Kila tukiwapiga wanasema hakuepo yule ama huyu.
Leo kisingizio eti refa
Kwa uchezaji huu hatutawaweza Arsenal maadam tu refa na VAR wao wanaona sawa
Wachezaji wanashikwa wasisogee na mbaya zaidi Declan Rice pamoaj na kumkamata Hato asiucheze huo mpira wa kona, alidhubutu pia kupiga kwa mkono ili tu aondoe kwa Hato na VAR wao wakanyamazia
View attachment 3550741
View attachment 3550736View attachment 3550737View attachment 3550738
So hii maana yake nini? Penati au?
Pambaneni mchukue.Njia pekee ya Chelsea kutubu kutokana na “dhambi” zake kwa kufanya vibaya kwenye ligi ni kwa njia moja tu:
kuchukua Kombe la Mabingwa Ulaya.
Maana siwaoni wakimaliza top 7
View attachment 3550942
Cry more 😅Arsenal dhaifu walicheza 12 na kuwafunga Chelsea ambao kwa kweli hawako serious. Sijui hata wachezaji wanawaza wanataka nini kwenye hii ligi
Arsenal man of the match huyu hapa: anaitwa Darren England
View attachment 3550733
Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu ambacho ni ndoto za alinacha....poleni majirani🤠🤠
Si unaona amemkumbatia ni mkewe huyo?So hii maana yake nini? Penati au?
Tutakuja jirani mtupe na mbwinu za kuwahonga marefa.Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu ambacho ni ndoto za alinacha....poleni majirani🤠🤠
Timu yenu yenyewe ni mbovu kiujumla sio Delap pekeeView attachment 3551561
Arsenal wamebebwa ila hata sisi ni misukule tulitakiwa tuwatandike hivyo hivyo na refa wao, tulikua tumeshawaziba pumzi kbs. kuwa na michezaji mi senge senge kama Delap!! ndio imetufikisha hapa, angekua Jackon hapo.
View attachment 3551561
Kwani Arsenal kuna wachezaji humo, au wanamileka?Timu yenu yenyewe ni mbovu kiujumla sio Delap pekee
Ww kijana Huwa una mikwara sana kabla hatujakutana ila sasa tukishakutana baada ya hapo ni sababu unaanza kutengeneza🤠🤠....jengeni timu yenu kwa Miaka kama mitano mbele halafu ndo mje sasa tukipige.....Bora Manunu Huwa wanatuotea mara mojamoja...ila na wale madunduka tunawatengenezea dawa Yao mujarabu.....Kwani Arsenal kuna wachezaji humo, au wanamileka?View attachment 3551798
Sasa kama hakuna wachezaji mbona mmeshindwa kuifunga hata mara moja tu katika mara zote 4 mlizokutana nayo msimu huu 😅Kwani Arsenal kuna wachezaji humo, au wanamileka?View attachment 3551798