Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa ufupi n kwamba Leeds amenufaika Na Sisi Kwa 100%

Amepata points 4, Huku Sisi tukipata point 1 😂
 
Ile tap in aliyokosa Palmer angekuwa ni Jackson kamati ya lugha chafu ingekaa kikao cha dharula
 
Chelsea inaongoza kwenye ligi kwa kufungwa magoli ya kijinga sana
 
Angalia kabisa jinsi Chelsea wanavyokaba — ni vurugu tupu. Ukiwaona makocha wakimuweka Acheampong benchi, hii aina ya ukabaji wa kitoto ndiyo sababu. Gusto ni beki wa hovyo sana; wamgeuze tu awe winga. Halafu Caicedo, Chalobah, Santos… hakuna anayesaidia kukaba.
Ningekuwa hapo uwanjani ningewachapa wote viboko
 
Palmer na Caicedo leo wametuangusha sana kwenye kuondoka na point tatu
Caocedo katoa penalti ya kijinga sana
Palmer kakosa goli ambalo hakupaswa kukosa
 
1768028259534.jpg
 
Angalia kabisa jinsi Chelsea wanavyokaba — ni vurugu tupu. Ukiwaona makocha wakimuweka Acheampong benchi, hii aina ya ukabaji wa kitoto ndiyo sababu. Gusto ni beki wa hovyo sana; wamgeuze tu awe winga. Halafu Caicedo, Chalobah, Santos… hakuna anayesaidia kukaba.
Ningekuwa hapo uwanjani ningewachapa wote viboko
View attachment 3542306
Kama mafala vile, wanarukaruka tuu
 
Mpira ni mchezo wa makosa lakini huyu dogo anastahili kwenda kwa mkopo timu zisizo na pressure akapunguze makosa ya kitoto
otherwise ili kosa linaweza mgharimu future yake ndani ya club
 

Attachments

  • 20260211_151436.jpg
    20260211_151436.jpg
    24.4 KB · Views: 24
Ile tap in aliyokosa Palmer angekuwa ni Jackson kamati ya lugha chafu ingekaa kikao cha dharula
Jackson yeye n i kawaida kukosa, wala usimtete. Mipira kama ile kila mchezaji hukosea ila sio kwa mazoea kama zile misses za Jackson
 
Kama mafala vile, wanarukaruka tuu
Ila mkosaji mkubwa hapo ni Josh, angeubutua ule mpiar nje alipokuwa na nafasi maafa haya yote yasingetokea. Kosa la hao wengine ni folloup haikuwa nzuri. Chalobah, Caicedo na Neto
 
Mpira ni mchezo wa makosa lakini huyu dogo anastahili kwenda kwa mkopo timu zisizo na pressure akapunguze makosa ya kitoto
otherwise ili kosa linaweza mgharimu future yake ndani ya club
James na Colwill walipiga mikopo kwanza, ila yeye anazagaa zagaa tu pale na wakubwa zake. Msimu wa kiangazi huyu anatakiwa kwenda mkopo kwenye timu ambayo atacheza mechi nyingi sana ili ajifunze kuwa kukaba sio nguvu tu bali na kufanya maamuzi sahihi ni sehemu ya kukaba
 
Je ni handball au sio handball?

 
Sheria za EPL ni za kijinga kweli
Dominik Szoboszlai kamvuta shati Erling Haaland ili asiwahi mpira naye Haaland akamvuta shati Szoboszlai asiwahi kwenda kuuokoa mpira wa Cherki uliokuwa uinaelekea wavuni taratibu.
Hata hivyo mpira uliendlea kwenda na kuingia wavuni.
Sasa shida yangu inakuja pale Dominik Szoboszlai alipopewa red card akiambiwa kuwa amemzuia Haaland asiende kufunga goli wakati goli lilishaingia na sio Haalnd kafunga
Kosa la pili, goli halali la Cherki likafutwa na kuwa free kick
Hapo sheria iboreshwe kwa kweli
Acha mihemko mzee, szobo alikuwa anauwezo wakuzuia ule Mpira usiingie golini kabla ya yeye kuvutwa na Haaland, so refa aliamua afute advantage play adili na faulo kwanza ya szobo na redcard juu
 
Acha mihemko mzee, szobo alikuwa anauwezo wakuzuia ule Mpira usiingie golini kabla ya yeye kuvutwa na Haaland, so refa aliamua afute advantage play adili na faulo kwanza ya szobo na redcard juu
Aliyefanyiwa faulu ndie napewa redcard. tayari hapo mkanganyiko
 
Hamna mkanganyiko, Szobo ndo alianza kucheza faulo Kwa Haaland
Then faulu ya pili haihesabiki na goli ilitakiwa lisimame. Sikatai sheria inasema hivyo na refa kafuata sheria ndio maana mimi nasema sheria za kipuuzi zinatakiwa zifanyiwe marekebisho. Raha ya mpira ni kufunga magoli na sasa kama magoli halali yanakataliwa raha ya mpira itakuwa wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom