Wachezaji wapo wapo tu, huko kwenye training kocha anawaambia nini wachezaji ? Ni vile kama hawamsikilizi ama wanamdharau .....
Kocha low profile, haelewi chochote !
Kuna tatizo lingine kubwa lipo hapo darajani na hamjaligundua..... amna mchezaji kiongozi, anayeforce mambo, the likes ya kina didier, Terry ama Frank! Mpo mpo tu, eti Enzo ndio kiongozi? Mna safari ndefu sana...... wachezaji wenyewe ndio kina garnacho, hato, gittens, delap , gusto, ?? Hata Caicedo nae amna kitu, hana ile commanding power, ni mchezaji mzuri sana ila bado ana makosa mengi na mihemuko !!! Ni kama kuna mda hajiamini !!!!
Walau Cucurela, Na kwa mbaali Neto ndio wachezaji unaweza kuwaona matured na wanapambania badge....... wengine hewa !