kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,351
- 12,687
Huyu ni bonge la kocha wazee. Sijui wachezaji walienda kuvuta bangi kwanza?Tuahitaji kocha aggressive namna hii, siyo umeshafungwa bado unacheza mpira rojorojo.
Huyu ni bonge la kocha wazee. Sijui wachezaji walienda kuvuta bangi kwanza?Tuahitaji kocha aggressive namna hii, siyo umeshafungwa bado unacheza mpira rojorojo.
Hawa wachezaji sio, na hawatakuwa, wachezaji wa kuanza kwenye timu ya Chelsea angalau ndani ya misimu miwili. Liam Rosenior anatakiwa kuelewa hilo. Wote hawa wanapaswa kuingia kutokea benchi pale ambapo tumeshaua mchezo tayari.Quantity ✅️
Quality ❎️
Makocha wanaweza kweli kuwa average but tuna lundo la wachezaji below average. Refer timu ya kipindi cha kwanza na cha pili
Jackson angekuwa muingeleza au hispania angeimbwa sana, huyu delap hafiki hata nusu ya ubovu wa JacksonHivi huyu Liam Delap ana tofauti gani na yule mhindi anayeitwa Armando Broja
Nilichokiona kwake leo ni kusukuma na kuwapiga vibega wachezaji wa West Ham. Hakukuwa na chochote zaidi. Striker asiye na faida.
View attachment 3537131
Delap hamsogelei hata kidole kimoja cha Nicolous Jackson. Jackson akishindwa kukupa magoli anacheza anasumbua defence anatengeneza nafasi kwa wengine. Ila huyu, kinachomuweka Chelsea ni Uingereza wake tu na sasa tuna kocha Muingereza ndio basi tenaJackson angekuwa muingeleza au hispania angeimbwa sana, huyu delap hafiki hata nusu ya ubovu wa Jackson
Ahsante sanaHongereni the blues
Walikuwa active kipindi cha kwanza wakati Westham A inacheza na Westham BMzee wa takataka, tatizo matokeo yakiwa kama leo hivi ni kama haupendezwi maana hauji kabisa kuchangia ila matokeo yakiwa kama yalivyokuwa halftime vile ni kama ndo furaha yako nashindwa kuelewa kama ni shabiki kweli wa chama letu pendwa ze blues au huwa unacomment nyakati ambazo una hasira tu
Ngoja tuwacheki liva kwanza huenda na wao wanacheki hiyo mechiWalikuwa active kipindi cha kwanza wakati Westham A inacheza na Westham B
Sasa wanaume Chelsea FC imeingia kucheza na Westham A na comeback ya kiume wamepotea, hapo ndio mimi nawashngaa sana. Ndio maan nina wasiwasi kama wote humu tunaosema Chelsea Chelsea kama ni wafuasi wa Chelsea kweli
Kwa maana walioitwa ni wengi bali wateule ni wachache
- Mathayo 22:14
Ile profile picture yako ya Didie Drogber ilikuwa inapendezesha sana hili jina.Tuahitaji kocha aggressive namna hii, siyo umeshafungwa bado unacheza mpira rojorojo.
Ila Garnacho, Delap, Badiashile, Chalobah ni utapeli sijawahi kuona. Kocha ana mzigo mzito sana kusajili wachezaji wanaojielewa.Huyu ni bonge la kocha wazee. Sijui wachezaji walienda kuvuta bangi kwanza?
Hivi bodi ya usajili inafanya vetting ya kutosha au ni maelekezo tu toka kwa wafanyabiashara "Todd Boehly na alliances*???Quantity ✅️
Quality ❎️
Makocha wanaweza kweli kuwa average but tuna lundo la wachezaji below average. Refer timu ya kipindi cha kwanza na cha pili
Huwa tunajisifu kuwapiga Arse8 kuwauzia magalasa ila nasi tumekula za uso heavily 😁Hivi huyu Liam Delap ana tofauti gani na yule mhindi anayeitwa Armando Broja
Nilichokiona kwake leo ni kusukuma na kuwapiga vibega wachezaji wa West Ham. Hakukuwa na chochote zaidi. Striker asiye na faida.
View attachment 3537131
50% hatuna wachezaji bora kama enzi za akina Michael Ballack, Didie Drogber, pia mabeki ni ronyoronyo sana, 2 matches timu inaruhusu magoli mawili tena first half?Mzee wa takataka, tatizo matokeo yakiwa kama leo hivi ni kama haupendezwi maana hauji kabisa kuchangia ila matokeo yakiwa kama yalivyokuwa halftime vile ni kama ndo furaha yako nashindwa kuelewa kama ni shabiki kweli wa chama letu pendwa ze blues au huwa unacomment nyakati ambazo una hasira tu ndo maana sijawahi kuona compliment hata kwa bahati mbaya
Bado everage players ni zaidi ya 50%-60% wanaotufanya tuonekane wasaliti. Kuruhusu magoli mawili kwa Napoli na Westharm Utd ni upumbavu utaotugharimu sana baadaye.Walikuwa active kipindi cha kwanza wakati Westham A inacheza na Westham B
Sasa wanaume Chelsea FC imeingia kucheza na Westham A na comeback ya kiume wamepotea, hapo ndio mimi nawashngaa sana. Ndio maan nina wasiwasi kama wote humu tunaosema Chelsea Chelsea kama ni wafuasi wa Chelsea kweli
Kwa maana walioitwa ni wengi bali wateule ni wachache
- Mathayo 22:14
- Mathayo 7:21