Tunakujua mzee wa matakataka na leo tunaheshimu maoni yako.Mimi huwa nikiwambia hapa tuna wachezaji wenye quality ndogo sana aka MATAKATAKA. Kuna baadhi ya matakataka hapa jukuani huwa wanakataa tena wanaenda mbali na kuanza kuwatetea. Hivi huwa mnabisha nini sasa, yaani mnabishana na ukweli.!?
Klabu kama Chelsea washindani wake ni hizo klabu zinazo fanya vizuri kwenye ligi mbalimbali, lakini cha ajabu klabu inasajili wachezaji wa hovyo hovyo tu. Tuna lundo kubwa la matakataka kuanzia kocha.
Sisi sio SpursTupo na nyie mpaka championship huko ....
Kwa mwendo huu , mnatia hurumaSisi sio Spurs
Tuna points 48 ndg na bado mechi 7Kwa mwendo huu , mnatia huruma
Wamarekani ni matapeli hutaona wakimleta kocha mkubwa kaliba ya akina Mourinho au Conte maana hawataki kuheshimu professional na maamuzi ya makocha chini ya uongozi wao.Nilichokiona kwenye mechi ya jana, pamoja na kauli ya Enzo Fernández kwenye ile interview, kinaonyesha wazi kuwa wachezaji wa Chelsea wamechukizwa sana na kufukuzwa kwa Enzo Maresca. Sio kwamba Maresca alikuwa kocha bora kupindukia, bali walikuwa tayari wameshazoea mfumo wake—ghafla akafukuzwa katikati ya msimu. Hilo limeporomoa kabisa morali ya wachezaji.
Rosenior si kocha mbaya, lakini mbinu zake ni tofauti kabisa na zile za Maresca. Kwa sasa ni kama wachezaji wamerudishwa square one kujifunza upya. Mechi zilizobaki zitakuwa kama pre-season kwao; hakuna UCL, hakuna Europa, wala Conference League. Kwa kifupi, msimu wa Chelsea umeisha.
Kwa upande wangu, ninafurahia kwa sababu angalau wamiliki watakuwa wamepokea ujumbe kwamba mbinu zao na “project model” yao imefeli. Wanapaswa kufanya marekebisho makubwa.
Kukosa UCL kutaiingizia Chelsea hasara kubwa—zaidi ya milioni 400 kama ilivyotokea msimu uliopita. Pia kutashusha morali ya wachezaji wakubwa, na wengi wao watataka kuhama. Hata wale watakaobaki, kiwango chao kinaweza kushuka kwa sababu ya kukosa malengo makubwa.
Mambo Wamiliki Wanapaswa Kujifunza
1) Kuheshimu mwendelezo wa timu
Hata kama kuna tofauti binafsi na kocha, kama anatoa matokeo na timu inacheza vizuri, avumiliwe. Maamuzi ya mihemko ya kufukuza makocha katikati ya msimu yameharibu kila kitu.
2) Usajili uwe wa kimkakati, sio wa majaribio
Chelsea inahitaji:
Mashabiki wenzangu, kilichobaki sasa ni kuangalia kama usajili wa dirisha lijalo unaweza kutufuta machozi.
- CB mmoja au wawili wazoefu wenye ubora wa juu
- Winga wenye uwezo wa kubadili mchezo
- Striker wa kiwango cha Igor Thiago au zaidi
- CM mkabaji wa kuweka balance kwenye midfield
- Na mwisho, kuwauza wachezaji wanaotaka kuondoka Chelsea
Nyie wenu mnamfukuza lini? Mwaka wa nane huu anarukaruka tu bila mafanikio yoyote, na msimu huu mnatoka mikono mitupu kama chelsea tu, wala tusichekane.We Lofa...hyu mawani mnamfukuza lini🤠🤠🤠
Bora kutokucheza huko tutaenda kutia aibu, haya nyie mnaoenda kushiriki si mnaenda kuwakilisha tu.Mnavyoelekea hata conference league next season hamtacheza.......
Waangalie spurs, wanashuka daraja kizembe sana !
Coutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽Enzo na kauli zake recently inaonekana anawatema, mchezaji ana potential, anaona project mbovu haieeleweki bora asepe zake
"We will see after world Cup" , hii kauli ni nzito sana !
Wacha tuone, sio kwa Chelsea hii inayo_dema dema !!!!! Enzo ni uti wa mgongo wa project yenuCoutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽
Hazard alipoondoka Chelsea → tukabeba UCL 🏆💙
Arsenal na Man United wakiondoka mchezaji mzuri → timu inadidimia 📉😭
Kwa kweli ninathamini kile ambacho Enzo Fernández anafanya kwa kufichua uozo na panya waliokuwa wakijificha nyuma ya huu mradi wa Chelsea. Wamiliki bado wanaamini mambo yanaenda vizuri, ilhali kila kitu kinaporomoka huku wao wakijifanya hawalioni. Kwa dhati kabisa, naamini siku moja Cole Palmer naye atapata njia ya kujitoa kwenye huu mradi wa ajabuajabu, ili hatimaye wamiliki watambue ni kwa kiasi gani waliharibu mambo kwa kulazimisha mkakati wa kuajiri watoto na makocha wasio na uzoefu.Enzo Fernández alipoulizwa ni mji gani anaoupenda zaidi, alijibu:
“Napenda mji wa Madrid; unafanana na Buenos Aires.”
Kutaka kuondoka ni jambo linaloonyesha wazi ukweli kwamba wazo la huu mradi lilikuwa uongo tangu mwanzo. Eti wachezaji wachanga watabaki pamoja kwa muda mrefu na kuunda timu itakayotawala Ligi ya Uingereza na Klabu Bingwa Ulaya kwa miaka ming, hilo lilikuwa ndoto tu.
Sasa Enzo Fernández, jiwe kuu la huu mradi, akiwa na miaka 25—umri ambao alitarajiwa kuchangia zaidi katika kuisaidia timu kushinda makombe—ndiye kwanza anayetaka kuondoka.
View attachment 3564370