lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,682
- 25,897
Tukubaliane hukusoma sababu zangu, zina tofauti mkubwa sana na za KovacicBado sababu zako za Cucurella kuuzwa kwa hiyo Bei hazina mashiko, mbona kovacic tulimnunua kwa Bei ya juu akiwa tena sio first eleven ya Madrid? Kumbuka Cucurella ni key figure wa team na first starter tegemeo wa team ya Taifa ya Spain na ni experience player huo uharaka wa kumuuza Chelsea wameupatia wapi wakati mchezaji ambaye anauzika sokoni kama umri umesema una matter kwani Harry Kane kauzwa kwenda Bayern akiwa na miaka mingapi tena kwa Bei nzuri kama umri ulikuwa ni kikwazo
Nikupe tu mfano kwamba hukusoma
Cucurella hakuwa Happy, Koc=vaci alikuwa happy
Cucurella form ilishuka sana Kovacic form yake ilikwua bado juu
Chelsea ilitakiwa kumuuza haraka kabla mwaka haujaisha , Kovacic hakuwa n aharaka hiyo
Hakuna timu ilikuwa tayari kutoa zaidi ya Real Madrid, wateja wakubwa walikuwa ni Barcelona na Atleticco Madrid, wapare wakubwa hao. Ona mfano wa Rashford walishindwa kumnunua kwa 30m hata baada ya form nzuri aliyowaonyesha