Iraola au Marco Silva hakuna tofauti hapo tuendelee na maumivu.Andoni Iraola bwana YESman ataishia kusajiliwa, tusubiri tuone
Mkuu hawa SD wanapenda sana PR amini katika hilo kuwafukuzia sidhani kama ni sentens sahihi zaidi ya kutaka kuonekana kama walifanya juhudi mbele ya fans, Summer nzima unamzungumzia Xavi Simmon halaf ukaenda kwa Garnacho kama ndio priorityHao wote Chelsea iliwafukuzia lakini wachezaji walipenda kwenda City. Chelsea haiana mvuto tena. The project of kids mtu gani mzima atataka? Hata hawa waliopo wanatamani kutoka
Hawa wapumbavu waache ego ,wamrudishe maresca na wampe muda na kila resource anayotaka ajenge timu ya kushindana na Kubeba vikombe ,Kazi ibaki kwake na so huu upumbavu wa Ku taka kuwa na makocha vibaraka wasio na misimamo .kulikuwa Hamna haja ya kufukuza THOMAS Tuchel au Maresca ,Yale yalikuwa ni maamuzi ya ovyo SanaAndoni Iraola kufanya vizuri Bournemouth haimaanishi kwamba anafaa kwenye mradi wa Chelsea. Kiuhalisia, yeye ni Liam Rosenior toleo la 2.0; kocha anayejenga mfumo wake juu ya mbio nyingi na matumizi makubwa ya nguvu za wachezaji. Huo si mfumo unaolingana na kikosi cha Chelsea, na ungeongeza tu idadi ya majeraha ambayo tayari yametutesa kwa misimu kadhaa.
Wamiliki wa Chelsea bado hawajifunzi. Kila mara wanachukua makocha ambao falsafa zao hazilingani na aina ya wachezaji tulionao, halafu wanashangaa mambo yanapoharibika ghafla.
Kinachohitajika sasa ni kocha wa kiwango cha juu mwenye sifa kama za Maresca — mtu anayejenga mfumo tulivu, nidhamu uwanjani, na udhibiti wa majeruhi. Chini ya Maresca, kikosi kilipata balance, na hata wachezaji wetu wanaopata majeraha mara kwa mara waliweza kudhibitiwa vizuri kwa sababu mfumo wake ulihitaji akili na nidhamu zaidi kuliko kukimbia ovyo.
Kama wamiliki wanataka mafanikio ya muda mrefu, lazima waache kusaka “project coach” wa kusisimua na badala yake wamuajiri meneja anayolingana na wachezaji tulionao na si upumbavu wanaojaribu kulazimisha kila wakiajiri kocha.
View attachment 3577713
Wanakera kiseng£ ,na hao ni makocha wa misimamo na timu ishaanza kupata balance kabisa katika nyakati zao na walitoka kutwaa makombeRosemary shwaaaaaaaaaah
Hawa wapuuzi wa USA walifanya makosa kumfukuza Tuchel, wakarudia kosa kumfukuza Maressa.
Ngoja tuone watatuletea janga gani lingine
Kwa hii team hatuwezi kupata mtu atakae weza wachallange wale SDAu wampe nafasi Xabi Alonso
Kuna hati hati ya kuletewa kati ya hawa.
1. Marco Silva
2. Andon Iraola
3. Cec Fabrigus
Lembu matajiri wanazingua ila SD nao wanazingua unaqeza fata plan yote ya matajiri kusajili wachezaj wazuri bila hata kuleta wa hovyo
Rayan Cherki anamiaka mingapi??? Semenyo anamiaka mingapi,Xavi Simmon etc
Inshort wachezaj wazuri chini yamiaka 25 wapo ila tuliamua kupoteza hela na hiyo ni swala la SD
Chelsea wana wakurugenzi watano wa michezo (SDs) pamoja na angalau mmoja wa wamiliki mwenza ambaye anahusika moja kwa moja na masuala ya soka. Kwa hiyo kocha yeyote anayehitaji mamlaka kamili juu ya timu asahau kabisa.
@Matt_Law_DT
View attachment 3580860
Chelsea wana wakurugenzi watano wa michezo (SDs) pamoja na angalau mmoja wa wamiliki mwenza ambaye anahusika moja kwa moja na masuala ya soka. Kwa hiyo kocha yeyote anayehitaji mamlaka kamili juu ya timu asahau kabisa.Kwa hii team hatuwezi kupata mtu atakae weza wachallange wale SD
Team gani kubwa ushawah ona ina SD wawili na wote kutoka team ndogo?
Chelsea wana wakurugenzi watano wa michezo (SDs) pamoja na angalau mmoja wa wamiliki mwenza ambaye anahusika moja kwa moja na masuala ya soka. Kwa hiyo kocha yeyote anayehitaji mamlaka kamili juu ya timu asahau kabisa.
@Matt_Law_DT
Wewe unaongelea yaliyo kwenye makaratasi mimi naongelea kinachofanyika kwenye matendo Beghdad Eghbali anafanya kazi za SDs waulize walio jikoni wakuambie.Tunazunguka eeh ila tusahau swala la kocha Hatafuti mmiliki wanaotafuta ni SD same kwa wachezaji mmiliki ni kama amekupa funguo wewe ametala team yake iwe abcd na wewe kwakuwa ndio mtu wa mpira unao uwezo wa kufollow plan hiyo hiyo au ukashauri.
Kwa swala la Kocha SD ndio wanaotafuta kocha mmiliki yeye ni kuridhia kama SD wameridhia. Kama watu wasingeluwa wanaelewa wangeeondoka mapema mfano mzuri ni Vivel alimtaka Naglesman ila watu ikawa tofauti akasepa zakd.
SD ndio wanaofanya shortlist na interview mmiliki yeye ni kukubal suggestion za SD kocha huyu anafaa au hafai, mchezaki huyu anafaa au hafai then owner nae anaridhia
Swali ninani anaefanya shortlist??? Au anaefanya scouting ???Wewe unaongelea yaliyo kwenye makaratasi mimi naongelea kinachofanyika kwenye matendo Beghdad Eghbali anafanya kazi za SDs waulize walio jikoni wakuambie.
While officially, Behdad Eghbali is not a Sporting Director, multiple credible reports and insider accounts say he interferes directly in areas that normally belong to the SDs.
Yes. He interferes, influences, and sometimes overrides SD responsibilities.
Eghbali is heavily involved in transfers
Several reputable journalists (The Athletic, BBC Sports, SkySports) have reported that:
This is classic Sporting Director territory.
- He personally joins transfer negotiations
- He pushes certain signings
- He has a say in player sales
- He sometimes overrides the football staff
Eghbali is directly involved in Pochettino and Liam Rosenior's exit
Kama kaingilia kusajili Enzo, Caicedo, Mudryk kwa nini unamtenga kwa Garnancho na Gittens?Swali ninani anaefanya shortlist??? Au anaefanya scouting ???
Sijakataa kama wamiliki hawana kosa ila SD nao wanamakosa, wenzetu huwa wakiona wanaingiliwa kwenye majukum yao huwa chap wanasepa,
Sd ndio wanaona team inahitaji nini na mchezaji huyu anatufaa, unataka kusema Kwamba Eghbal ndie aliyemuona Garnacho,Gittens??? au ndie aliyemuona Estevao??
Tukubali Eghbali anaweza ingilia kwenye negotiation kama ilivyokuwa kwa Enzo,Caicedo au Mudryk ila swala la Kuangalia wachezaji hapo tusiseme ni yeye SD ndio wanafanya hiyo kazi ya kuangalia wachezaj wanaofaa na wasiofaa na hata kwenye shortlist ya makocha wao ndio wanashortlist mengineyo yanafata
Ingekuwa Eghbal anawaangilia kwenye majukum yao siku nyingi sana wangekuwa washaondoka,
Kwa van Dijk ni sawa ila sio mo Salah kuwa experienced player haimaanishi ni kuwa na umri mkubwa la hasha ni kuwa na sauti na kiunganishi kwa team kitu ambacho Salah Hana na kiwango chake sio kikubwa kama misimu iliyopita. Sasa hapa ndipo nawashangaa hawa wamilikiKama kaingilia kusajili Enzo, Caicedo, Mudryk kwa nini unamtenga kwa Garnancho na Gittens?
Kwa nini unamtega kwenye ajira ya Liam Rosenior?
SkySports: Chelsea’s plan this summer is clear. They’re going to sign players, but not just young talents anymore. They explored moves for van Dijk & Salah in the summer. The most influential figure is Behdad Eghbali he’s driving things at the top.”
Nimetoa mfano hapo katika kitu unachokisahau ni kuwa Hii team kwa sasa ina PR kubwa kuliko uhalisia,Kama kaingilia kusajili Enzo, Caicedo, Mudryk kwa nini unamtenga kwa Garnancho na Gittens?
Kwa nini unamtega kwenye ajira ya Liam Rosenior?
SkySports: Chelsea’s plan this summer is clear. They’re going to sign players, but not just young talents anymore. They explored moves for van Dijk & Salah in the summer. The most influential figure is Behdad Eghbali he’s driving things at the top.”
Wewe upo clear kabisa sijui lembu anashindwa vipi kuelewaNimetoa mfano hapo katika kitu unachokisahau ni kuwa Hii team kwa sasa ina PR kubwa kuliko uhalisia,
Kitu ambacho tunachoshindwa elewana ni kuwa wewe unahisi Eghbal ndie anaefanya mamuzi yote ila kabla ya yote maamuzi yanaanzia huku chini, Sawa sawa na leo Kama Eghbal angekuwa angekuwa anamtaka kocha flan kungekuwa na haja ya kuwa na shortlist ya makocha na kuanza kuongea nao???
Wakat wa marasce kulikuwa na Thomas Frank Wakat yuko Brentford,Keran McKena wa Ipswich na Maresca wakat yuko Leicester unataka kusema Eghabal ndie aliye waona hao??
Tunasahau kuwa SD ndie wanaowaspot na mwisho wa siku wanapeleka report kuna huyu huyu nahisi watatufaa same kwa players.
Nakumbuka Boehly alisema yeye alikuwa anasajil wachezaj akiona Top Team zinawataka hence ndio chanzo cha kusajiliwa Cucurela, hapo ilikuwa ni kabla ya kuwa na SD
Ila toka kuwe na SD sajili zote zinaanzia kwao kwakuwa wao ndio wanaospot mchezaj nakuona huyu hatafaa kwetu
Kwa paper na taratibu yuko sawa ila kiuhalisia anayefanya maamuzi tangu usajili wa Enzo ni Beghdad Eghbali. Yeye ndie kaja na hizi sera za kusajili watoto na anasimamia direct au kwa remote kali. Mimi ninapata taarifa za kutoka ndani ninyi mbebakia kwenye written papers za kuzuga zuga tu.Wewe upo clear kabisa sijui lembu anashindwa vipi kuelewa