TUMEFILISIKAMali bila daftari hupotea bila habari
Kuhama kwenda wapi?Du!! Hapa mtaani kwetu ni kama watu wote tumehama.
Shida ni habari ya mjini ni ubingwa wa Arsenal lakini mna chuki na sisi so hamtaki kutujadili.Du!! Hapa mtaani kwetu ni kama watu wote tumehama.
Yaani ukimya umenifanya niwaze hivyoKuhama kwenda wapi?
Ubingwa wa England sio issue kwetu tulikuwa tunawaonea huruma mnavyotaabika na Champions league angalau mlishike kwa mara ya kwanza ila nayo imebuma.Shida ni habari ya mjini ni ubingwa wa Arsenal lakini mna chuki na sisi so hamtaki kutujadili.
Habari ingine ya mjini ni kwamba hali yenu ya kiuchumi ni mbaya kinoma. Hilo pia hamuwezi kulijadili.
Sasa hakuna kingine cha kuongea humu.
Ok, tupo bro tunafatilia kombe la dunia kuanzia leo tupate kuona wachezaji bora wa kuwasajili watue darajani si unajua sisi ni sajili sajili kakaYaani ukimya umenifanya niwaze hivyo
Mna Hela sasa ya kusajili Chelsea, msijevunja Tena financial fair play mkafungiwa Tena kusajili.…Ok, tupo bro tunafatilia kombe la dunia kuanzia leo tupate kuona wachezaji bora wa kuwasajili watue darajani si unajua sisi ni sajili sajili kaka
Kweli sisi ni waibua vipaji. Kwa sasa namna ya kuwatumia ndio mzikiOk, tupo bro tunafatilia kombe la dunia kuanzia leo tupate kuona wachezaji bora wa kuwasajili watue darajani si unajua sisi ni sajili sajili kaka
Hapo kwenye kuvunja financial fair play lazima uwe na pesa ya kusajili,.Mna Hela sasa ya kusajili Chelsea, msijevunja Tena financial fair play mkafungiwa Tena kusajili.…
Au mshachukua Mbinu wanazofanya Real,PSG na Mancity wasishtukiwe
Ngoja tusubir kuona Alonso atakuja na kipya gani, maana tumeshakuwa wa kuishi kwa hopeKweli sisi ni waibua vipaji. Kwa sasa namna ya kuwatumia ndio mziki
Alonso akipewa mda na mamlaka juu ya wachezaji anaweza kutuvusha tatizo wamiliki wana mihemko na ukuaji mwingi.Ngoja tusubir kuona Alonso atakuja na kipya gani, maana tumeshakuwa wa kuishi kwa hope
Kweli sema hataki kupelekeshwa afu maboss ndo hao kichefu chefuAlonso akipewa mda na mamlaka juu ya wachezaji anaweza kutuvusha tatizo wamiliki wana mihemko na ukuaji mwingi.
Mimi kilichoniuma pesa waliomuuza Sio kubwa yaaniCucurella huyoo madrid, Jose anamuhitaji.... mendy ni mzuri ila spana mkononi.... Alvaro anaonekana hatoshi !
Bado Enzo asepe !!!
Zile interviews zao hazikuja kwa bahati mbaya... wameshachoka kukaa darajani
Chelsea imetengeneza faida ya pauni 32m baada ya Amortisation.Mimi kilichoniuma pesa waliomuuza Sio kubwa yaani
Chelsea walikuwa wapo kwenye position nzuri ya kuumuza kuanzia pound 67M+ kutokana na ushindani wa team zilizokuwa zinamtaka kumbuka A.Madrid, Barcelona na Real Madrid zote zilikuwa zinamtaka plus mchezaji ana mkataba na team na umri wa Cucurella ni umri mzuri wa sokoni miaka 27 alafu ni mchezaji wa maana kwanini umuuze kwa hiyo bei? Team kama Brighton hapa ndipo wanakupiga kweli kweliChelsea imetengeneza faida ya pauni 32m baada ya Amortisation.
Alinunuliwa miaka 4 iliyopita kwa £63m ( £56m pesa taslimu + £7m add‑ons )
Anauzwa leo kwa £51.9m, pamoja na add‑ons
Thamani ya Marc Cucurella baada ya amortisation = £21m
Anauzwa kwa £51.9m
Faida = £31m
Chelsea wanataka nini zaidi?
Faida hiyo itatumika kuziba nafasi yake kama Xabi Alonso atasikilizwa
Wamlete hata Alejandro Grimaldo ana miaka 30 bado yuko kwenye fomu, anakuwa suluhishoi la muda mfupi ili kupisha Jorrel Hato akue akomae kiakili , kimaamuzi na kiuongozi
Mimi kilichoniuma pesa waliomuuza Sio kubwa yaani