Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wana wakurugenzi watano wa michezo (SDs) pamoja na angalau mmoja wa wamiliki mwenza ambaye anahusika moja kwa moja na masuala ya soka. Kwa hiyo kocha yeyote anayehitaji mamlaka kamili juu ya timu asahau kabisa.

@Matt_Law_DT

1777384485543.png
 
Lembu matajiri wanazingua ila SD nao wanazingua unaqeza fata plan yote ya matajiri kusajili wachezaj wazuri bila hata kuleta wa hovyo

Rayan Cherki anamiaka mingapi??? Semenyo anamiaka mingapi,Xavi Simmon etc

Inshort wachezaj wazuri chini yamiaka 25 wapo ila tuliamua kupoteza hela na hiyo ni swala la SD
Chelsea wana wakurugenzi watano wa michezo (SDs) pamoja na angalau mmoja wa wamiliki mwenza ambaye anahusika moja kwa moja na masuala ya soka. Kwa hiyo kocha yeyote anayehitaji mamlaka kamili juu ya timu asahau kabisa.

@Matt_Law_DT

View attachment 3580860
 
Kwa hii team hatuwezi kupata mtu atakae weza wachallange wale SD

Team gani kubwa ushawah ona ina SD wawili na wote kutoka team ndogo?
Chelsea wana wakurugenzi watano wa michezo (SDs) pamoja na angalau mmoja wa wamiliki mwenza ambaye anahusika moja kwa moja na masuala ya soka. Kwa hiyo kocha yeyote anayehitaji mamlaka kamili juu ya timu asahau kabisa.

@Matt_Law_DT
 
Chelsea wana wakurugenzi watano wa michezo (SDs) pamoja na angalau mmoja wa wamiliki mwenza ambaye anahusika moja kwa moja na masuala ya soka. Kwa hiyo kocha yeyote anayehitaji mamlaka kamili juu ya timu asahau kabisa.

@Matt_Law_DT

Tunazunguka eeh ila tusahau swala la kocha Hatafuti mmiliki wanaotafuta ni SD same kwa wachezaji mmiliki ni kama amekupa funguo wewe ametala team yake iwe abcd na wewe kwakuwa ndio mtu wa mpira unao uwezo wa kufollow plan hiyo hiyo au ukashauri.

Kwa swala la Kocha SD ndio wanaotafuta kocha mmiliki yeye ni kuridhia kama SD wameridhia. Kama watu wasingeluwa wanaelewa wangeeondoka mapema mfano mzuri ni Vivel alimtaka Naglesman ila watu ikawa tofauti akasepa zakd.

SD ndio wanaofanya shortlist na interview mmiliki yeye ni kukubal suggestion za SD kocha huyu anafaa au hafai, mchezaki huyu anafaa au hafai then owner nae anaridhia
 
Tunazunguka eeh ila tusahau swala la kocha Hatafuti mmiliki wanaotafuta ni SD same kwa wachezaji mmiliki ni kama amekupa funguo wewe ametala team yake iwe abcd na wewe kwakuwa ndio mtu wa mpira unao uwezo wa kufollow plan hiyo hiyo au ukashauri.

Kwa swala la Kocha SD ndio wanaotafuta kocha mmiliki yeye ni kuridhia kama SD wameridhia. Kama watu wasingeluwa wanaelewa wangeeondoka mapema mfano mzuri ni Vivel alimtaka Naglesman ila watu ikawa tofauti akasepa zakd.

SD ndio wanaofanya shortlist na interview mmiliki yeye ni kukubal suggestion za SD kocha huyu anafaa au hafai, mchezaki huyu anafaa au hafai then owner nae anaridhia
Wewe unaongelea yaliyo kwenye makaratasi mimi naongelea kinachofanyika kwenye matendo Beghdad Eghbali anafanya kazi za SDs waulize walio jikoni wakuambie.

While officially, Behdad Eghbali is not a Sporting Director, multiple credible reports and insider accounts say he interferes directly in areas that normally belong to the SDs.

Yes. He interferes, influences, and sometimes overrides SD responsibilities.

Eghbali is heavily involved in transfers​

Several reputable journalists (The Athletic, BBC Sports, SkySports) have reported that:
  • He personally joins transfer negotiations
  • He pushes certain signings
  • He has a say in player sales
  • He sometimes overrides the football staff
This is classic Sporting Director territory.

Eghbali is directly involved in Pochettino and Liam Rosenior's exit
 
Wewe unaongelea yaliyo kwenye makaratasi mimi naongelea kinachofanyika kwenye matendo Beghdad Eghbali anafanya kazi za SDs waulize walio jikoni wakuambie.

While officially, Behdad Eghbali is not a Sporting Director, multiple credible reports and insider accounts say he interferes directly in areas that normally belong to the SDs.

Yes. He interferes, influences, and sometimes overrides SD responsibilities.

Eghbali is heavily involved in transfers​

Several reputable journalists (The Athletic, BBC Sports, SkySports) have reported that:
  • He personally joins transfer negotiations
  • He pushes certain signings
  • He has a say in player sales
  • He sometimes overrides the football staff
This is classic Sporting Director territory.

Eghbali is directly involved in Pochettino and Liam Rosenior's exit
Swali ninani anaefanya shortlist??? Au anaefanya scouting ???

Sijakataa kama wamiliki hawana kosa ila SD nao wanamakosa, wenzetu huwa wakiona wanaingiliwa kwenye majukum yao huwa chap wanasepa,

Sd ndio wanaona team inahitaji nini na mchezaji huyu anatufaa, unataka kusema Kwamba Eghbal ndie aliyemuona Garnacho,Gittens??? au ndie aliyemuona Estevao??

Tukubali Eghbali anaweza ingilia kwenye negotiation kama ilivyokuwa kwa Enzo,Caicedo au Mudryk ila swala la Kuangalia wachezaji hapo tusiseme ni yeye SD ndio wanafanya hiyo kazi ya kuangalia wachezaj wanaofaa na wasiofaa na hata kwenye shortlist ya makocha wao ndio wanashortlist mengineyo yanafata

Ingekuwa Eghbal anawaangilia kwenye majukum yao siku nyingi sana wangekuwa washaondoka,
 
Swali ninani anaefanya shortlist??? Au anaefanya scouting ???

Sijakataa kama wamiliki hawana kosa ila SD nao wanamakosa, wenzetu huwa wakiona wanaingiliwa kwenye majukum yao huwa chap wanasepa,

Sd ndio wanaona team inahitaji nini na mchezaji huyu anatufaa, unataka kusema Kwamba Eghbal ndie aliyemuona Garnacho,Gittens??? au ndie aliyemuona Estevao??

Tukubali Eghbali anaweza ingilia kwenye negotiation kama ilivyokuwa kwa Enzo,Caicedo au Mudryk ila swala la Kuangalia wachezaji hapo tusiseme ni yeye SD ndio wanafanya hiyo kazi ya kuangalia wachezaj wanaofaa na wasiofaa na hata kwenye shortlist ya makocha wao ndio wanashortlist mengineyo yanafata

Ingekuwa Eghbal anawaangilia kwenye majukum yao siku nyingi sana wangekuwa washaondoka,
Kama kaingilia kusajili Enzo, Caicedo, Mudryk kwa nini unamtenga kwa Garnancho na Gittens?
Kwa nini unamtega kwenye ajira ya Liam Rosenior?

SkySports: Chelsea’s plan this summer is clear. They’re going to sign players, but not just young talents anymore. They explored moves for van Dijk & Salah in the summer. The most influential figure is Behdad Eghbali he’s driving things at the top.”
 
Kama kaingilia kusajili Enzo, Caicedo, Mudryk kwa nini unamtenga kwa Garnancho na Gittens?
Kwa nini unamtega kwenye ajira ya Liam Rosenior?

SkySports: Chelsea’s plan this summer is clear. They’re going to sign players, but not just young talents anymore. They explored moves for van Dijk & Salah in the summer. The most influential figure is Behdad Eghbali he’s driving things at the top.”
Kwa van Dijk ni sawa ila sio mo Salah kuwa experienced player haimaanishi ni kuwa na umri mkubwa la hasha ni kuwa na sauti na kiunganishi kwa team kitu ambacho Salah Hana na kiwango chake sio kikubwa kama misimu iliyopita. Sasa hapa ndipo nawashangaa hawa wamiliki
 
Kama kaingilia kusajili Enzo, Caicedo, Mudryk kwa nini unamtenga kwa Garnancho na Gittens?
Kwa nini unamtega kwenye ajira ya Liam Rosenior?

SkySports: Chelsea’s plan this summer is clear. They’re going to sign players, but not just young talents anymore. They explored moves for van Dijk & Salah in the summer. The most influential figure is Behdad Eghbali he’s driving things at the top.”
Nimetoa mfano hapo katika kitu unachokisahau ni kuwa Hii team kwa sasa ina PR kubwa kuliko uhalisia,

Kitu ambacho tunachoshindwa elewana ni kuwa wewe unahisi Eghbal ndie anaefanya mamuzi yote ila kabla ya yote maamuzi yanaanzia huku chini, Sawa sawa na leo Kama Eghbal angekuwa angekuwa anamtaka kocha flan kungekuwa na haja ya kuwa na shortlist ya makocha na kuanza kuongea nao???

Wakat wa marasce kulikuwa na Thomas Frank Wakat yuko Brentford,Keran McKena wa Ipswich na Maresca wakat yuko Leicester unataka kusema Eghabal ndie aliye waona hao??

Tunasahau kuwa SD ndie wanaowaspot na mwisho wa siku wanapeleka report kuna huyu huyu nahisi watatufaa same kwa players.

Nakumbuka Boehly alisema yeye alikuwa anasajil wachezaj akiona Top Team zinawataka hence ndio chanzo cha kusajiliwa Cucurela, hapo ilikuwa ni kabla ya kuwa na SD

Ila toka kuwe na SD sajili zote zinaanzia kwao kwakuwa wao ndio wanaospot mchezaj nakuona huyu hatafaa kwetu
 
Nimetoa mfano hapo katika kitu unachokisahau ni kuwa Hii team kwa sasa ina PR kubwa kuliko uhalisia,

Kitu ambacho tunachoshindwa elewana ni kuwa wewe unahisi Eghbal ndie anaefanya mamuzi yote ila kabla ya yote maamuzi yanaanzia huku chini, Sawa sawa na leo Kama Eghbal angekuwa angekuwa anamtaka kocha flan kungekuwa na haja ya kuwa na shortlist ya makocha na kuanza kuongea nao???

Wakat wa marasce kulikuwa na Thomas Frank Wakat yuko Brentford,Keran McKena wa Ipswich na Maresca wakat yuko Leicester unataka kusema Eghabal ndie aliye waona hao??

Tunasahau kuwa SD ndie wanaowaspot na mwisho wa siku wanapeleka report kuna huyu huyu nahisi watatufaa same kwa players.

Nakumbuka Boehly alisema yeye alikuwa anasajil wachezaj akiona Top Team zinawataka hence ndio chanzo cha kusajiliwa Cucurela, hapo ilikuwa ni kabla ya kuwa na SD

Ila toka kuwe na SD sajili zote zinaanzia kwao kwakuwa wao ndio wanaospot mchezaj nakuona huyu hatafaa kwetu
Wewe upo clear kabisa sijui lembu anashindwa vipi kuelewa
 
Wewe upo clear kabisa sijui lembu anashindwa vipi kuelewa
Kwa paper na taratibu yuko sawa ila kiuhalisia anayefanya maamuzi tangu usajili wa Enzo ni Beghdad Eghbali. Yeye ndie kaja na hizi sera za kusajili watoto na anasimamia direct au kwa remote kali. Mimi ninapata taarifa za kutoka ndani ninyi mbebakia kwenye written papers za kuzuga zuga tu.
 
Kwa paper na taratibu yuko sawa ila kiuhalisia anayefanya maamuzi tangu usajili wa Enzo ni Beghdad Eghbali. Yeye ndie kaja na hizi sera za kusajili watoto na anasimamia direct au kwa remote kali. Mimi ninapata taarifa za kutoka ndani ninyi mbebakia kwenye written papers za kuzuga zuga tu.
Hakuna mtu anaepinga kuhusu hilo lakini pia ujua SD nao wanahusika kwenye uozo wetu
 
Jana unaona winger kama Kvaratskhelia, Diaz, Olise, Doue then unarudi huku unakutana na winger Gernacho, Gittern na Neto then kuna watu wanatetea SD

Kuna siku Ruud Gullit aliwahi kukutana na Boehl anajitambulisha kama former Chelsea player and coach, then akashangaa tajiri miluzi wajawahi sikia hilo jina
inshort wamiliki ni zero knowledge kwenye mpira ,SD ni puppet (chawa) wa maboss hivyo wamekutana pipa na mfuniko
 
Mikhail Mudryk amefungiwa na FA kucheza soka kwa miaka 4
Kakata rufaa CAS, ngoma inaendelea

1777479907410.png
 
Kwa paper na taratibu yuko sawa ila kiuhalisia anayefanya maamuzi tangu usajili wa Enzo ni Beghdad Eghbali. Yeye ndie kaja na hizi sera za kusajili watoto na anasimamia direct au kwa remote kali. Mimi ninapata taarifa za kutoka ndani ninyi mbebakia kwenye written papers za kuzuga zuga tu.
Mkuu maamuzi huwa hayaji hivi hivi ghafla lazima yaanzie mahali, Wanaowaspot hao makocha na wachezaj nao ni uozo huo ndio ukweli,
Jana unaona winger kama Kvaratskhelia, Diaz, Olise, Doue then unarudi huku unakutana na winger Gernacho, Gittern na Neto then kuna watu wanatetea SD

Kuna siku Ruud Gullit aliwahi kukutana na Boehl anajitambulisha kama former Chelsea player and coach, then akashangaa tajiri miluzi wajawahi sikia hilo jina
inshort wamiliki ni zero knowledge kwenye mpira ,SD ni puppet (chawa) wa maboss hivyo wamekutana pipa na mfuniko
Hii team ishakuwa ni kichekesho, yani sasahiv tuna quantity kuliko quality. tulikataa kumlipa Olise sijui 250K kwa wiki tukamuacha .

Inshort hakuna mchezaji yeyote anaejielewa atakuja kwenye hii team kwa sasa labda wabadilike

Hela tuliyotumia kwenye usajili tungekuwa na team kali sana kama ingetumika ipasavyo ila cha ajabu sasa ni kichekesho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom