Mali bila daftari hupotea bila habari
TUMEFILISIKA
TUMEPOTEZA MVUTO
KWA PESA HATA SPURS ILIYOPONEA KUSHUKA DARAJA WANATUZIDI
EBU CHEKI HAYA MANENO
✔️ Manchester City imewasilisha ombi la kumsajili Elliot Anderson.
✔️ Manchester United imefikia makubaliano ya kumsajili Ederson.
✔️ Tottenham imemaliza usajili wa Senesi na Robertson, na pia imewasilisha ofa kwa Savinho na Van Hecke.
✔️ Arsenal wako katika mazungumzo na Morgan Rogers.
✔️ Liverpool wako na Yan Diomande.
✔️ Barcelona imemsajili Gordon na imewasilisha ofa kwa Álvarez.
✔️ Real Madrid imewafunga mikataba Konaté na Dumfries.
✔️ Bayern Munich wako kwenye mazungumzo ya kumsajili Ismael Saibari.
✔️ Wakati huo huo, Chelsea wana Imani na Tosin, huku Delap na Garnacho wakijiandaa kupigania nafasi zao. 😂😂😂
Xabi Alonso si kocha wa miujiza; Chelsea inayo kazi kubwa msimu ujao
Tusipoangalia tutakuwa ndio timu ya London itakayoishi kwa matumaini na mashabiki wake wakiomba dua sana timu isishuke daraja.