Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,531
- 18,727
Ila we jamaa huwa unani furahisha sana unavyo watetea hao matakataka. Sasa Gittens ana uzuri gani ambao sisi hatuoni?
Arsenal wanategemea set pieces na long throws ili kuwasambaratisha
Man city wana wachezaji wazuri wa 1v1, ambao ni
Chelsea mchezaji pekee mzuri kwenye 1v1 ni Estevao Willian. Jadon Sancho alikuwa mzuri lakini hatukuweza kumpata, Jamie Gittens mzuri lakini bado kinda.
- Jérémy Doku
- Phil Foden
- Bernardo Silva
- Rayan Cherki
Chelsea bado safari ni ndefu sana, profile ya wachezaji tulionao bado wako mbali kwenye kuweza kubomoa ngome za mabasi na makotena