Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Crystal Palace iliyo number 15 naye anakwenda Europa League
Timu tisa msimu ujao watawakilisha EPL kwenye michuano ya Ulaya. Yaani timu tisa zitakuwa zikicheza mara mbili kwa wiki huku Chelsea ya Xabi Alonso ikicheza mara moja kwa wiki na mechi nyingi zitafanyika jumatatu. What a coincidence.
 
Sasa asipouzwa si atacheza chini ya kiwango
Enzo Fernandez ameruhusiwa kuzwa na bei ya 120m imetajwa. Kama Enzo akishindwa kuuzwa kwa sababu wanaomtaka wameshindwa kulipa bei hata ya 70m na adons zifike 80m basi Enzo hataishi darajani kwa kinyongo. Nimesema haya kwa sababu kama Real Madrid wakija na kunegotiate anaweza kupewa hata kwa bei hiyo ya mil 80 au waje na pesa na mchgezaji tunayemtaka kama kubadilishana na awe mchezaji anayekubali kuja Chelsea
 
Maoni yangu na inaweza kuwa kweli kwa sababu, Chelsea haikusema lolote mwaka jana baada ya kukubaliana terms bali mwezi huu ndio wamesaini pre agrement naye ili dirisha likifunguliwa tu asainiwe
Tunashindwa kukubaliana kwenye hili tu huyo dogo uongozi wamemchukua kama potential sio kuwa mbadala wa Enzo Nini hapo usichokielewa?
 
Tunashindwa kukubaliana kwenye hili tu huyo dogo uongozi wamemchukua kama potential sio kuwa mbadala wa Enzo Nini hapo usichokielewa?
Hayo maoni yako na mimi maon i yangu. Kati yangu na wewe hakuna mwenye udhibitisho kwamba sio mbadala. Fujo anazotoa Enzo za kutaka kutoka lazima kuwepo plan B ambayo ndio hiyo ya Barco kwa maoni yangu
 
BREAKING: Ibrahima Konaté aondoka Liverpool kama mchezaji huru, uamuzi umeshafanyika.

Baada ya mazungumzo zaidi juu ya kuingia mkataba ili kusalia Liverpool na uthibitisho kutoka kwa mchezaji mwezi Aprili, Konaté aataondoka Liverpool baada ya kukosekana makubaliano ya mwisho.

Mazungumzo yamekatika, kama@TalkSport wanavyoripoti.

Maoni yangu

Ibrahima Konaté yuko chini ya kiwango cha Chelsea's.
Weaknesses ni:
  1. Anaumia too often
  2. Anafanya individual errors mara kwa mara
  3. Poor decision-making inamfanya acheze reckless na kukaa nje ya nafasi yake
  4. Mbovu kwenye 1v1 na ni anapitika kiurahisi kwenye transitions
  5. Anakosa composure na usahihi akiwa kwenye pressure
  6. Anajisahahu na kumfanya awe inconsistent msimu mzima
  7. Ni poor kwenye aerial & ground duels, interceptions, na anapoteza mpira sana.
Chelsea, please kaa mbali naye. Yeye ni moja ya sababu Liverpool imekuwa poor defensively this 2025/26 season.

1780072190240.png
 
Msikilizeni huyu mjinga
“Kushinda Ligi ya Mabingwa ni hisia nzuri, lakini itakuwa bora zaidi kama nitaweza kuishinda nikiwa na Arsenal. Itanipa maana kubwa zaidi.”
Kwa ufupi, Havertz anaonyesha kuwa ingawa tayari ameshinda Ligi ya Mabingwa akiwa na Chelsea, kufanya hivyo tena akiwa mchezaji wa Arsenal kungekuwa na thamani ya kipekee kwake binafsi — ni kama kutimiza ndoto mpya akiwa sehemu ya mradi wa Arsenal.

Mungu mkubwa na atamaliza taaluma yake ya mpira akiwa na kumbukumbu ya ushindi na Chelsea tu

1780181654245.png
 
Timu zote za ligi ya Uingereza zilzizofika fainali ya michuano ya Ulaya zimeshinda makombe isipokuwa kale katimu kamoja
.............................?
 
Mali bila daftari hupotea bila habari
TUMEFILISIKA
TUMEPOTEZA MVUTO
KWA PESA HATA SPURS ILIYOPONEA KUSHUKA DARAJA WANATUZIDI
EBU CHEKI HAYA MANENO
✔️ Manchester City imewasilisha ombi la kumsajili Elliot Anderson.
✔️ Manchester United imefikia makubaliano ya kumsajili Ederson.
✔️ Tottenham imemaliza usajili wa Senesi na Robertson, na pia imewasilisha ofa kwa Savinho na Van Hecke.
✔️ Arsenal wako katika mazungumzo na Morgan Rogers.
✔️ Liverpool wako na Yan Diomande.
✔️ Barcelona imemsajili Gordon na imewasilisha ofa kwa Álvarez.
✔️ Real Madrid imewafunga mikataba Konaté na Dumfries.
✔️ Bayern Munich wako kwenye mazungumzo ya kumsajili Ismael Saibari.
✔️ Wakati huo huo, Chelsea wana Imani na Tosin, huku Delap na Garnacho wakijiandaa kupigania nafasi zao. 😂😂😂
Xabi Alonso si kocha wa miujiza; Chelsea inayo kazi kubwa msimu ujao
Tusipoangalia tutakuwa ndio timu ya London itakayoishi kwa matumaini na mashabiki wake wakiomba dua sana timu isishuke daraja.
1780569576322.png
 
Du!! Hapa mtaani kwetu ni kama watu wote tumehama.
Shida ni habari ya mjini ni ubingwa wa Arsenal lakini mna chuki na sisi so hamtaki kutujadili.

Habari ingine ya mjini ni kwamba hali yenu ya kiuchumi ni mbaya kinoma. Hilo pia hamuwezi kulijadili.

Sasa hakuna kingine cha kuongea humu.
 
Shida ni habari ya mjini ni ubingwa wa Arsenal lakini mna chuki na sisi so hamtaki kutujadili.

Habari ingine ya mjini ni kwamba hali yenu ya kiuchumi ni mbaya kinoma. Hilo pia hamuwezi kulijadili.

Sasa hakuna kingine cha kuongea humu.
Ubingwa wa England sio issue kwetu tulikuwa tunawaonea huruma mnavyotaabika na Champions league angalau mlishike kwa mara ya kwanza ila nayo imebuma.

Kuhusu uchumi ni suala la mda tu kila kitu kitakaa sawa. Hatuwezi kumuanea wivu asenyeto kwani sio level yetu. Alete kwanza kombe la mabigwa wa ulaya London ndio mje tujadiliane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom