Palmer anaumwa, mnataka aje kuwa kama Reece James?Yaani chelsea tunacheza mpira mbovu sana, side ways pass na maback pass kwa kipa kama yote, nawaangalia Aston Villa hapa mipira inavyopitishwa kati sio poa.
View attachment 3536335
Inabidi kocha aache kiburi cha kutokumwanzisha huyu mwamba.
Mfumo wa uchezaji wa Rosenior utawanufaisha sana akina Joao Pedro na Palmer na hata Estevao Willian
Sababu
Rosenior atamtumia sana Joao Pedro kama namba 9
Atamchezesha sana Esetvao Willian na kumpa uhuru tofauti na Maresca
Atampa uhuru wa kucheza Palmer, Enzo Fernandez tofauti na Maresca alivyowabana wacheze kama anavyotaka
Estevao Willian, Enzo Frenandez na Cole Palmer wakicheza kwa uhuru watatumia uwezo wao wote kucheza vizuri
Kocha mzuri ni pamoja nakuona mistake yako nakusahihisha haraka na kwa wakati sahihi hiki ndicho alichofanya kocha wetu Gittens kazingua nakumtoa angalia aina ya substitution alizofanya ni za akili sana na nachopendea sana kwa huyu kocha Chelsea Sasa hivi inacheza soka la haraka ukilinganisha na mpira wa Maresca na ndio maana unamuona Joao Pedro yupo kwenye form ni aina ya mpira unaomfit
Kwa upande wangu huu mpira wake na ule wa Maresca hata siuelewi. Ni kwa kua labda naangalia mechi za timu nyingi tofauti tofauti.Uharaka wa kurudisha mpira nyuma? Hakuna kocha pale ile ni takataka. Uliona mfumo wa mtaalamu Conte? Timu shindani na inayo jua nini inafanya inapaswa kupeleka moto muda wote kama walivyo fanya Napoli.
Sisi Chelsea bado tuna lundo la wachezaji matakataka wakiongozwa na kocha. Kiufupi sisi bado sana kuingia kwenye ushindani haswa, tutaishia kushinda makombe ya bonanza tu ila yale makombe ya kibabe tutayasikia kwa majirani.
Huo ndio ukweli mchungu acheni kuwa mnajipa matumaini hewa.
Kama timu tunayocheza nayo inapaki mabasi na makontena kuziba njia, hata pikipiki na baiskeli haziwezi kupenya. Unategemea wachezaji wafanye nini, watoe pasi za kupotea na kufanyiwa counter? Vitu vingine sio vya kocha, ni uhalisia wa mchezo. 💙⚽️Mfumo wa kipumbavu sana, kila wakati ni kurudisha mpira nyuma. Ndio maana nawambia huyu Kocha bado sio sahihi kwa timu kama Chelsea
Yaani ni kwamba timu zikikutana na chelsea tu pekee ndio zinapaki basi?? kwa kua chelsea ni bora sana au? mana timu hiyo hiyo ikikutana na City au Arsenal inapasuka nyingi. Mnaona timu inapaki basi mana hakuna mchezaji wa kupga pasi za uthibutu, wanaishia kurudisha kwa kipa mara kwa mara.Kama timu tunayocheza nayo inapaki mabasi na makontena kuziba njia, hata pikipiki na baiskeli haziwezi kupenya. Unategemea wachezaji wafanye nini, watoe pasi za kupotea na kufanyiwa counter? Vitu vingine sio vya kocha, ni uhalisia wa mchezo. 💙⚽️
Kocha la kindezi sana hili, Todd Boehly na wamarekani wenzake wanawaza mahela tu, pumbavu 😡Mfumo wa kipumbavu sana, kila wakati ni kurudisha mpira nyuma. Ndio maana nawambia huyu Kocha bado sio sahihi kwa timu kama Chelsea
Arsenal wanategemea set pieces na long throws ili kuwasambaratishaYaani ni kwamba timu zikikutana na chelsea tu pekee ndio zinapaki basi?? kwa kua chelsea ni bora sana au? mana timu hiyo hiyo ikikutana na City au Arsenal inapasuka nyingi. Mnaona timu inapaki basi mana hakuna mchezaji wa kupga pasi za uthibutu, wanaishia kurudisha kwa kipa mara kwa mara.
Kwa hiyo njia pekee ni kuwa na wachezaji wa 1v1??Arsenal wanategemea set pieces na long throws ili kuwasambaratisha
Man city wana wachezaji wazuri wa 1v1, ambao ni
Chelsea mchezaji pekee mzuri kwenye 1v1 ni Estevao Willian. Jadon Sancho alikuwa mzuri lakini hatukuweza kumpata, Jamie Gittens mzuri lakini bado kinda.
- Jérémy Doku
- Phil Foden
- Bernardo Silva
- Rayan Cherki
Chelsea bado safari ni ndefu sana, profile ya wachezaji tulionao bado wako mbali kwenye kuweza kubomoa ngome za mabasi na makotena
YES na ndio maana mashabiki wengi walitofautiana sana kuhusu usajili wa Garnacho kwa sababu huyo hawezi kabisa kupiga chenga ili kupeleka mipira golini kutokea pembeni. Gittens anaweza ila maamuzi yake bado ya kitoto sana. Sancho pekee ndie aliweza lakini tulimshindwa kwa sababu ya mshahara.Kwa hiyo njia pekee ni kuwa na wachezaji wa 1v1??
Kuna nini mkuu, au vidole imegonga keyboard kwa bahati mbayaHamna timu hapa
Aje yeyote tumfundishe mpira. PSG walishapata fundisho tayari kwenye club world cup. Lakini kama hawakujifunza vizuri waje tena wapate somo upya.Mbili kati ya timu hizi aidha zitakutana na Chelsea au Barcelona kwente hatua ya 16 bora
View attachment 3536290
Umenena vema mkuu. Mm nilidhani walimuacha Sancho kwa sababu kiufundi. Kumbe ilikuwa sababu za kiichmi😨😳YES na ndio maana mashabiki wengi walitofautiana sana kuhusu usajili wa Garnacho kwa sababu huyo hawezi kabisa kupiga chenga ili kupeleka mipira golini kutokea pembeni. Gittens anaweza ila maamuzi yake bado ya kitoto sana. Sancho pekee ndie aliweza lakini tulimshindwa kwa sababu ya mshahara.
Mtu mwingine aliyekuwa anaweza nu Mudryk kabla hajafungiwa.
Akija Giovani Quenda akaungana na Estevao Willian ngoma itanoga huko kwenye wingers
Arsenal wanategemea set pieces na long throws ili kuwasambaratisha
Man city wana wachezaji wazuri wa 1v1, ambao ni
Chelsea mchezaji pekee mzuri kwenye 1v1 ni Estevao Willian. Jadon Sancho alikuwa mzuri lakini hatukuweza kumpata, Jamie Gittens mzuri lakini bado kinda.
- Jérémy Doku
- Phil Foden
- Bernardo Silva
- Rayan Cherki
Chelsea bado safari ni ndefu sana, profile ya wachezaji tulionao bado wako mbali kwenye kuweza kubomoa ngome za mabasi na makotena
Hamna timu hapa
Kama timu tunayocheza nayo inapaki mabasi na makontena kuziba njia, hata pikipiki na baiskeli haziwezi kupenya. Unategemea wachezaji wafanye nini, watoe pasi za kupotea na kufanyiwa counter? Vitu vingine sio vya kocha, ni uhalisia wa mchezo.️
Kucheza mipira ya back passes na sideways ni sehemu ya mbinu za mpira wa miguu ili kutunza umiliki, kuepuka kufungwa kwa counter, na kupanga upya mbinu za kujenga mashambulizi.Kama kocha unapaswa kuja na mbinu sasa. Sio kila muda una rudisha mpira nyuma ukitegemea bahati nasibu.
Hata mimi wewe unanishangaza sana, kila mtu usipompenda unamuita takataka, akicheza vizuri unakula ganzi hadi unapotea. Mliimba wimbo wa Sanchez takataka sasa ana zaidi ya mwaka anacheza vizuri mmenyamaza kimyaIla we jamaa huwa unani furahisha sana unavyo watetea hao matakataka. Sasa Gittens ana uzuri gani ambao sisi hatuoni?