Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Hakuna sehemu nimesema ivyo. Nimelinganisha wa msimu uliopita na huyu wa sasa. Tunategemea wanapopata changamoto mpya ndio wapambanie kuongeza viwango zaidi.Delap hajawahi kuwa mzuri.
Hakuna sehemu nimesema ivyo. Nimelinganisha wa msimu uliopita na huyu wa sasa. Tunategemea wanapopata changamoto mpya ndio wapambanie kuongeza viwango zaidi.Delap hajawahi kuwa mzuri.
Au labda ni sisi tu ndio tunawapa pressure. Usikute wao wanaaminishwa tofauti na hiki tunachotaka wao wafanye. Kwasababu haiwezekani unapata nafasi na bado unaendelea kurukaruka tu.Kuna mtu mmoja kasema huwa kuna wachezaji wa timu kubwa na wale wa timu ndogo. Ukikosea yule wa timu ndogo ukamleta kwenye timu kubwa hawezi kuc heza vizuri kabisa kwa sababu ya presure.
Msemo wa wahenga
"Jogoo wa shamba hawezi wika mjini"
Delap, Gittens, Garnacho. Hato ni wachezaji wazuri ila wamewahishwa mjini. Walitakiwa wabaki shamba kwanza wajifun ze kulima kitunguu na dengu wakishakomaa ndio waje mjini. Sasa presure ya maisha ya mjini inawapoteza kabisa. Msimu ujao wote utasikia wanakwenda mkopo
Confidence, wanapokuwa kwenye timu ndogo wanakuwa na confidence kubwa kwa sababu ni timu ndogo, matarajio madogo, presure ndogoAu labda ni sisi tu ndio tunawapa pressure. Usikute wao wanaaminishwa tofauti na hiki tunachotaka wao wafanye. Kwasababu haiwezekani unapata nafasi na bado unaendelea kurukaruka tu.
Pia kawa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya Chelsea kufunga hatrick nneCole Palmer amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya Premier League kufunga hat-trick tatu kabla ya kipindi cha mapumziko.
View attachment 3540738
Sheria za EPL ni za kijinga kweli
Dominik Szoboszlai kamvuta shati Erling Haaland ili asiwahi mpira naye Haaland akamvuta shati Szoboszlai asiwahi kwenda kuuokoa mpira wa Cherki uliokuwa uinaelekea wavuni taratibu.
Hata hivyo mpira uliendlea kwenda na kuingia wavuni.
Sasa shida yangu inakuja pale Dominik Szoboszlai alipopewa red card akiambiwa kuwa amemzuia Haaland asiende kufunga goli wakati goli lilishaingia na sio Haalnd kafunga
Kosa la pili, goli halali la Cherki likafutwa na kuwa free kick
Hapo sheria iboreshwe kwa kweli
Miaka 10?? Unauhakika?? Hao viwete na vigoli vyao hivyo hivyo vya kona unafikiri watabahatisha hivyo hivyo kila siku.Viwete, wakati una miaka zaidi 10 hujamfunga, na msimu huu ushakutana nae tayari mara 3 na mara 2 umepasuka
Agosti, 22 - 2021 nyumbani kwenu tuliwafumua 2-0Viwete, wakati una miaka zaidi 10 hujamfunga, na msimu huu ushakutana nae tayari mara 3 na mara 2 umepasuka
Wengi wa wanaoichukulia poa Chelsea ni walioanza kushabikia miaka ya 2015. Hawajaiona Chelsea ya asali na maziwaConfidence, wanapokuwa kwenye timu ndogo wanakuwa na confidence kubwa kwa sababu ni timu ndogo, matarajio madogo, presure ndogo
Wanapokuja kwenye litimu lenye matarajio makubwa kama Chelsea panic inawatawala ahat wanapolala usiku, hawalali vizuri. Sisi mashabiki tu ndio tunaidharau Chelsea ila Chelsea ni lijitu likuwa ambalo hawa vijana wadogo wakifika pale kwanza hawaamini kama wamesajiliwa Chelsea
Wewe ni mfano wa mashabiki waliojichokea, hakuna matumaini tenaTHE BLUES ya sasa hivi imexpire
Hapo ndio utajua kuwa Chelsea bado inatakiwa kuingia sokon baada ya kutumia zaidi ya 2bnSub anayejitambua kisoka ni Pedro neto tuu, Hao wengine n wachovu wengine n wala mishahara ya bure.