kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,820
- 20,805
Huku Cole Palmer anasema wazi wazi yeye ni shabiki wa Utd since akiwa mdogo..... hizi sio dhalili nzuri !!!!
Mvunja kuni Caisedo angekuwa walau na 50% ya IQ ya bosquet walau angepata timu kubwa inayomhitaji, tatzo ni mchezajii hana IQ, huyo kula red ni dakika sifuri
Mvunja kuni Caisedo angekuwa walau na 50% ya IQ ya bosquet walau angepata timu kubwa inayomhitaji, tatzo ni mchezajii hana IQ, huyo kula red ni dakika sifuri