Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna mtu mmoja kasema huwa kuna wachezaji wa timu kubwa na wale wa timu ndogo. Ukikosea yule wa timu ndogo ukamleta kwenye timu kubwa hawezi kuc heza vizuri kabisa kwa sababu ya presure.
Msemo wa wahenga
"Jogoo wa shamba hawezi wika mjini"
Delap, Gittens, Garnacho. Hato ni wachezaji wazuri ila wamewahishwa mjini. Walitakiwa wabaki shamba kwanza wajifun ze kulima kitunguu na dengu wakishakomaa ndio waje mjini. Sasa presure ya maisha ya mjini inawapoteza kabisa. Msimu ujao wote utasikia wanakwenda mkopo
Au labda ni sisi tu ndio tunawapa pressure. Usikute wao wanaaminishwa tofauti na hiki tunachotaka wao wafanye. Kwasababu haiwezekani unapata nafasi na bado unaendelea kurukaruka tu.
 
Au labda ni sisi tu ndio tunawapa pressure. Usikute wao wanaaminishwa tofauti na hiki tunachotaka wao wafanye. Kwasababu haiwezekani unapata nafasi na bado unaendelea kurukaruka tu.
Confidence, wanapokuwa kwenye timu ndogo wanakuwa na confidence kubwa kwa sababu ni timu ndogo, matarajio madogo, presure ndogo
Wanapokuja kwenye litimu lenye matarajio makubwa kama Chelsea panic inawatawala ahat wanapolala usiku, hawalali vizuri. Sisi mashabiki tu ndio tunaidharau Chelsea ila Chelsea ni lijitu likuwa ambalo hawa vijana wadogo wakifika pale kwanza hawaamini kama wamesajiliwa Chelsea
 
Sheria za EPL ni za kijinga kweli
Dominik Szoboszlai kamvuta shati Erling Haaland ili asiwahi mpira naye Haaland akamvuta shati Szoboszlai asiwahi kwenda kuuokoa mpira wa Cherki uliokuwa uinaelekea wavuni taratibu.
Hata hivyo mpira uliendlea kwenda na kuingia wavuni.
Sasa shida yangu inakuja pale Dominik Szoboszlai alipopewa red card akiambiwa kuwa amemzuia Haaland asiende kufunga goli wakati goli lilishaingia na sio Haalnd kafunga
Kosa la pili, goli halali la Cherki likafutwa na kuwa free kick
Hapo sheria iboreshwe kwa kweli
 
Sheria za EPL ni za kijinga kweli
Dominik Szoboszlai kamvuta shati Erling Haaland ili asiwahi mpira naye Haaland akamvuta shati Szoboszlai asiwahi kwenda kuuokoa mpira wa Cherki uliokuwa uinaelekea wavuni taratibu.
Hata hivyo mpira uliendlea kwenda na kuingia wavuni.
Sasa shida yangu inakuja pale Dominik Szoboszlai alipopewa red card akiambiwa kuwa amemzuia Haaland asiende kufunga goli wakati goli lilishaingia na sio Haalnd kafunga
Kosa la pili, goli halali la Cherki likafutwa na kuwa free kick
Hapo sheria iboreshwe kwa kweli

Ww ndo hujaelewa na hy sheria ipo sahihi kwa 100%

1: Rudia kuangalia hy mechi tena, mpira haukuingia golini tayari halland alimshika Dominick, hvy Hapa n foul kabla goli halijafungwa.

2: goli lilifutwa kwa sababu halland alicheza foul Kwa kumvuta Dominic Kabla Mpira hujaingia golini, Ila asingemshika bc lingekuwa Goli Na Dominic angepewa kadi ya njano kwa kumvuta halland na sio red card.

Ukitaka kuelewa kilichotokea, inakubidi usiwe mpenzi wa soka la kibongo mana refa wa kibongo n vichwa maji + TFF hasa hasa Linapokuja suala la kuwabeba simba na yanga
 
Viwete, wakati una miaka zaidi 10 hujamfunga, na msimu huu ushakutana nae tayari mara 3 na mara 2 umepasuka
Miaka 10?? Unauhakika?? Hao viwete na vigoli vyao hivyo hivyo vya kona unafikiri watabahatisha hivyo hivyo kila siku.
 
Viwete, wakati una miaka zaidi 10 hujamfunga, na msimu huu ushakutana nae tayari mara 3 na mara 2 umepasuka
Agosti, 22 - 2021 nyumbani kwenu tuliwafumua 2-0
Romelu Lukaku and Reece James wakifunga magoli
 
Confidence, wanapokuwa kwenye timu ndogo wanakuwa na confidence kubwa kwa sababu ni timu ndogo, matarajio madogo, presure ndogo
Wanapokuja kwenye litimu lenye matarajio makubwa kama Chelsea panic inawatawala ahat wanapolala usiku, hawalali vizuri. Sisi mashabiki tu ndio tunaidharau Chelsea ila Chelsea ni lijitu likuwa ambalo hawa vijana wadogo wakifika pale kwanza hawaamini kama wamesajiliwa Chelsea
Wengi wa wanaoichukulia poa Chelsea ni walioanza kushabikia miaka ya 2015. Hawajaiona Chelsea ya asali na maziwa
 
THE BLUES ya sasa hivi imexpire
Wewe ni mfano wa mashabiki waliojichokea, hakuna matumaini tena
Hata hivyo vitani sio lazima wote wawe na imani
Tunasonga mbele, bado viraka vichahce sana ili timu ile ya MOU irudi
Wewe unadhani hawa wamiliki kila siku wapo uwanjani wanapenda Chelsea kufungwa fungwa?
Kuna mambo yanayoendelea nyuma ya pazia kwa ukimya sisi hatujui
 
Hiki ndicho tunachokiita sasa akili ya mpira. Huwezi kuipata kutoka kwa kocha, wala kwenye mazoezi uwanjani. Inatoka moja kwa moja kwenye ubongo — hasa kwenye Prefrontal Cortex. Ndiyo sababu Lionel Messi anacheza kwenye kiwango ambacho wengine hawawezi kufikia. Messi ni genius halisi wa soka.

Hawa wachezaji sasa hivi hawapo
Ingekuwani Pedro Neto hapo angesema asante Mungu na kuutumbukiza wavuni kwenye offside position.

 
James hayupo bado

Chelsea vs Leeds United

4-2-3-1

--Joao Pedro--

Estevao --- Enzo (C) --- Palmer

Santos --- Caicedo

Cucurella — Chalobah — Acheampong — Gusto

--Sánchez--

Bench
  1. Sharman‑Lowe
  2. Fofana
  3. Badiashile
  4. Sarr
  5. Hato
  6. Garnacho
  7. Neto
  8. Delap
  9. Guiu
 
Sub anayejitambua kisoka ni Pedro neto tuu, Hao wengine n wachovu wengine n wala mishahara ya bure.
 
Sub anayejitambua kisoka ni Pedro neto tuu, Hao wengine n wachovu wengine n wala mishahara ya bure.
Hapo ndio utajua kuwa Chelsea bado inatakiwa kuingia sokon baada ya kutumia zaidi ya 2bn
Ila Sarr na Fofana bado ni sub nzuri
 
Kwamba sababu ya cucurela kutoka n ipi?
Ila huyu kocha kuna namna afundishwe namna ya kupanga kikosi
 
Kwa ufupi n kwamba Leeds amenufaika Na Sisi Kwa 100%

Amepata points 4, Huku Sisi tukipata point 1 😂
 
Ile tap in aliyokosa Palmer angekuwa ni Jackson kamati ya lugha chafu ingekaa kikao cha dharula
 
Chelsea inaongoza kwenye ligi kwa kufungwa magoli ya kijinga sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom