kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,821
- 20,812
Mnavyoelekea hata conference league next season hamtacheza.......
Waangalie spurs, wanashuka daraja kizembe sana !
Waangalie spurs, wanashuka daraja kizembe sana !
Bora kutokucheza huko tutaenda kutia aibu, haya nyie mnaoenda kushiriki si mnaenda kuwakilisha tu.Mnavyoelekea hata conference league next season hamtacheza.......
Waangalie spurs, wanashuka daraja kizembe sana !
Coutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽Enzo na kauli zake recently inaonekana anawatema, mchezaji ana potential, anaona project mbovu haieeleweki bora asepe zake
"We will see after world Cup" , hii kauli ni nzito sana !
Wacha tuone, sio kwa Chelsea hii inayo_dema dema !!!!! Enzo ni uti wa mgongo wa project yenuCoutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽
Hazard alipoondoka Chelsea → tukabeba UCL 🏆💙
Arsenal na Man United wakiondoka mchezaji mzuri → timu inadidimia 📉😭
Kwa kweli ninathamini kile ambacho Enzo Fernández anafanya kwa kufichua uozo na panya waliokuwa wakijificha nyuma ya huu mradi wa Chelsea. Wamiliki bado wanaamini mambo yanaenda vizuri, ilhali kila kitu kinaporomoka huku wao wakijifanya hawalioni. Kwa dhati kabisa, naamini siku moja Cole Palmer naye atapata njia ya kujitoa kwenye huu mradi wa ajabuajabu, ili hatimaye wamiliki watambue ni kwa kiasi gani waliharibu mambo kwa kulazimisha mkakati wa kuajiri watoto na makocha wasio na uzoefu.Enzo Fernández alipoulizwa ni mji gani anaoupenda zaidi, alijibu:
“Napenda mji wa Madrid; unafanana na Buenos Aires.”
Kutaka kuondoka ni jambo linaloonyesha wazi ukweli kwamba wazo la huu mradi lilikuwa uongo tangu mwanzo. Eti wachezaji wachanga watabaki pamoja kwa muda mrefu na kuunda timu itakayotawala Ligi ya Uingereza na Klabu Bingwa Ulaya kwa miaka ming, hilo lilikuwa ndoto tu.
Sasa Enzo Fernández, jiwe kuu la huu mradi, akiwa na miaka 25—umri ambao alitarajiwa kuchangia zaidi katika kuisaidia timu kushinda makombe—ndiye kwanza anayetaka kuondoka.
View attachment 3564370
Marc Cucurella:
*"Ninaelewa kuwa huu ni mwelekeo wa sera ya klabu, na kwamba wanataka kufuata njia hii — kusajili wachezaji wachanga na kuwekeza kwa ajili ya baadaye. Lakini, kwa sisi ambao ni wa zamani hapa, tunataka kushinda makombe makubwa, matukio kama haya [kufungwa 8–2 na PSG] yanakatisha tamaa.
Tuna kundi zuri la wachezaji. Msingi upo. Lakini ili kupambana kwa ajili ya makombe makubwa kama Premier League au Champions League, unahitaji zaidi ya hapo. Kusajili wachezaji vijana pekee kunaweza kufanya malengo hayo kuwa magumu zaidi kufikiwa. Dhidi ya PSG, tulikosa wachezaji waliowahi kupitia mazingira kama yale."*
~ @TheAthleticFC
View attachment 3565033
Hii ndiyo njia pekee ya kuongeza shinikizo kwa hawa wamiliki mpaka wakubali kuachana na huu mradi wao wa kufikirika. Naipenda sana hali hii — tumeumizwa vya kutosha, na kwa sasa hiki ndicho kifuta‑machozi pekee tulichonacho. Shinikizo likiongezeka, wataanza kutambua makosa yao na kubadili mwelekeo.Marc Cucurella:
“Wakati Enzo Maresca alipoondoka, lilikuwa pigo kubwa kwetu.”
“Kama ungeliniuliza mimi, nisingefanya uamuzi huo. Kufanya mabadiliko ya aina hiyo, jambo bora zaidi ni kusubiri hadi mwisho wa msimu…”
— aliambia @TheAthleticFC
View attachment 3565056
Hapa anajifanya anasapoti Enzo kuondoka ili timu ipafomCoutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽
Hazard alipoondoka Chelsea → tukabeba UCL 🏆💙
Arsenal na Man United wakiondoka mchezaji mzuri → timu inadidimia 📉😭
Hapa anajifanya anasapoti waondoke ili wamiliki wabadili seraHii ndiyo njia pekee ya kuongeza shinikizo kwa hawa wamiliki mpaka wakubali kuachana na huu mradi wao wa kufikirika. Naipenda sana hali hii — tumeumizwa vya kutosha, na kwa sasa hiki ndicho kifuta‑machozi pekee tulichonacho. Shinikizo likiongezeka, wataanza kutambua makosa yao na kubadili mwelekeo.
Mtu anahitaji digrii ya miak 14 na bado ashindwe kukuelewa ndgWakati mnatoa mikataba ya miaka saba Lembu alikuja na essays zake za kuelezea mkataba.
Leo wachezaji wana mikataba ya miaka saba na wapo busy kujinadi ili waondoke