juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Haitokuja itokeee, Hizi ndoto inabidi uamke mapema sana
Haitokuja itokeee, Hizi ndoto inabidi uamke mapema sana
Leo tunashinda, Forest kawekeza nguvu zaidi kwenye nusu fainaliKuna umuhimu wowote wa kuangalia hiyo mechi?
Mnashinda njaaLeo tunashinda, Forest kawekeza nguvu zaidi kwenye nusu fainali
Kweli hatupo serious kabisaMnashinda njaa
Mnaweza comeback tusubiri?Kweli hatupo serious kabisa
Ndo kwanza tunaongezwa tuMnaweza comeback tusubiri?
Nyinyi hamjataka kuwekeza nguvu angalau muende conference league?Leo tunashinda, Forest kawekeza nguvu zaidi kwenye nusu fainali
Mlipofikia kwa sasa hatutakiwi tuwaseme na kuwakebehi....inabidi tuwafariji majirani🤠🤠🤠....tupo na nyny kwny nyakati hizi ngumu majiraniHawa wehu hawajui leo ni siku ya kazi, mechi wameiweka saa 11.