Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna watu wananisumbua kuhusu masuala ya Chelshit, muwaambie mimi niko mkopo Man city hadi mwishgo wa msimu, tutaonana preseason na wasipofanya usajili mzuri wa kocha na wachezaji mimi nitafanya mkopo wangu wa Man City kuwa Parmanent loan. SITANII! 🙁
 
Du!?? Chelsea yangu inatia huruma. Anyway niliipenda mwenyewe ngoja nivumlie " No permanent situation"
 
Mamamaee hivi hii ni timu au kikundi cha wapiga nyeto ? , Chelnyeto .Kum@ la màmako Eghbali ,Toddy ,clearlake capital na FA mbwa niñyi kwa kuihujumu Chelsea , Timu ilitakiwa kubaki kwa Abrahmovich maanina
 
Arsenal imeshabeba kombe, tujiandae kisaikolojia
Mechi zilizobaki
Arsenal’s last 3 games (76pts)
  1. Westham,
  2. Burnley,
  3. Crystal palace
Mancity’s last 4 games (71pts)
  1. Brentford,
  2. Crystal Palace,
  3. Bournemouth,
  4. Aston villa
Arsenal anabeba point zote wakati Man City naona gemu kama moja au mbili atachapia
Arsenal atabeba kombe akiwa na mechi moja mkononi
 
Kuna watu wananisumbua kuhusu masuala ya Chelshit, muwaambie mimi niko mkopo Man city hadi mwishgo wa msimu, tutaonana preseason na wasipofanya usajili mzuri wa kocha na wachezaji mimi nitafanya mkopo wangu wa Man City kuwa Parmanent loan. SITANII! 🙁
Si hua tunasema chelsea imeundwa na plastic fans hua wanabisha? Zee la essay limesema ukweli wake.
Hawa wengine wameshahama ila kusema wanaogopa.
Timu imeanzishwa mwaka 2000 itatoa wapi mashabiki kama siyo mamluki. Na huko City Arsenal tutahakikisha unahama.
 
Si hua tunasema chelsea imeundwa na plastic fans hua wanabisha? Zee la essay limesema ukweli wake.
Hawa wengine wameshahama ila kusema wanaogopa.
Timu imeanzishwa mwaka 2000 itatoa wapi mashabiki kama siyo mamluki. Na huko City Arsenal tutahakikisha unahama.
80+% ya mashabiki wa Arsenal walikuwa mkopo muda mrefu sana. Wengine ndio wamerudi juzi juzi tu na wengi wao wameamua kuwa parmanenmtly trasnfered to Man City na baadhi walikuja Chelsea
 
80+% ya mashabiki wa Arsenal walikuwa mkopo muda mrefu sana. Wengine ndio wamerudi juzi juzi tu na wengi wao wameamua kuwa parmanenmtly trasnfered to Man City na baadhi walikuja Chelsea
Si ndiyo nyinyi mpo huko Chelsea.
 
Kuna watu wananisumbua kuhusu masuala ya Chelshit, muwaambie mimi niko mkopo Man city hadi mwishgo wa msimu, tutaonana preseason na wasipofanya usajili mzuri wa kocha na wachezaji mimi nitafanya mkopo wangu wa Man City kuwa Parmanent loan. SITANII! 🙁
Kila mtu abaki kwny matatizo yake🤠🤠🤠....unakimbia nyumba yako unakwnda wapi....kumbuka mna kikosi kizuri....Caicedo mirafu....Teka la magoli Pedro....beki kisiki Chalobah....vumilia jirani au kama vp mrudisheni drogba azime pale mbele....bdo ana udambwidambwi miguuni mzee wetu yule
 
Mlipofikia kwa sasa hatutakiwi tuwaseme na kuwakebehi....inabidi tuwafariji majirani🤠🤠🤠....tupo na nyny kwny nyakati hizi ngumu majirani
Jirani sitaki kuamini mnataka kutushangaza😮‍💨 , ila nitakua mtu wa mwisho kbs kuamini. Sisi pia tupo na nyie kubana mbupu kwa nyakati zote.
 
Arsenal imeshabeba kombe, tujiandae kisaikolojia
Mechi zilizobaki
Arsenal’s last 3 games (76pts)
  1. Westham,
  2. Burnley,
  3. Crystal palace
Mancity’s last 4 games (71pts)
  1. Brentford,
  2. Crystal Palace,
  3. Bournemouth,
  4. Aston villa
Arsenal anabeba point zote wakati Man City naona gemu kama moja au mbili atachapia
Arsenal atabeba kombe akiwa na mechi moja mkononi
Wapunguzie matumaini hawa viande. watakufa na kisukari wakijua wanatoka mikono mitupu. bado hesabu linakubali kbs kutoka mikono mitupu.
 
20260506_000513.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom