Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1780186083090.png
 
Mali bila daftari hupotea bila habari
TUMEFILISIKA
TUMEPOTEZA MVUTO
KWA PESA HATA SPURS ILIYOPONEA KUSHUKA DARAJA WANATUZIDI
EBU CHEKI HAYA MANENO
✔️ Manchester City imewasilisha ombi la kumsajili Elliot Anderson.
✔️ Manchester United imefikia makubaliano ya kumsajili Ederson.
✔️ Tottenham imemaliza usajili wa Senesi na Robertson, na pia imewasilisha ofa kwa Savinho na Van Hecke.
✔️ Arsenal wako katika mazungumzo na Morgan Rogers.
✔️ Liverpool wako na Yan Diomande.
✔️ Barcelona imemsajili Gordon na imewasilisha ofa kwa Álvarez.
✔️ Real Madrid imewafunga mikataba Konaté na Dumfries.
✔️ Bayern Munich wako kwenye mazungumzo ya kumsajili Ismael Saibari.
✔️ Wakati huo huo, Chelsea wana Imani na Tosin, huku Delap na Garnacho wakijiandaa kupigania nafasi zao. 😂😂😂
Xabi Alonso si kocha wa miujiza; Chelsea inayo kazi kubwa msimu ujao
Tusipoangalia tutakuwa ndio timu ya London itakayoishi kwa matumaini na mashabiki wake wakiomba dua sana timu isishuke daraja.
1780569576322.png
 
Du!! Hapa mtaani kwetu ni kama watu wote tumehama.
Shida ni habari ya mjini ni ubingwa wa Arsenal lakini mna chuki na sisi so hamtaki kutujadili.

Habari ingine ya mjini ni kwamba hali yenu ya kiuchumi ni mbaya kinoma. Hilo pia hamuwezi kulijadili.

Sasa hakuna kingine cha kuongea humu.
 
Shida ni habari ya mjini ni ubingwa wa Arsenal lakini mna chuki na sisi so hamtaki kutujadili.

Habari ingine ya mjini ni kwamba hali yenu ya kiuchumi ni mbaya kinoma. Hilo pia hamuwezi kulijadili.

Sasa hakuna kingine cha kuongea humu.
Ubingwa wa England sio issue kwetu tulikuwa tunawaonea huruma mnavyotaabika na Champions league angalau mlishike kwa mara ya kwanza ila nayo imebuma.

Kuhusu uchumi ni suala la mda tu kila kitu kitakaa sawa. Hatuwezi kumuanea wivu asenyeto kwani sio level yetu. Alete kwanza kombe la mabigwa wa ulaya London ndio mje tujadiliane.
 
Ok, tupo bro tunafatilia kombe la dunia kuanzia leo tupate kuona wachezaji bora wa kuwasajili watue darajani si unajua sisi ni sajili sajili kaka
Mna Hela sasa ya kusajili Chelsea, msijevunja Tena financial fair play mkafungiwa Tena kusajili.…
Au mshachukua Mbinu wanazofanya Real,PSG na Mancity wasishtukiwe
 
Ok, tupo bro tunafatilia kombe la dunia kuanzia leo tupate kuona wachezaji bora wa kuwasajili watue darajani si unajua sisi ni sajili sajili kaka
Kweli sisi ni waibua vipaji. Kwa sasa namna ya kuwatumia ndio mziki
 
Mna Hela sasa ya kusajili Chelsea, msijevunja Tena financial fair play mkafungiwa Tena kusajili.…
Au mshachukua Mbinu wanazofanya Real,PSG na Mancity wasishtukiwe
Hapo kwenye kuvunja financial fair play lazima uwe na pesa ya kusajili,.

Pesa haijawahi kuwa tatizo kwetu labda ungesema tunaitumiaje hapo mziki mwingine
 
Cucurella huyoo madrid, Jose anamuhitaji.... mendy ni mzuri ila spana mkononi.... Alvaro anaonekana hatoshi !

Bado Enzo asepe !!!

Zile interviews zao hazikuja kwa bahati mbaya... wameshachoka kukaa darajani
 
Cucurella huyoo madrid, Jose anamuhitaji.... mendy ni mzuri ila spana mkononi.... Alvaro anaonekana hatoshi !

Bado Enzo asepe !!!

Zile interviews zao hazikuja kwa bahati mbaya... wameshachoka kukaa darajani
Mimi kilichoniuma pesa waliomuuza Sio kubwa yaani
 
Mimi kilichoniuma pesa waliomuuza Sio kubwa yaani
Chelsea imetengeneza faida ya pauni 32m baada ya Amortisation.
Alinunuliwa miaka 4 iliyopita kwa £63m ( £56m pesa taslimu + £7m add‑ons )
Anauzwa leo kwa £51.9m, pamoja na add‑ons
Thamani ya Marc Cucurella baada ya amortisation = £21m
Anauzwa kwa £51.9m
Faida = £31m

Chelsea wanataka nini zaidi?
Faida hiyo itatumika kuziba nafasi yake kama Xabi Alonso atasikilizwa
Wamlete hata Alejandro Grimaldo ana miaka 30 bado yuko kwenye fomu, anakuwa suluhishoi la muda mfupi ili kupisha Jorrel Hato akue akomae kiakili , kimaamuzi na kiuongozi
 
Chelsea imetengeneza faida ya pauni 32m baada ya Amortisation.
Alinunuliwa miaka 4 iliyopita kwa £63m ( £56m pesa taslimu + £7m add‑ons )
Anauzwa leo kwa £51.9m, pamoja na add‑ons
Thamani ya Marc Cucurella baada ya amortisation = £21m
Anauzwa kwa £51.9m
Faida = £31m

Chelsea wanataka nini zaidi?
Faida hiyo itatumika kuziba nafasi yake kama Xabi Alonso atasikilizwa
Wamlete hata Alejandro Grimaldo ana miaka 30 bado yuko kwenye fomu, anakuwa suluhishoi la muda mfupi ili kupisha Jorrel Hato akue akomae kiakili , kimaamuzi na kiuongozi
Chelsea walikuwa wapo kwenye position nzuri ya kuumuza kuanzia pound 67M+ kutokana na ushindani wa team zilizokuwa zinamtaka kumbuka A.Madrid, Barcelona na Real Madrid zote zilikuwa zinamtaka plus mchezaji ana mkataba na team na umri wa Cucurella ni umri mzuri wa sokoni miaka 27 alafu ni mchezaji wa maana kwanini umuuze kwa hiyo bei? Team kama Brighton hapa ndipo wanakupiga kweli kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom