Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Njia pekee ya Chelsea kutubu kutokana na “dhambi” zake kwa kufanya vibaya kwenye ligi ni kwa njia moja tu:
kuchukua Kombe la Mabingwa Ulaya.

Maana siwaoni wakimaliza top 7
1772419640922.png
 
Leo hii ghafla Chelsea haijui kwamba kuna ball hand na hand ball. Hawajui kwamba hua inaangaliwa dhamira kabla ta kuucheza mpira.

Our bitches
 
Hawa chelkenge huwa tunajipigia tu imagine huu msimu tumekutana mara 4 na wameshinda kutufunga hata mara moja😅

Hovyo kabisa
 
Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu ambacho ni ndoto za alinacha....poleni majirani🤠🤠
 
Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu ambacho ni ndoto za alinacha....poleni majirani🤠🤠
Tutakuja jirani mtupe na mbwinu za kuwahonga marefa.
 
20260302_003045.jpg

Arsenal wamebebwa ila hata sisi ni misukule tulitakiwa tuwatandike hivyo hivyo na refa wao, tulikua tumeshawaziba pumzi kbs. kuwa na michezaji mi senge senge kama Delap!! ndio imetufikisha hapa, angekua Jackon hapo.
20260302_003045.jpg
 
Kwani Arsenal kuna wachezaji humo, au wanamileka?View attachment 3551798
Ww kijana Huwa una mikwara sana kabla hatujakutana ila sasa tukishakutana baada ya hapo ni sababu unaanza kutengeneza🤠🤠....jengeni timu yenu kwa Miaka kama mitano mbele halafu ndo mje sasa tukipige.....Bora Manunu Huwa wanatuotea mara mojamoja...ila na wale madunduka tunawatengenezea dawa Yao mujarabu.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom