Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mnavyoelekea hata conference league next season hamtacheza.......

Waangalie spurs, wanashuka daraja kizembe sana !
 
Enzo na kauli zake recently inaonekana anawatema, mchezaji ana potential, anaona project mbovu haieeleweki bora asepe zake

"We will see after world Cup" , hii kauli ni nzito sana !
 
Enzo na kauli zake recently inaonekana anawatema, mchezaji ana potential, anaona project mbovu haieeleweki bora asepe zake

"We will see after world Cup" , hii kauli ni nzito sana !
Coutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽
Hazard alipoondoka Chelsea → tukabeba UCL 🏆💙
Arsenal na Man United wakiondoka mchezaji mzuri → timu inadidimia 📉😭
 
Coutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽
Hazard alipoondoka Chelsea → tukabeba UCL 🏆💙
Arsenal na Man United wakiondoka mchezaji mzuri → timu inadidimia 📉😭
Wacha tuone, sio kwa Chelsea hii inayo_dema dema !!!!! Enzo ni uti wa mgongo wa project yenu
 
Huko nyuma niliwahi kusema, huu mradi usipoleta matund amazuri ndani ya muda mfupi, wachezaji muhimu watataka kutoka na italeta impact mabaya sana kwenye performance kwa sababu utakuwa na wachezaji muhimu ambao wako demotivated.
Enzo Fernandez na Cole Palmer wanataka kutoka kwenye mradi. Low form ya Palmer nilikuwa na wasiwasi nayo ni kama hataki tena kuichezea Chelsea.
Sas aukichanganay na Chelsea kukosa UCl msimu ujao, dirisha la kiangazi itakuwa na patashika kubwa, tusubiri tuone
 
Enzo Fernández alipoulizwa ni mji gani anaoupenda zaidi, alijibu:

“Napenda mji wa Madrid; unafanana na Buenos Aires.”
Kutaka kuondoka ni jambo linaloonyesha wazi ukweli kwamba wazo la huu mradi lilikuwa uongo tangu mwanzo. Eti wachezaji wachanga watabaki pamoja kwa muda mrefu na kuunda timu itakayotawala Ligi ya Uingereza na Klabu Bingwa Ulaya kwa miaka ming, hilo lilikuwa ndoto tu.

Sasa Enzo Fernández, jiwe kuu la huu mradi, akiwa na miaka 25—umri ambao alitarajiwa kuchangia zaidi katika kuisaidia timu kushinda makombe—ndiye kwanza anayetaka kuondoka.

1774842693276.png
 
Enzo Fernández alipoulizwa ni mji gani anaoupenda zaidi, alijibu:

“Napenda mji wa Madrid; unafanana na Buenos Aires.”
Kutaka kuondoka ni jambo linaloonyesha wazi ukweli kwamba wazo la huu mradi lilikuwa uongo tangu mwanzo. Eti wachezaji wachanga watabaki pamoja kwa muda mrefu na kuunda timu itakayotawala Ligi ya Uingereza na Klabu Bingwa Ulaya kwa miaka ming, hilo lilikuwa ndoto tu.

Sasa Enzo Fernández, jiwe kuu la huu mradi, akiwa na miaka 25—umri ambao alitarajiwa kuchangia zaidi katika kuisaidia timu kushinda makombe—ndiye kwanza anayetaka kuondoka.

View attachment 3564370
Kwa kweli ninathamini kile ambacho Enzo Fernández anafanya kwa kufichua uozo na panya waliokuwa wakijificha nyuma ya huu mradi wa Chelsea. Wamiliki bado wanaamini mambo yanaenda vizuri, ilhali kila kitu kinaporomoka huku wao wakijifanya hawalioni. Kwa dhati kabisa, naamini siku moja Cole Palmer naye atapata njia ya kujitoa kwenye huu mradi wa ajabuajabu, ili hatimaye wamiliki watambue ni kwa kiasi gani waliharibu mambo kwa kulazimisha mkakati wa kuajiri watoto na makocha wasio na uzoefu.
 
Cucurela nae anasema anatamani one day arudi la liga, hakuna asiyejua huyu ni mwana-catalan,......

Enzo anakuambia ataman sana akaishi jiji la Madrid!

Waja wa laana nyie, wachezaji wote muhimu watasepa , hizi interview haziji kwa bahati mbaya, ni planned!!!!

Sio mbaya mtabakia na kina hato, gittens, garnacho , delap kupambania badge!!!!!

Project la mchongo.... mmeingia cha kike kwa wamarekani, kocha Rose bado yupo yupo sana
 
Huku Cole Palmer anasema wazi wazi yeye ni shabiki wa Utd since akiwa mdogo..... hizi sio dhalili nzuri !!!!

Mvunja kuni Caisedo angekuwa walau na 50% ya IQ ya bosquet walau angepata timu kubwa inayomhitaji, tatzo ni mchezajii hana IQ, huyo kula red ni dakika sifuri
 
Marc Cucurella: “We have a good core of players. The foundations are there. But to fight for major trophies such as the Premier League or UCL, you need MORE”.

“Signing young players ONLY might complicate achieving those goals...”, told The Athletic.
 
Marc Cucurella:
*"Ninaelewa kuwa huu ni mwelekeo wa sera ya klabu, na kwamba wanataka kufuata njia hii — kusajili wachezaji wachanga na kuwekeza kwa ajili ya baadaye. Lakini, kwa sisi ambao ni wa zamani hapa, tunataka kushinda makombe makubwa, matukio kama haya [kufungwa 8–2 na PSG] yanakatisha tamaa.

Tuna kundi zuri la wachezaji. Msingi upo. Lakini ili kupambana kwa ajili ya makombe makubwa kama Premier League au Champions League, unahitaji zaidi ya hapo. Kusajili wachezaji vijana pekee kunaweza kufanya malengo hayo kuwa magumu zaidi kufikiwa. Dhidi ya PSG, tulikosa wachezaji waliowahi kupitia mazingira kama yale."*

~ @TheAthleticFC


1774957530134.png
 
Marc Cucurella:
*"Ninaelewa kuwa huu ni mwelekeo wa sera ya klabu, na kwamba wanataka kufuata njia hii — kusajili wachezaji wachanga na kuwekeza kwa ajili ya baadaye. Lakini, kwa sisi ambao ni wa zamani hapa, tunataka kushinda makombe makubwa, matukio kama haya [kufungwa 8–2 na PSG] yanakatisha tamaa.

Tuna kundi zuri la wachezaji. Msingi upo. Lakini ili kupambana kwa ajili ya makombe makubwa kama Premier League au Champions League, unahitaji zaidi ya hapo. Kusajili wachezaji vijana pekee kunaweza kufanya malengo hayo kuwa magumu zaidi kufikiwa. Dhidi ya PSG, tulikosa wachezaji waliowahi kupitia mazingira kama yale."*

~ @TheAthleticFC


View attachment 3565033

Hiki ndicho hasa sisi mashabiki wa Chelsea tunachokiona — na wachezaji wanakiona pia. Kusajili wachezaji wachanga kila msimu kunachelewesha mafanikio tunayoyahitaji haraka, na wachezaji wakubwa hawatakubali hali hiyo.

Ndiyo maana naunga mkono kwa asilimia mia moja hasira na matamko ya Enzo, Cucurella na Malo Gusto. Kwa mwendo huu, wanaweza kumaliza muda wao Chelsea bila mafanikio yoyote ya maana.

Mabadiliko ni lazima. Shinikizo ndio lugha pekee itakayowalazimisha wamiliki kubadili mbinu na falsafa zao. Bila hivyo, mradi utaendelea kuzama.
 
Marc Cucurella:
“Wakati Enzo Maresca alipoondoka, lilikuwa pigo kubwa kwetu.”

“Kama ungeliniuliza mimi, nisingefanya uamuzi huo. Kufanya mabadiliko ya aina hiyo, jambo bora zaidi ni kusubiri hadi mwisho wa msimu…”


— aliambia @TheAthleticFC

1774957974940.png
 
Marc Cucurella:
“Wakati Enzo Maresca alipoondoka, lilikuwa pigo kubwa kwetu.”

“Kama ungeliniuliza mimi, nisingefanya uamuzi huo. Kufanya mabadiliko ya aina hiyo, jambo bora zaidi ni kusubiri hadi mwisho wa msimu…”


— aliambia @TheAthleticFC

View attachment 3565056
Hii ndiyo njia pekee ya kuongeza shinikizo kwa hawa wamiliki mpaka wakubali kuachana na huu mradi wao wa kufikirika. Naipenda sana hali hii — tumeumizwa vya kutosha, na kwa sasa hiki ndicho kifuta‑machozi pekee tulichonacho. Shinikizo likiongezeka, wataanza kutambua makosa yao na kubadili mwelekeo.
 
Hawa wachezaji wamevumilia mengi lakini la kufukuzwa Maresca then unaleta Rosemary naona wachezaji wanao jielewa wameona hii ni zaidi ya red flag. Na kwa hizi kauli hakuna hata Confernece league next season
 
Wakati mnatoa mikataba ya miaka saba Lembu alikuja na essays zake za kuelezea mkataba.

Leo wachezaji wana mikataba ya miaka saba na wapo busy kujinadi ili waondoke
 
Coutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽
Hazard alipoondoka Chelsea → tukabeba UCL 🏆💙
Arsenal na Man United wakiondoka mchezaji mzuri → timu inadidimia 📉😭
Hapa anajifanya anasapoti Enzo kuondoka ili timu ipafom
 
Hii ndiyo njia pekee ya kuongeza shinikizo kwa hawa wamiliki mpaka wakubali kuachana na huu mradi wao wa kufikirika. Naipenda sana hali hii — tumeumizwa vya kutosha, na kwa sasa hiki ndicho kifuta‑machozi pekee tulichonacho. Shinikizo likiongezeka, wataanza kutambua makosa yao na kubadili mwelekeo.
Hapa anajifanya anasapoti waondoke ili wamiliki wabadili sera
 
Wakati mnatoa mikataba ya miaka saba Lembu alikuja na essays zake za kuelezea mkataba.

Leo wachezaji wana mikataba ya miaka saba na wapo busy kujinadi ili waondoke
Mtu anahitaji digrii ya miak 14 na bado ashindwe kukuelewa ndg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom