Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani chelsea tunacheza mpira mbovu sana, side ways pass na maback pass kwa kipa kama yote, nawaangalia Aston Villa hapa mipira inavyopitishwa kati sio poa.

Screenshot_20260129_232211_X.jpg

Inabidi kocha aache kiburi cha kutokumwanzisha huyu mwamba.
 
Yaani chelsea tunacheza mpira mbovu sana, side ways pass na maback pass kwa kipa kama yote, nawaangalia Aston Villa hapa mipira inavyopitishwa kati sio poa.

View attachment 3536335
Inabidi kocha aache kiburi cha kutokumwanzisha huyu mwamba.
Palmer anaumwa, mnataka aje kuwa kama Reece James?
Jana na ubovu wake katoa assists 2
Naamini wachezaji wakimzoea Rosenior, hicho kitu unachosema utakiona vizuri tu. Strasbourge ndivyo walivyokuwa wanacheza chini ya Rosenior
Kwa sasa mchezaji mbunifu na mwenye kuweza kumuona na kumhudumia striker akiwemo Joao Pedro ni COLE PALMER. Tumuombee apone na arudi kwenye fitness yake
 
Roadmap yote ya UEFA Champion League hii hapa
Uwezekano wa Chelsea na Barcelona kukutana hakuna hadi fainali
1769777861769.png
 
Mfumo wa kipumbavu sana, kila wakati ni kurudisha mpira nyuma. Ndio maana nawambia huyu Kocha bado sio sahihi kwa timu kama Chelsea
Mfumo wa uchezaji wa Rosenior utawanufaisha sana akina Joao Pedro na Palmer na hata Estevao Willian
Sababu
Rosenior atamtumia sana Joao Pedro kama namba 9
Atamchezesha sana Esetvao Willian na kumpa uhuru tofauti na Maresca
Atampa uhuru wa kucheza Palmer, Enzo Fernandez tofauti na Maresca alivyowabana wacheze kama anavyotaka
Estevao Willian, Enzo Frenandez na Cole Palmer wakicheza kwa uhuru watatumia uwezo wao wote kucheza vizuri
 
Uharaka wa kurudisha mpira nyuma? Hakuna kocha pale ile ni takataka. Uliona mfumo wa mtaalamu Conte? Timu shindani na inayo jua nini inafanya inapaswa kupeleka moto muda wote kama walivyo fanya Napoli.

Sisi Chelsea bado tuna lundo la wachezaji matakataka wakiongozwa na kocha. Kiufupi sisi bado sana kuingia kwenye ushindani haswa, tutaishia kushinda makombe ya bonanza tu ila yale makombe ya kibabe tutayasikia kwa majirani.

Huo ndio ukweli mchungu acheni kuwa mnajipa matumaini hewa.
Kocha mzuri ni pamoja nakuona mistake yako nakusahihisha haraka na kwa wakati sahihi hiki ndicho alichofanya kocha wetu Gittens kazingua nakumtoa angalia aina ya substitution alizofanya ni za akili sana na nachopendea sana kwa huyu kocha Chelsea Sasa hivi inacheza soka la haraka ukilinganisha na mpira wa Maresca na ndio maana unamuona Joao Pedro yupo kwenye form ni aina ya mpira unaomfit
 
Uharaka wa kurudisha mpira nyuma? Hakuna kocha pale ile ni takataka. Uliona mfumo wa mtaalamu Conte? Timu shindani na inayo jua nini inafanya inapaswa kupeleka moto muda wote kama walivyo fanya Napoli.

Sisi Chelsea bado tuna lundo la wachezaji matakataka wakiongozwa na kocha. Kiufupi sisi bado sana kuingia kwenye ushindani haswa, tutaishia kushinda makombe ya bonanza tu ila yale makombe ya kibabe tutayasikia kwa majirani.

Huo ndio ukweli mchungu acheni kuwa mnajipa matumaini hewa.
Kwa upande wangu huu mpira wake na ule wa Maresca hata siuelewi. Ni kwa kua labda naangalia mechi za timu nyingi tofauti tofauti.
Jana nilikua naangalia Espayol Vs Alaves, watoto mipira inapita kati kati mpk raha hakuna mpira wa kizee maback pass, nikajiuliza hii chelsea yangu itaweza siku moja kucheza hivyo kweli??!
 
Mfumo wa kipumbavu sana, kila wakati ni kurudisha mpira nyuma. Ndio maana nawambia huyu Kocha bado sio sahihi kwa timu kama Chelsea
Kama timu tunayocheza nayo inapaki mabasi na makontena kuziba njia, hata pikipiki na baiskeli haziwezi kupenya. Unategemea wachezaji wafanye nini, watoe pasi za kupotea na kufanyiwa counter? Vitu vingine sio vya kocha, ni uhalisia wa mchezo. 💙⚽️
 
Kama timu tunayocheza nayo inapaki mabasi na makontena kuziba njia, hata pikipiki na baiskeli haziwezi kupenya. Unategemea wachezaji wafanye nini, watoe pasi za kupotea na kufanyiwa counter? Vitu vingine sio vya kocha, ni uhalisia wa mchezo. 💙⚽️
Yaani ni kwamba timu zikikutana na chelsea tu pekee ndio zinapaki basi?? kwa kua chelsea ni bora sana au? mana timu hiyo hiyo ikikutana na City au Arsenal inapasuka nyingi. Mnaona timu inapaki basi mana hakuna mchezaji wa kupga pasi za uthibutu, wanaishia kurudisha kwa kipa mara kwa mara.
 
Yaani ni kwamba timu zikikutana na chelsea tu pekee ndio zinapaki basi?? kwa kua chelsea ni bora sana au? mana timu hiyo hiyo ikikutana na City au Arsenal inapasuka nyingi. Mnaona timu inapaki basi mana hakuna mchezaji wa kupga pasi za uthibutu, wanaishia kurudisha kwa kipa mara kwa mara.
Arsenal wanategemea set pieces na long throws ili kuwasambaratisha
Man city wana wachezaji wazuri wa 1v1, ambao ni
  1. Jérémy Doku
  2. Phil Foden
  3. Bernardo Silva
  4. Rayan Cherki
Chelsea mchezaji pekee mzuri kwenye 1v1 ni Estevao Willian. Jadon Sancho alikuwa mzuri lakini hatukuweza kumpata, Jamie Gittens mzuri lakini bado kinda.
Chelsea bado safari ni ndefu sana, profile ya wachezaji tulionao bado wako mbali kwenye kuweza kubomoa ngome za mabasi na makotena
 
Arsenal wanategemea set pieces na long throws ili kuwasambaratisha
Man city wana wachezaji wazuri wa 1v1, ambao ni
  1. Jérémy Doku
  2. Phil Foden
  3. Bernardo Silva
  4. Rayan Cherki
Chelsea mchezaji pekee mzuri kwenye 1v1 ni Estevao Willian. Jadon Sancho alikuwa mzuri lakini hatukuweza kumpata, Jamie Gittens mzuri lakini bado kinda.
Chelsea bado safari ni ndefu sana, profile ya wachezaji tulionao bado wako mbali kwenye kuweza kubomoa ngome za mabasi na makotena
Kwa hiyo njia pekee ni kuwa na wachezaji wa 1v1??
 
Kwa hiyo njia pekee ni kuwa na wachezaji wa 1v1??
YES na ndio maana mashabiki wengi walitofautiana sana kuhusu usajili wa Garnacho kwa sababu huyo hawezi kabisa kupiga chenga ili kupeleka mipira golini kutokea pembeni. Gittens anaweza ila maamuzi yake bado ya kitoto sana. Sancho pekee ndie aliweza lakini tulimshindwa kwa sababu ya mshahara.
Mtu mwingine aliyekuwa anaweza nu Mudryk kabla hajafungiwa.
Akija Giovani Quenda akaungana na Estevao Willian ngoma itanoga huko kwenye wingers
 
YES na ndio maana mashabiki wengi walitofautiana sana kuhusu usajili wa Garnacho kwa sababu huyo hawezi kabisa kupiga chenga ili kupeleka mipira golini kutokea pembeni. Gittens anaweza ila maamuzi yake bado ya kitoto sana. Sancho pekee ndie aliweza lakini tulimshindwa kwa sababu ya mshahara.
Mtu mwingine aliyekuwa anaweza nu Mudryk kabla hajafungiwa.
Akija Giovani Quenda akaungana na Estevao Willian ngoma itanoga huko kwenye wingers
Umenena vema mkuu. Mm nilidhani walimuacha Sancho kwa sababu kiufundi. Kumbe ilikuwa sababu za kiichmi😨😳
 
Ila we jamaa huwa unani furahisha sana unavyo watetea hao matakataka. Sasa Gittens ana uzuri gani ambao sisi hatuoni?
Arsenal wanategemea set pieces na long throws ili kuwasambaratisha
Man city wana wachezaji wazuri wa 1v1, ambao ni
  1. Jérémy Doku
  2. Phil Foden
  3. Bernardo Silva
  4. Rayan Cherki
Chelsea mchezaji pekee mzuri kwenye 1v1 ni Estevao Willian. Jadon Sancho alikuwa mzuri lakini hatukuweza kumpata, Jamie Gittens mzuri lakini bado kinda.
Chelsea bado safari ni ndefu sana, profile ya wachezaji tulionao bado wako mbali kwenye kuweza kubomoa ngome za mabasi na makotena
 
Kama kocha unapaswa kuja na mbinu sasa. Sio kila muda una rudisha mpira nyuma ukitegemea bahati nasibu.
Kama timu tunayocheza nayo inapaki mabasi na makontena kuziba njia, hata pikipiki na baiskeli haziwezi kupenya. Unategemea wachezaji wafanye nini, watoe pasi za kupotea na kufanyiwa counter? Vitu vingine sio vya kocha, ni uhalisia wa mchezo.
 
Kama kocha unapaswa kuja na mbinu sasa. Sio kila muda una rudisha mpira nyuma ukitegemea bahati nasibu.
Kucheza mipira ya back passes na sideways ni sehemu ya mbinu za mpira wa miguu ili kutunza umiliki, kuepuka kufungwa kwa counter, na kupanga upya mbinu za kujenga mashambulizi.

Kwenye mechi ya kwanza ya Lampard kama kocha wa Chelsea dhidi ya Man United tarehe 11 Agosti 2019, timu ilicheza direct football bila back passes — mpira mtamu sana — lakini Man United walitutandika 4–0 kwa counter.

Kama hakuna wachezaji wenye uwezo wa kutoa vertical passes uwanjani, halafu mnalazimisha huo mtindo kila mechi tarajia kufungwa 3–0, 4–0, 5–0, hadi mkome.

Jifunze kwanza dynamics halisi za mpira uwanjani kabla ya kulalamika kana kwamba mnajua zaidi kuliko watu mameneja na wachezaji waliolisomea hili hadi digrii, na uzoefu wa miaka mingi.
 
Ila we jamaa huwa unani furahisha sana unavyo watetea hao matakataka. Sasa Gittens ana uzuri gani ambao sisi hatuoni?
Hata mimi wewe unanishangaza sana, kila mtu usipompenda unamuita takataka, akicheza vizuri unakula ganzi hadi unapotea. Mliimba wimbo wa Sanchez takataka sasa ana zaidi ya mwaka anacheza vizuri mmenyamaza kimya
Hata mke wako akikosea kidogo naona wewe jamaa unamuita wewe mke takataka 😂 Naogopa kukaa karibu na wewe maana kosa moja nikitenda utaniita takataka🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom