Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

80+% ya mashabiki wa Arsenal walikuwa mkopo muda mrefu sana. Wengine ndio wamerudi juzi juzi tu na wengi wao wameamua kuwa parmanenmtly trasnfered to Man City na baadhi walikuja Chelsea
Si ndiyo nyinyi mpo huko Chelsea.
 
Kuna watu wananisumbua kuhusu masuala ya Chelshit, muwaambie mimi niko mkopo Man city hadi mwishgo wa msimu, tutaonana preseason na wasipofanya usajili mzuri wa kocha na wachezaji mimi nitafanya mkopo wangu wa Man City kuwa Parmanent loan. SITANII! 🙁
Kila mtu abaki kwny matatizo yake🤠🤠🤠....unakimbia nyumba yako unakwnda wapi....kumbuka mna kikosi kizuri....Caicedo mirafu....Teka la magoli Pedro....beki kisiki Chalobah....vumilia jirani au kama vp mrudisheni drogba azime pale mbele....bdo ana udambwidambwi miguuni mzee wetu yule
 
Mlipofikia kwa sasa hatutakiwi tuwaseme na kuwakebehi....inabidi tuwafariji majirani🤠🤠🤠....tupo na nyny kwny nyakati hizi ngumu majirani
Jirani sitaki kuamini mnataka kutushangaza😮‍💨 , ila nitakua mtu wa mwisho kbs kuamini. Sisi pia tupo na nyie kubana mbupu kwa nyakati zote.
 
Arsenal imeshabeba kombe, tujiandae kisaikolojia
Mechi zilizobaki
Arsenal’s last 3 games (76pts)
  1. Westham,
  2. Burnley,
  3. Crystal palace
Mancity’s last 4 games (71pts)
  1. Brentford,
  2. Crystal Palace,
  3. Bournemouth,
  4. Aston villa
Arsenal anabeba point zote wakati Man City naona gemu kama moja au mbili atachapia
Arsenal atabeba kombe akiwa na mechi moja mkononi
Wapunguzie matumaini hawa viande. watakufa na kisukari wakijua wanatoka mikono mitupu. bado hesabu linakubali kbs kutoka mikono mitupu.
 
20260506_000513.jpg
 
Baadhi ya watu ndani ya bodi ya Chelsea wanamtaka Xabi Alonso, wengine wanampendelea Iraola, na wengine wana majina tofauti kabisa. Hapo ndipo shida inapoanzia, ukiwa na wakurugenzi wa michezo watano, kila mmoja ana falsafa yake, maono yake, na chaguo lake.

Matokeo yake, badala ya kuwa na mwelekeo mmoja wa kiufundi, unapata klabu inayojaribu kusawazisha maoni mengi kuliko inavyoweza kuyatekeleza. Fikiria klabu kubwa kama Chelsea ikitumia mfumo wa kupiga kura kumchagua kocha — si rahisi kupata uthabiti wala mwelekeo wa muda mrefu.

Kwa kifupi, tatizo si majina ya makocha, bali ukosefu wa umoja wa maamuzi kwenye ngazi ya juu.
 
Makombe yote yanaweza kuja Uingereza?
  1. UCL: Arsenal vs. PSG.
  2. UEL: Aston Villa vs. Freiburg.
  3. UECL: Crystal Palace vs. Rayo Vallecano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom