Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,443
Nakupelekea motro, hadi useme uzi wa arsenal sijiTulia bwashe, tukutane next season 😎
kula chuma hichoo, chelkenge weeDu!?? Chelsea yangu inatia huruma. Anyway niliipenda mwenyewe ngoja nivumlie " No permanent situation"
Si hua tunasema chelsea imeundwa na plastic fans hua wanabisha? Zee la essay limesema ukweli wake.Kuna watu wananisumbua kuhusu masuala ya Chelshit, muwaambie mimi niko mkopo Man city hadi mwishgo wa msimu, tutaonana preseason na wasipofanya usajili mzuri wa kocha na wachezaji mimi nitafanya mkopo wangu wa Man City kuwa Parmanent loan. SITANII! 🙁
80+% ya mashabiki wa Arsenal walikuwa mkopo muda mrefu sana. Wengine ndio wamerudi juzi juzi tu na wengi wao wameamua kuwa parmanenmtly trasnfered to Man City na baadhi walikuja ChelseaSi hua tunasema chelsea imeundwa na plastic fans hua wanabisha? Zee la essay limesema ukweli wake.
Hawa wengine wameshahama ila kusema wanaogopa.
Timu imeanzishwa mwaka 2000 itatoa wapi mashabiki kama siyo mamluki. Na huko City Arsenal tutahakikisha unahama.
Si ndiyo nyinyi mpo huko Chelsea.80+% ya mashabiki wa Arsenal walikuwa mkopo muda mrefu sana. Wengine ndio wamerudi juzi juzi tu na wengi wao wameamua kuwa parmanenmtly trasnfered to Man City na baadhi walikuja Chelsea
Kila mtu abaki kwny matatizo yake🤠🤠🤠....unakimbia nyumba yako unakwnda wapi....kumbuka mna kikosi kizuri....Caicedo mirafu....Teka la magoli Pedro....beki kisiki Chalobah....vumilia jirani au kama vp mrudisheni drogba azime pale mbele....bdo ana udambwidambwi miguuni mzee wetu yuleKuna watu wananisumbua kuhusu masuala ya Chelshit, muwaambie mimi niko mkopo Man city hadi mwishgo wa msimu, tutaonana preseason na wasipofanya usajili mzuri wa kocha na wachezaji mimi nitafanya mkopo wangu wa Man City kuwa Parmanent loan. SITANII! 🙁
Naona mwaka huu maisha umeyapatia. Hatupumuikula chuma hichoo, chelkenge wee
Kaangalie sword dynasty, wazee wa white goat cave.Naona mwaka huu maisha umeyapatia. Hatupumui
Jirani sitaki kuamini mnataka kutushangaza😮💨 , ila nitakua mtu wa mwisho kbs kuamini. Sisi pia tupo na nyie kubana mbupu kwa nyakati zote.Mlipofikia kwa sasa hatutakiwi tuwaseme na kuwakebehi....inabidi tuwafariji majirani🤠🤠🤠....tupo na nyny kwny nyakati hizi ngumu majirani
Wapunguzie matumaini hawa viande. watakufa na kisukari wakijua wanatoka mikono mitupu. bado hesabu linakubali kbs kutoka mikono mitupu.Arsenal imeshabeba kombe, tujiandae kisaikolojia
Mechi zilizobaki
Arsenal’s last 3 games (76pts)
Mancity’s last 4 games (71pts)
- Westham,
- Burnley,
- Crystal palace
Arsenal anabeba point zote wakati Man City naona gemu kama moja au mbili atachapia
- Brentford,
- Crystal Palace,
- Bournemouth,
- Aston villa
Arsenal atabeba kombe akiwa na mechi moja mkononi
Sahizi nahamia huko, naona timu yangu inaweza kunitoa roho. Ila we will come back strong. Asante kwa chuma maridadi.Kaangalie sword dynasty, wazee wa white goat cave.
Kula chuma hicho
Ohh the gunners, ucl final, epl jmosi hiyoSahizi nahamia huko, naona timu yangu inaweza kunitoa roho. Ila we will come back strong. Asante kwa chuma maridadi.