Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Quantity ✅️
Quality ❎️
Makocha wanaweza kweli kuwa average but tuna lundo la wachezaji below average. Refer timu ya kipindi cha kwanza na cha pili
 
Hivi huyu Liam Delap ana tofauti gani na yule mhindi anayeitwa Armando Broja

Nilichokiona kwake leo ni kusukuma na kuwapiga vibega wachezaji wa West Ham. Hakukuwa na chochote zaidi. Striker asiye na faida.

1769889291806.png
 
Quantity ✅️
Quality ❎️
Makocha wanaweza kweli kuwa average but tuna lundo la wachezaji below average. Refer timu ya kipindi cha kwanza na cha pili
Hawa wachezaji sio, na hawatakuwa, wachezaji wa kuanza kwenye timu ya Chelsea angalau ndani ya misimu miwili. Liam Rosenior anatakiwa kuelewa hilo. Wote hawa wanapaswa kuingia kutokea benchi pale ambapo tumeshaua mchezo tayari.
  1. - Alejandro Garnacho
  2. - Jamie Bynoe‑Gittens
  3. - Jorrel Hato
  4. - Liam Delap
  5. - Benoît Badiashile
  6. - Malo Gusto - msimu huu amekuwa wa hovyo sana
  7. - Marc Guiu
  8. - Josh Acheampong
  9. - Tyrique George
 
Hivi huyu Liam Delap ana tofauti gani na yule mhindi anayeitwa Armando Broja

Nilichokiona kwake leo ni kusukuma na kuwapiga vibega wachezaji wa West Ham. Hakukuwa na chochote zaidi. Striker asiye na faida.

View attachment 3537131
Jackson angekuwa muingeleza au hispania angeimbwa sana, huyu delap hafiki hata nusu ya ubovu wa Jackson
 
Jackson angekuwa muingeleza au hispania angeimbwa sana, huyu delap hafiki hata nusu ya ubovu wa Jackson
Delap hamsogelei hata kidole kimoja cha Nicolous Jackson. Jackson akishindwa kukupa magoli anacheza anasumbua defence anatengeneza nafasi kwa wengine. Ila huyu, kinachomuweka Chelsea ni Uingereza wake tu na sasa tuna kocha Muingereza ndio basi tena
 
Mzee wa takataka, tatizo matokeo yakiwa kama leo hivi ni kama haupendezwi maana hauji kabisa kuchangia ila matokeo yakiwa kama yalivyokuwa halftime vile ni kama ndo furaha yako nashindwa kuelewa kama ni shabiki kweli wa chama letu pendwa ze blues au huwa unacomment nyakati ambazo una hasira tu ndo maana sijawahi kuona compliment hata kwa bahati mbaya
 
Napenda sana kuwatetea wachezaji wachanga, lakini kwa Badiashile, Mungu anisamehe. Ningekuwa kocha ningempeleka kwenye bombsquad kama Maresca alivyofanya kwa Sterling na Disasi. Badiashile si mchezaji makini, mzito sana, makosa yale yale — ni wa mtindo uleule na anatabirika sana.
 
Mzee wa takataka, tatizo matokeo yakiwa kama leo hivi ni kama haupendezwi maana hauji kabisa kuchangia ila matokeo yakiwa kama yalivyokuwa halftime vile ni kama ndo furaha yako nashindwa kuelewa kama ni shabiki kweli wa chama letu pendwa ze blues au huwa unacomment nyakati ambazo una hasira tu
Walikuwa active kipindi cha kwanza wakati Westham A inacheza na Westham B
Sasa wanaume Chelsea FC imeingia kucheza na Westham A na comeback ya kiume wamepotea, hapo ndio mimi nawashngaa sana. Ndio maan nina wasiwasi kama wote humu tunaosema Chelsea Chelsea kama ni wafuasi wa Chelsea kweli
Kwa maana walioitwa ni wengi bali wateule ni wachache
- Mathayo 22:14
- Mathayo 7:21
 
Mazee kutanguliwa kusitublind, mi sikumbuki mara ya mwisho chelsea kutanguliwa hivi back to back na kuwa na spirit ya comeback hadi ushindi, kuna vitu ni zaidi ya mbinu hii fighting spirit, maamuzi sahihi ya sub kwa wakati sahihi credit sana kwa kocha binafsi sichukulii poa
 
Walikuwa active kipindi cha kwanza wakati Westham A inacheza na Westham B
Sasa wanaume Chelsea FC imeingia kucheza na Westham A na comeback ya kiume wamepotea, hapo ndio mimi nawashngaa sana. Ndio maan nina wasiwasi kama wote humu tunaosema Chelsea Chelsea kama ni wafuasi wa Chelsea kweli
Kwa maana walioitwa ni wengi bali wateule ni wachache
- Mathayo 22:14
Ngoja tuwacheki liva kwanza huenda na wao wanacheki hiyo mechi
 
Ukizungumzia kimbinu Enzo Maresca amemzidi Liam Rosenior but alichowin kocha huyu mpya nikawajengea Chelsea mentality ya ushindi kwa kuwajaza upepo kitu ambacho Maresca amefeli aliweza tu tukikutana dhidi ya team kubwa pekee, pili kocha hajataka kupaka rangi nyingi nyingi amewataka wachezaji Wajikite kwenye basic za mpira, kuongeza intensity ya game, kucheza direct football hakutaka kubadilisha kwa kiasi kikubwa
 
Quantity ✅️
Quality ❎️
Makocha wanaweza kweli kuwa average but tuna lundo la wachezaji below average. Refer timu ya kipindi cha kwanza na cha pili
Hivi bodi ya usajili inafanya vetting ya kutosha au ni maelekezo tu toka kwa wafanyabiashara "Todd Boehly na alliances*???
 
Mzee wa takataka, tatizo matokeo yakiwa kama leo hivi ni kama haupendezwi maana hauji kabisa kuchangia ila matokeo yakiwa kama yalivyokuwa halftime vile ni kama ndo furaha yako nashindwa kuelewa kama ni shabiki kweli wa chama letu pendwa ze blues au huwa unacomment nyakati ambazo una hasira tu ndo maana sijawahi kuona compliment hata kwa bahati mbaya
50% hatuna wachezaji bora kama enzi za akina Michael Ballack, Didie Drogber, pia mabeki ni ronyoronyo sana, 2 matches timu inaruhusu magoli mawili tena first half?

Ukikutana na timu yenye ukuta kama Arse8 ndiyo basi tena.
 
Walikuwa active kipindi cha kwanza wakati Westham A inacheza na Westham B
Sasa wanaume Chelsea FC imeingia kucheza na Westham A na comeback ya kiume wamepotea, hapo ndio mimi nawashngaa sana. Ndio maan nina wasiwasi kama wote humu tunaosema Chelsea Chelsea kama ni wafuasi wa Chelsea kweli
Kwa maana walioitwa ni wengi bali wateule ni wachache
- Mathayo 22:14
- Mathayo 7:21
Bado everage players ni zaidi ya 50%-60% wanaotufanya tuonekane wasaliti. Kuruhusu magoli mawili kwa Napoli na Westharm Utd ni upumbavu utaotugharimu sana baadaye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom