Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu yenu yenyewe ni mbovu kiujumla sio Delap pekee
Kwani Arsenal kuna wachezaji humo, au wanamileka?
20260302_155721.jpg
 
Kwani Arsenal kuna wachezaji humo, au wanamileka?View attachment 3551798
Ww kijana Huwa una mikwara sana kabla hatujakutana ila sasa tukishakutana baada ya hapo ni sababu unaanza kutengeneza🤠🤠....jengeni timu yenu kwa Miaka kama mitano mbele halafu ndo mje sasa tukipige.....Bora Manunu Huwa wanatuotea mara mojamoja...ila na wale madunduka tunawatengenezea dawa Yao mujarabu.....
 
Chelsea haikucheza vizuri na Arsenal hawakucheza vizuri ila Chelsea ilitengeneza angalau nafasi ambazo mbili Raya aliokoa na zaidi ya mbili tulipoteza
Ilitakiwa hawa tuwababu goli 5. Bais tu timu yetu haiko serious
Haya basi nendeni mkaifunge Villa hizo goli 5 tuone.
Nimekaa pale
 
Ww kijana Huwa una mikwara sana kabla hatujakutana ila sasa tukishakutana baada ya hapo ni sababu unaanza kutengeneza🤠🤠....jengeni timu yenu kwa Miaka kama mitano mbele halafu ndo mje sasa tukipige.....Bora Manunu Huwa wanatuotea mara mojamoja...ila na wale madunduka tunawatengenezea dawa Yao mujarabu.....
Sababu gani nimetengeneza mzee?! mbona dunia nzima imeona, au unafikiri mpira mliuangalia peke yenu, mnakua kama chimama anabisha mpk vitu ambavyo vipo wazi kabisa kinakwambia ni AI😂😂😂
20260303_213637.jpg


Nyie ni timu dhaifu kuwahi kutokea.tuliwazidi kila kitu.
 
Sasa kama hakuna wachezaji mbona mmeshindwa kuifunga hata mara moja tu katika mara zote 4 mlizokutana nayo msimu huu 😅
Tutawezaje kuwafunga kwa mchezo mchafu kama huu. Unamkamata mchezaji ili asiruke, asimove. Ni mchezo wa mieleka peke yake ndio inachezwa bila kuruka wala kusogea.Davids Raya kaonekana shujaa wa Arszenal kwa sababu mabeki wao wako busy kuwakamata wachezaji wa Chelsea walio kuwa kwenye mkao wa kuruka na kufunga magoli. Nadhani hii ni tactoics aliyowapa wachezaji huyo kocha mchafu Arteta kwa sababu ni kila mchezaji wa Chelsea kamata kamata na refa naye legend wa Arsenal
 
Sarr, Sanchez na Andrey Santos wametupwa benchi
Cucurella yuko Benchi

Aston Villa vs Chelsea

4-2-3-1

--Joao Pedro--

Garnacho --- Enzo --- Palmer

James (C) --- Caicedo

Hato — Chalobah — Fofana — Gusto

--Jorgensen--

Bench
  • Sanchez
  • Tosin
  • Badiashile
  • Cucurella
  • Sarr
  • Lavia
  • Santos
  • Delap
  • Guiu

#CFC | #AVLCHE
1772648715357.png
 
Joao Pedro's first hat-trick kwa Chelsea
Aston Villa 1 - 4 Chelsea
Nilisemaga hii timu ya Aston Villa haina mchezo wowote mzuri, wamefunga timu kiujanjaujanja hadi wakakwea juu kwenye nafasi isiyo yake
Sasa wanaporomoka chini
1772658372627.png
 
Mechi imeisha na sasa tunaweza kuendelea tulipoishia
Aston Villa 1 - 4 Chelsea
1772660263744.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom