Ndo kwanza tunaongezwa tuMnaweza comeback tusubiri?
Nyinyi hamjataka kuwekeza nguvu angalau muende conference league?Leo tunashinda, Forest kawekeza nguvu zaidi kwenye nusu fainali
Mlipofikia kwa sasa hatutakiwi tuwaseme na kuwakebehi....inabidi tuwafariji majirani🤠🤠🤠....tupo na nyny kwny nyakati hizi ngumu majiraniHawa wehu hawajui leo ni siku ya kazi, mechi wameiweka saa 11.
Nakupelekea motro, hadi useme uzi wa arsenal sijiTulia bwashe, tukutane next season 😎
kula chuma hichoo, chelkenge weeDu!?? Chelsea yangu inatia huruma. Anyway niliipenda mwenyewe ngoja nivumlie " No permanent situation"
Si hua tunasema chelsea imeundwa na plastic fans hua wanabisha? Zee la essay limesema ukweli wake.Kuna watu wananisumbua kuhusu masuala ya Chelshit, muwaambie mimi niko mkopo Man city hadi mwishgo wa msimu, tutaonana preseason na wasipofanya usajili mzuri wa kocha na wachezaji mimi nitafanya mkopo wangu wa Man City kuwa Parmanent loan. SITANII! 🙁
80+% ya mashabiki wa Arsenal walikuwa mkopo muda mrefu sana. Wengine ndio wamerudi juzi juzi tu na wengi wao wameamua kuwa parmanenmtly trasnfered to Man City na baadhi walikuja ChelseaSi hua tunasema chelsea imeundwa na plastic fans hua wanabisha? Zee la essay limesema ukweli wake.
Hawa wengine wameshahama ila kusema wanaogopa.
Timu imeanzishwa mwaka 2000 itatoa wapi mashabiki kama siyo mamluki. Na huko City Arsenal tutahakikisha unahama.