pale Argentina yeye ndio anaiendesha timu?? au yupo kwenye kichaka cha wanaojua. Unajibu kama umekatwa kichwa.
 
fabriziorom_20260624_1.jpg


Chelsea imemsajili beki wa kulia muitaliano Marco Palestra kwa pound 49M ambaye msimu uliopita mchezaji huyu alichaguliwa kuwa Beki bora wa ligi kuu ya Italia. Usajili huu unakuwa wa Kwanza chini ya kocha mpya Xabi Alonso
 
Kwa hiyo mchezaji akishawekewa dau 120m au zaid, kwako ni mchezaji mzuri?? Unafikiri pale Argentina yeye ndio anaiendesha timu?? au yupo kwenye kichaka cha wanaojua. Unajibu kama umekatwa kichwa.
Kama unamfuatilia jibu nio YES, Enzo Fernandez anacheza Deep tofauti na huku Chelsea. Anashirikiana na Kimnugno wa Liverpool Alexis Mac Allister na amekiri kuwa anajisikia vizuri akicheza Deep kwani anajishughiulisha na mpira zaidi kuliko akicheza mbele. Enzo amekuwa na touches nyingi na passi zenye uhakika akicheza deep midfield. Enzo akiondoka Chelsea kwenda Real Madrid ndipo mtajua kuwa alikuwa mzuri. Nabii haeshimiwi nyumbani kwake
 
Kama unamfuatilia jibu nio YES, Enzo Fernandez anacheza Deep tofauti na huku Chelsea. Anashirikiana na Kimnugno wa Liverpool Alexis Mac Allister na amekiri kuwa anajisikia vizuri akicheza Deep kwani anajishughiulisha na mpira zaidi kuliko akicheza mbele. Enzo amekuwa na touches nyingi na passi zenye uhakika akicheza deep midfield. Enzo akiondoka Chelsea kwenda Real Madrid ndipo mtajua kuwa alikuwa mzuri. Nabii haeshimiwi nyumbani kwake
Amini nakwambia Enzo alikua mfanyakazi hewa kama walivyo wafanyakazi hewa wengine, kuondoka kwake ndio tutakua vizuri kuliko alivyokwepo, alikua anatukaba sana. Sahizi ndio anasingizia alikua hafurahii alivyokua anachezeshwa chelsea!! alishachezeshwa hiyo nafasi alifanya nini? Tapeli yule.
 
Amini nakwambia Enzo alikua mfanyakazi hewa kama walivyo wafanyakazi hewa wengine, kuondoka kwake ndio tutakua vizuri kuliko alivyokwepo, alikua anatukaba sana. Sahizi ndio anasingizia alikua hafurahii alivyokua anachezeshwa chelsea!! alishachezeshwa hiyo nafasi alifanya nini? Tapeli yule.
Wewe una makengeza kwenye vitu vingi. Ukishamchukia mchezaji hata acheze vizuri namna gani, hauko tayari kuangalia mazuri yake, ni mabaya tu unafukua. Enzo anayo madhaifu kwa sabab hakuna mchezaji aliyekamilika.
Madhaifu yake mengi zaidi Chelsea ni kwa sabbau kwa muda mrefu tangu ahamie kutoka Bnfica kaja kuwekwa kapu moja na matakataka na ndio maan akicheza na wenzake wa Argentina anacheza vizuri zaidi akicheza Chelsea.
Enzo anacheza na Garnacho na Gitten. ANchez ana Moise Caic edo mwenye profile ambayo haina comlimentary yeyoto na Enzo na ndio maana alipopelekwa mbele na Marseca ndipo alipofanya vizuri.

Sasa dhamani ya Enzo Fernandez ni £160m na makocha wanajua mpira kjuliko wewe wanamtaka kwa udi na uvumba
 
Wewe una makengeza kwenye vitu vingi. Ukishamchukia mchezaji hata acheze vizuri namna gani, hauko tayari kuangalia mazuri yake, ni mabaya tu unafukua. Enzo anayo madhaifu kwa sabab hakuna mchezaji aliyekamilika.
Madhaifu yake mengi zaidi Chelsea ni kwa sabbau kwa muda mrefu tangu ahamie kutoka Bnfica kaja kuwekwa kapu moja na matakataka na ndio maan akicheza na wenzake wa Argentina anacheza vizuri zaidi akicheza Chelsea.
Enzo anacheza na Garnacho na Gitten. ANchez ana Moise Caic edo mwenye profile ambayo haina comlimentary yeyoto na Enzo na ndio maana alipopelekwa mbele na Marseca ndipo alipofanya vizuri.

Sasa dhamani ya Enzo Fernandez ni £160m na makocha wanajua mpira kjuliko wewe wanamtaka kwa udi na uvumba
Makocha gani wamemtaka? si ni yeye ndio ameitaka madrid?!

Enzo ni tapeli, mchezaji mzuri hata akiwa kapu moja na matakataka kama ni mchezaji mzuri utamuona tu. Unamuona Bruno pale Nyumbu.

Uachage kufatilia mpira kwa kufuata mkumbo, eti kisa mchezaji ni £200 basi ni mchezaji mzuri! Mawakala wa mchezaji wanachezaga na akili za watu ili wapige pesa.

Mchambue mchezaji kwa jinsi unavyomuona ww, sio ukiingia mitandao ya wazungu huko ukiona wanavyomchambua mchezaji hujui wana mahaba gani na mchezaji, na ww kichwa kichwa unacopy na kupaste. ndio mana umekua ukitofautiana na watu hapa jukwaani na umeishia kuumbuka.
 
Makocha gani wamemtaka? si ni yeye ndio ameitaka madrid?!

Enzo ni tapeli, mchezaji mzuri hata akiwa kapu moja na matakataka kama ni mchezaji mzuri utamuona tu. Unamuona Bruno pale Nyumbu.

Uachage kufatilia mpira kwa kufuata mkumbo, eti kisa mchezaji ni £200 basi ni mchezaji mzuri! Mawakala wa mchezaji wanachezaga na akili za watu ili wapige pesa.

Mchambue mchezaji kwa jinsi unavyomuona ww, sio ukiingia mitandao ya wazungu huko ukiona wanavyomchambua mchezaji hujui wana mahaba gani na mchezaji, na ww kichwa kichwa unacopy na kupaste. ndio mana umekua ukitofautiana na watu hapa jukwaani na umeishia kuumbuka.
Weka akiba ya manene, cha msingi tunapewa Euro 130M hadi 150M penda usipende
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom