Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naomba unieleweshe kwa upole, hivi Enzo uzuri wake upogo kwenye kitu gani??
Mfuatilie kwanza, hasa sasa anacheza kombe la dunia na timu yake ya Argentina. Halafu waulize walioweka dau la pauni 120m halafu ndio uje kwetu akina kalaghabao wa Manzese uzuri au wale wa Mabagala kibaoni ua sisi wa Arusha Uswahili mnara wa voda. tutabonga sana
 
Mfuatilie kwanza, hasa sasa anacheza kombe la dunia na timu yake ya Argentina. Halafu waulize walioweka dau la pauni 120m halafu ndio uje kwetu akina kalaghabao wa Manzese uzuri au wale wa Mabagala kibaoni ua sisi wa Arusha Uswahili mnara wa voda. tutabonga sana
Kwa hiyo mchezaji akishawekewa dau 120m au zaid, kwako ni mchezaji mzuri?? Unafikiri pale Argentina yeye ndio anaiendesha timu?? au yupo kwenye kichaka cha wanaojua. Unajibu kama umekatwa kichwa.
 
fabriziorom_20260624_1.jpg


Chelsea imemsajili beki wa kulia muitaliano Marco Palestra kwa pound 49M ambaye msimu uliopita mchezaji huyu alichaguliwa kuwa Beki bora wa ligi kuu ya Italia. Usajili huu unakuwa wa Kwanza chini ya kocha mpya Xabi Alonso
 
Kwa hiyo mchezaji akishawekewa dau 120m au zaid, kwako ni mchezaji mzuri?? Unafikiri pale Argentina yeye ndio anaiendesha timu?? au yupo kwenye kichaka cha wanaojua. Unajibu kama umekatwa kichwa.
Kama unamfuatilia jibu nio YES, Enzo Fernandez anacheza Deep tofauti na huku Chelsea. Anashirikiana na Kimnugno wa Liverpool Alexis Mac Allister na amekiri kuwa anajisikia vizuri akicheza Deep kwani anajishughiulisha na mpira zaidi kuliko akicheza mbele. Enzo amekuwa na touches nyingi na passi zenye uhakika akicheza deep midfield. Enzo akiondoka Chelsea kwenda Real Madrid ndipo mtajua kuwa alikuwa mzuri. Nabii haeshimiwi nyumbani kwake
 
Kama unamfuatilia jibu nio YES, Enzo Fernandez anacheza Deep tofauti na huku Chelsea. Anashirikiana na Kimnugno wa Liverpool Alexis Mac Allister na amekiri kuwa anajisikia vizuri akicheza Deep kwani anajishughiulisha na mpira zaidi kuliko akicheza mbele. Enzo amekuwa na touches nyingi na passi zenye uhakika akicheza deep midfield. Enzo akiondoka Chelsea kwenda Real Madrid ndipo mtajua kuwa alikuwa mzuri. Nabii haeshimiwi nyumbani kwake
Amini nakwambia Enzo alikua mfanyakazi hewa kama walivyo wafanyakazi hewa wengine, kuondoka kwake ndio tutakua vizuri kuliko alivyokwepo, alikua anatukaba sana. Sahizi ndio anasingizia alikua hafurahii alivyokua anachezeshwa chelsea!! alishachezeshwa hiyo nafasi alifanya nini? Tapeli yule.
 
Amini nakwambia Enzo alikua mfanyakazi hewa kama walivyo wafanyakazi hewa wengine, kuondoka kwake ndio tutakua vizuri kuliko alivyokwepo, alikua anatukaba sana. Sahizi ndio anasingizia alikua hafurahii alivyokua anachezeshwa chelsea!! alishachezeshwa hiyo nafasi alifanya nini? Tapeli yule.
Wewe una makengeza kwenye vitu vingi. Ukishamchukia mchezaji hata acheze vizuri namna gani, hauko tayari kuangalia mazuri yake, ni mabaya tu unafukua. Enzo anayo madhaifu kwa sabab hakuna mchezaji aliyekamilika.
Madhaifu yake mengi zaidi Chelsea ni kwa sabbau kwa muda mrefu tangu ahamie kutoka Bnfica kaja kuwekwa kapu moja na matakataka na ndio maan akicheza na wenzake wa Argentina anacheza vizuri zaidi akicheza Chelsea.
Enzo anacheza na Garnacho na Gitten. ANchez ana Moise Caic edo mwenye profile ambayo haina comlimentary yeyoto na Enzo na ndio maana alipopelekwa mbele na Marseca ndipo alipofanya vizuri.

Sasa dhamani ya Enzo Fernandez ni £160m na makocha wanajua mpira kjuliko wewe wanamtaka kwa udi na uvumba
 
Wewe una makengeza kwenye vitu vingi. Ukishamchukia mchezaji hata acheze vizuri namna gani, hauko tayari kuangalia mazuri yake, ni mabaya tu unafukua. Enzo anayo madhaifu kwa sabab hakuna mchezaji aliyekamilika.
Madhaifu yake mengi zaidi Chelsea ni kwa sabbau kwa muda mrefu tangu ahamie kutoka Bnfica kaja kuwekwa kapu moja na matakataka na ndio maan akicheza na wenzake wa Argentina anacheza vizuri zaidi akicheza Chelsea.
Enzo anacheza na Garnacho na Gitten. ANchez ana Moise Caic edo mwenye profile ambayo haina comlimentary yeyoto na Enzo na ndio maana alipopelekwa mbele na Marseca ndipo alipofanya vizuri.

Sasa dhamani ya Enzo Fernandez ni £160m na makocha wanajua mpira kjuliko wewe wanamtaka kwa udi na uvumba
Makocha gani wamemtaka? si ni yeye ndio ameitaka madrid?!

Enzo ni tapeli, mchezaji mzuri hata akiwa kapu moja na matakataka kama ni mchezaji mzuri utamuona tu. Unamuona Bruno pale Nyumbu.

Uachage kufatilia mpira kwa kufuata mkumbo, eti kisa mchezaji ni £200 basi ni mchezaji mzuri! Mawakala wa mchezaji wanachezaga na akili za watu ili wapige pesa.

Mchambue mchezaji kwa jinsi unavyomuona ww, sio ukiingia mitandao ya wazungu huko ukiona wanavyomchambua mchezaji hujui wana mahaba gani na mchezaji, na ww kichwa kichwa unacopy na kupaste. ndio mana umekua ukitofautiana na watu hapa jukwaani na umeishia kuumbuka.
 
Makocha gani wamemtaka? si ni yeye ndio ameitaka madrid?!

Enzo ni tapeli, mchezaji mzuri hata akiwa kapu moja na matakataka kama ni mchezaji mzuri utamuona tu. Unamuona Bruno pale Nyumbu.

Uachage kufatilia mpira kwa kufuata mkumbo, eti kisa mchezaji ni £200 basi ni mchezaji mzuri! Mawakala wa mchezaji wanachezaga na akili za watu ili wapige pesa.

Mchambue mchezaji kwa jinsi unavyomuona ww, sio ukiingia mitandao ya wazungu huko ukiona wanavyomchambua mchezaji hujui wana mahaba gani na mchezaji, na ww kichwa kichwa unacopy na kupaste. ndio mana umekua ukitofautiana na watu hapa jukwaani na umeishia kuumbuka.
Weka akiba ya manene, cha msingi tunapewa Euro 130M hadi 150M penda usipende
 
Wazee mjitahidi mtengeneze timu. Sio inafika Christmas mnaanza kushangilia Man City, haipendezi.
 
Makocha gani wamemtaka? si ni yeye ndio ameitaka madrid?!

Enzo ni tapeli, mchezaji mzuri hata akiwa kapu moja na matakataka kama ni mchezaji mzuri utamuona tu. Unamuona Bruno pale Nyumbu.

Uachage kufatilia mpira kwa kufuata mkumbo, eti kisa mchezaji ni £200 basi ni mchezaji mzuri! Mawakala wa mchezaji wanachezaga na akili za watu ili wapige pesa.

Mchambue mchezaji kwa jinsi unavyomuona ww, sio ukiingia mitandao ya wazungu huko ukiona wanavyomchambua mchezaji hujui wana mahaba gani na mchezaji, na ww kichwa kichwa unacopy na kupaste. ndio mana umekua ukitofautiana na watu hapa jukwaani na umeishia kuumbuka.
Mimi mechi zote za Chelsea na Enzo Fernandez nazifuatilia sana, najua udhaifu wake na nguvu yake, najua anapokuwa yuko hovyo na anapokuwa vizuri.

Tena ninapoangalia mechi sivuti bange wala kulewa Vodka au Konyagi. Kwa akili timamu kabisa namzoom na kumuelewa sio kama wewe unakurupuika tu, kila mtu anamsifia wewe unamkandia. Wako wamesomea mpira hadi PHD wanampa bei ya pauni 120m wewwe unasema takataka. Mungu anakuona hapo ulipo.

Wakati wa Pochettino alijaribu kumpiga benchi timu haielewani. Yeye ni Kama Cole Palmer hata akiwa kwenye form mbovu bado yuko bora mara 3 zaidi ya viungo tulio nao.

Enzo Fernandez ni moajwapo wa kiungo mbunifu na anayeweza kucontrol mchezo ka pasi fupi na ndefu an zenye maono. Wewe hujui mpira kabisa, unachojua sana sana ni kukandia , kukososa na kubisha tu.
 
Kama tutaweza kuwasajili Xhaka na Maxence LaCroix kama tetesi zinazosema na tukamalizia na sehemu zingine zenye udhaifu kama left winger na attack midfielder tutakuwa tumeongeza leadership na ukomavu kwenye kikosi nakufanya tuwe washindani.
 
Kama tutaweza kuwasajili Xhaka na Maxence LaCroix kama tetesi zinazosema na tukamalizia na sehemu zingine zenye udhaifu kama left winger na attack midfielder tutakuwa tumeongeza leadership na ukomavu kwenye kikosi nakufanya tuwe washin

Hivi Shaka kweli anafaa kuja Chelsea au sijamfatilia hivi karibuni?
 
Hivi Shaka kweli anafaa kuja Chelsea au sijamfatilia hivi karibuni?
Xhaka alituvuruga sana pale Kati kwenye middle mechi zote mbili Caicedo alipotezwa. Xhaka msimu uliopita alikuwa kwenye performance ya juu sana katika Top 5 ya midfielders waliofanya vizuri Epl jina lake lazima liwepo yeye ndio reason ya Sunderland kuingia kwenye michuano ya Europe, ukiachana na hivyo Xhaka anajua aina ya mpira wa Xabi Alonso kwasababu walikuwa pamoja Bayer Leverkusen mpaka ikachukua ubingwa mbele ya Bayern.

Jambo lingine Xhaka anaenda kuongeza uzoefu kwenye kikosi na leadership aliyonayo pamoja na mentality ya kuwin makombe so far will be good signing to us.
 
Kama tutaweza kuwasajili Xhaka na Maxence LaCroix kama tetesi zinazosema na tukamalizia na sehemu zingine zenye udhaifu kama left winger na attack midfielder tutakuwa tumeongeza leadership na ukomavu kwenye kikosi nakufanya tuwe washindani.
Yaani sisi tumegeuka kula makapi ya Chelsea ili tuwanie top 4 kama Arsenal ya Unai
Yaani sisi tumewapa Havertz na Madueke wabebe ubingwa; sisi tumchukue kapi Granit Xhaka ili tujitutumue kuingia top 4 kweli. Dunia mviringo.
Namuheshimu sana Xhaka, ameiwezesha Levakusen kushinda kombe la Ujerumani mbele ya timu kubwa kama Bayern Munich na pia kuikokota Sunderland hadi michuano ya Ulaya katika uzee ule.

Ila wanachelsea tusifurahie sana, septemba jamaa anaingia 34 na mabosi wanataka kumpa mkataba wa miaka mitatu, yaani tutakuwa nae akiwa na miaka 34, 35 hadi 36.
Wakifanya hivyo wasimpe mshahara mkubwa ili tukitaka kumuuza Ligi ua Marekani au Saudi tusihangaike.

Nitiba ya muda mfupi, yeye akicheza na Caicedo atampa uhuru wa kuroam kwenye box kwa sababu Xhaka ni DM aliyetulia
 
Yaani sisi tumegeuka kula makapi ya Chelsea ili tuwanie top 4 kama Arsenal ya Unai
Yaani sisi tumewapa Havertz na Madueke wabebe ubingwa; sisi tumchukue kapi Granit Xhaka ili tujitutumue kuingia top 4 kweli. Dunia mviringo.
Namuheshimu sana Xhaka, ameiwezesha Levakusen kushinda kombe la Ujerumani mbele ya timu kubwa kama Bayern Munich na pia kuikokota Sunderland hadi michuano ya Ulaya katika uzee ule.

Ila wanachelsea tusifurahie sana, septemba jamaa anaingia 34 na mabosi wanataka kumpa mkataba wa miaka mitatu, yaani tutakuwa nae akiwa na miaka 34, 35 hadi 36.
Wakifanya hivyo wasimpe mshahara mkubwa ili tukitaka kumuuza Ligi ua Marekani au Saudi tusihangaike.

Nitiba ya muda mfupi, yeye akicheza na Caicedo atampa uhuru wa kuroam kwenye box kwa sababu Xhaka ni DM aliyetulia
Kumbuka mwamba team yetu ina wachezaji wengi vijana wapo kwenye progress hasa kwenye nafasi anayocheza Xhaka tuna Santos, Romeo Lavia na Essugo na pia sababu kuu ya Enzo Fernandez kutaka kuondoka ni kwasababu hatu sajili experience player same to Cucurella kilichomuondosha kwa hiyo lazima club iwe na short and long plan na Xhaka anakuja kama short plan ndicho ambacho wakina Enzo wanakitaka na ndicho kimemfanya Caicedo na Reece James waongeze mkataba kwa kuhaidiwa na maboss.Hivi unakumbuka Thiago Silva kaja kwenye team yetu na umri gani? Na kakaa kwa miaka 4 still akiwa na kiwango kizuri kiasi ambacho sisi wenyewe mashabiki hatukupenda team imuachie then baada ya kuondoka angalia defense yetu ilivyoshake jaribu kuwaza kwa mapana kabla haujaongea.
 
Yaani sisi tumegeuka kula makapi ya Chelsea ili tuwanie top 4 kama Arsenal ya Unai
Yaani sisi tumewapa Havertz na Madueke wabebe ubingwa; sisi tumchukue kapi Granit Xhaka ili tujitutumue kuingia top 4 kweli. Dunia mviringo.
Namuheshimu sana Xhaka, ameiwezesha Levakusen kushinda kombe la Ujerumani mbele ya timu kubwa kama Bayern Munich na pia kuikokota Sunderland hadi michuano ya Ulaya katika uzee ule.

Ila wanachelsea tusifurahie sana, septemba jamaa anaingia 34 na mabosi wanataka kumpa mkataba wa miaka mitatu, yaani tutakuwa nae akiwa na miaka 34, 35 hadi 36.
Wakifanya hivyo wasimpe mshahara mkubwa ili tukitaka kumuuza Ligi ua Marekani au Saudi tusihangaike.

Nitiba ya muda mfupi, yeye akicheza na Caicedo atampa uhuru wa kuroam kwenye box kwa sababu Xhaka ni DM aliyetulia
Sawa kama kafanya kazi na Alonso haitaleta ugumu kumwelekeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom