Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huku Cole Palmer anasema wazi wazi yeye ni shabiki wa Utd since akiwa mdogo..... hizi sio dhalili nzuri !!!!

Mvunja kuni Caisedo angekuwa walau na 50% ya IQ ya bosquet walau angepata timu kubwa inayomhitaji, tatzo ni mchezajii hana IQ, huyo kula red ni dakika sifuri
 
Marc Cucurella: “We have a good core of players. The foundations are there. But to fight for major trophies such as the Premier League or UCL, you need MORE”.

“Signing young players ONLY might complicate achieving those goals...”, told The Athletic.
 
Marc Cucurella:
*"Ninaelewa kuwa huu ni mwelekeo wa sera ya klabu, na kwamba wanataka kufuata njia hii — kusajili wachezaji wachanga na kuwekeza kwa ajili ya baadaye. Lakini, kwa sisi ambao ni wa zamani hapa, tunataka kushinda makombe makubwa, matukio kama haya [kufungwa 8–2 na PSG] yanakatisha tamaa.

Tuna kundi zuri la wachezaji. Msingi upo. Lakini ili kupambana kwa ajili ya makombe makubwa kama Premier League au Champions League, unahitaji zaidi ya hapo. Kusajili wachezaji vijana pekee kunaweza kufanya malengo hayo kuwa magumu zaidi kufikiwa. Dhidi ya PSG, tulikosa wachezaji waliowahi kupitia mazingira kama yale."*

~ @TheAthleticFC


1774957530134.png
 
Marc Cucurella:
*"Ninaelewa kuwa huu ni mwelekeo wa sera ya klabu, na kwamba wanataka kufuata njia hii — kusajili wachezaji wachanga na kuwekeza kwa ajili ya baadaye. Lakini, kwa sisi ambao ni wa zamani hapa, tunataka kushinda makombe makubwa, matukio kama haya [kufungwa 8–2 na PSG] yanakatisha tamaa.

Tuna kundi zuri la wachezaji. Msingi upo. Lakini ili kupambana kwa ajili ya makombe makubwa kama Premier League au Champions League, unahitaji zaidi ya hapo. Kusajili wachezaji vijana pekee kunaweza kufanya malengo hayo kuwa magumu zaidi kufikiwa. Dhidi ya PSG, tulikosa wachezaji waliowahi kupitia mazingira kama yale."*

~ @TheAthleticFC


View attachment 3565033

Hiki ndicho hasa sisi mashabiki wa Chelsea tunachokiona — na wachezaji wanakiona pia. Kusajili wachezaji wachanga kila msimu kunachelewesha mafanikio tunayoyahitaji haraka, na wachezaji wakubwa hawatakubali hali hiyo.

Ndiyo maana naunga mkono kwa asilimia mia moja hasira na matamko ya Enzo, Cucurella na Malo Gusto. Kwa mwendo huu, wanaweza kumaliza muda wao Chelsea bila mafanikio yoyote ya maana.

Mabadiliko ni lazima. Shinikizo ndio lugha pekee itakayowalazimisha wamiliki kubadili mbinu na falsafa zao. Bila hivyo, mradi utaendelea kuzama.
 
Marc Cucurella:
“Wakati Enzo Maresca alipoondoka, lilikuwa pigo kubwa kwetu.”

“Kama ungeliniuliza mimi, nisingefanya uamuzi huo. Kufanya mabadiliko ya aina hiyo, jambo bora zaidi ni kusubiri hadi mwisho wa msimu…”


— aliambia @TheAthleticFC

1774957974940.png
 
Marc Cucurella:
“Wakati Enzo Maresca alipoondoka, lilikuwa pigo kubwa kwetu.”

“Kama ungeliniuliza mimi, nisingefanya uamuzi huo. Kufanya mabadiliko ya aina hiyo, jambo bora zaidi ni kusubiri hadi mwisho wa msimu…”


— aliambia @TheAthleticFC

View attachment 3565056
Hii ndiyo njia pekee ya kuongeza shinikizo kwa hawa wamiliki mpaka wakubali kuachana na huu mradi wao wa kufikirika. Naipenda sana hali hii — tumeumizwa vya kutosha, na kwa sasa hiki ndicho kifuta‑machozi pekee tulichonacho. Shinikizo likiongezeka, wataanza kutambua makosa yao na kubadili mwelekeo.
 
Hawa wachezaji wamevumilia mengi lakini la kufukuzwa Maresca then unaleta Rosemary naona wachezaji wanao jielewa wameona hii ni zaidi ya red flag. Na kwa hizi kauli hakuna hata Confernece league next season
 
Wakati mnatoa mikataba ya miaka saba Lembu alikuja na essays zake za kuelezea mkataba.

Leo wachezaji wana mikataba ya miaka saba na wapo busy kujinadi ili waondoke
 
Coutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽
Hazard alipoondoka Chelsea → tukabeba UCL 🏆💙
Arsenal na Man United wakiondoka mchezaji mzuri → timu inadidimia 📉😭
Hapa anajifanya anasapoti Enzo kuondoka ili timu ipafom
 
Hii ndiyo njia pekee ya kuongeza shinikizo kwa hawa wamiliki mpaka wakubali kuachana na huu mradi wao wa kufikirika. Naipenda sana hali hii — tumeumizwa vya kutosha, na kwa sasa hiki ndicho kifuta‑machozi pekee tulichonacho. Shinikizo likiongezeka, wataanza kutambua makosa yao na kubadili mwelekeo.
Hapa anajifanya anasapoti waondoke ili wamiliki wabadili sera
 
Wakati mnatoa mikataba ya miaka saba Lembu alikuja na essays zake za kuelezea mkataba.

Leo wachezaji wana mikataba ya miaka saba na wapo busy kujinadi ili waondoke
Mtu anahitaji digrii ya miak 14 na bado ashindwe kukuelewa ndg
 
Nimesoma psychology ila wewe ni complicated case.

Unaweza kuonyesha sign zote za grief.

Utaanza stage 1 na kuendelea.

Ila ukifika stage 4 unarudi stage 1 tena.

Hope will kill you

Jiangalie
Psychology ya utopolo hiyo au umesomea saikolojia ya wadudu
 
Coutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽
Hazard alipoondoka Chelsea → tukabeba UCL 🏆💙
Arsenal na Man United wakiondoka mchezaji mzuri → timu inadidimia 📉😭
Mkuu tusijipe moyo hii chelsea ya sasa sio ya kipindi kile, Tutarudi kwenye ubora wetu siku wamiliki wakiamua kiwa serious na kuanza kuachana na wale wakina SDs

Kwa sasa tukubali sisi ni wabovu na hi. Summer mwaka huu ndio sehem ya kuonesha kama wamiliki wako serious au lah then. Halii ikiendelra hivi hivi sitoshangaa Palmer Caicedo wakianza kuongea kauli zakina Enzo na Cucu.

Tukumbuke furaha ya mchezaji ni kuwin trophies huku akipata pesa ila huwez poteza miaka 6 ukiwa hujui team yako iko na project gan kama kila msim ni wa rebuilding.

Unamtumua Maresca unaenda leta kocha ambae aliishindwa hata Hull city,

Acha tuisome namba
 
Jamin ndugu watizamaji huyu anaesema hii kauli sio shabiki wa madrid au baca, Ni shabiki wa Arsenal 🙆‍♂️
Sielewi ni wapi huelewi. Hauna uelewa wa kuona kwamba ninachomaanisha ni hamalizi stages?

Mashabiki wa Arsenal tulimaliza stages na tukajua tulipo. Shida ipo kwa mtu kama wewe na Lembu
 
Mkuu tusijipe moyo hii chelsea ya sasa sio ya kipindi kile, Tutarudi kwenye ubora wetu siku wamiliki wakiamua kiwa serious na kuanza kuachana na wale wakina SDs

Kwa sasa tukubali sisi ni wabovu na hi. Summer mwaka huu ndio sehem ya kuonesha kama wamiliki wako serious au lah then. Halii ikiendelra hivi hivi sitoshangaa Palmer Caicedo wakianza kuongea kauli zakina Enzo na Cucu.

Tukumbuke furaha ya mchezaji ni kuwin trophies huku akipata pesa ila huwez poteza miaka 6 ukiwa hujui team yako iko na project gan kama kila msim ni wa rebuilding.

Unamtumua Maresca unaenda leta kocha ambae aliishindwa hata Hull city,

Acha tuisome namba
Hii ya Enzo na Cucurella kujilipua halafu wakaendelea na upuuzi wao tena basi inabidi wakapimwe mkojo, wanaumwa. Kujilipua kwa Enzo na Cucurella inaoyhesha wazi kuwa Dressing room haiko shwari. Kumbuka Gusto naye aliongea. Sidhani kama senior players wote wanaridhika hata akina James na Caicedo hawasemi ya moyoni. Tunategemea mabadiliko makubwa dirisha hili la kiangazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom