Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

James na Neto hawapo

Arsenal vs Chelsea
Carabao Cup
2nd Leg
1st Leg 3-2

3-4-1-2

--Delap--Joao Pedro--

-- Enzo --

Cucurella--Santos --- Caicedo--Gusto

Hato--Chalobah — Fofana

--Sánchez--

Subs
  • Sharman-Lowe
  • Acheampong
  • Badiashile
  • Holland
  • Palmer
  • Estevao
  • Garnacho
  • Guiu
  • Mheuka

View attachment 3538665
Hii inaiteq nakuzia huku nakushambulia.
 
Huwezi kutaka matokeo ya ushindi kwa kikosi hiki, hao viungo wote hapo katikati wa kazi gani? Una fahamu fika wewe ndio unahitaji kushinda kwa namna yoyote ile alafu unaenda kujaza viungo wote ulio nao. Mbaya zaidi pembeni una muweka takataka Delap, aisee nilikuwa nacheka pindi hiyo takataka ikipewa mpira.

Huyu kocha ni takataka sana, basi kwa kikosi hicho angalau ule upande ipo ile takataka Delap angeweka winga mmoja (Estevao). Kisha huo upande ndio awe ana utumia sana kwa mashambulizi yaani mipira yote ipelekwe huko. Sasa hiyo takataka Delap ku force ata haijui, ikipewa mpira ni kurudisha nyuma tu.

Toa hiyo takataka aingie Estevao alafu muone nini kitatokea mpaka dakika ya 60.
 
Huwezi kutaka matokeo ya ushindi kwa kikosi hiki, hao viungo wote hapo katikati wa kazi gani? Una fahamu fika wewe ndio unahitaji kushinda kwa namna yoyote ile alafu unaenda kujaza viungo wote ulio nao. Mbaya zaidi pembeni una muweka takataka Delap, aisee nilikuwa nacheka pindi hiyo takataka ikipewa mpira.

Huyu kocha ni takataka sana, basi kwa kikosi hicho angalau ule upande ipo ile takataka Delap angeweka winga mmoja (Estevao). Kisha huo upande ndio awe ana utumia sana kwa mashambulizi yaani mipira yote ipelekwe huko. Sasa hiyo takataka Delap ku force ata haijui, ikipewa mpira ni kurudisha nyuma tu.

Toa hiyo takataka aingie Estevao alafu muone nini kitatokea mpaka dakika ya 60.
Tafuta timu ukawe kocha, mimi nitakuwa shabiki wako wa kwanza
 
Narudia tena hii timu mashabiki wana mdomo kuliko uwezo wa timu.
 
Kama kuna mtu atakuja kulaumu kwa kufungwa leo naamini huyo mtu hajui mpira. Tumejitahidi sana ila tukubali huu ukweli Arsenal ni timu bora sana sio tu UK ila ni ulaya nzima.

Inaumiza sana ila kuna amani katika kuukubali ukweli

Tumepoteza hii mechi kwenye matokeo lakini si kwenye kiwango cha uchezaji.
Kwa mbinu hizi, zikianza kuwa za kudumu bila kuyumba yumba, Chelsea inaweza kufika mbali—Top 4 EPL na hata kufanya vizuri kwenye UCL.
 
Ni mtazamo tu

Mechi ya leo haikuwa mbaya, approach ya kocha kwenye mechi ilikuwa ina tija na namuelewa kwa ile lineup aliyoanza nayo kwa sababu margin ilikuwa ndogo sana tofauti ya goli moja ukicheza kidogo tu inabadilika na mlima unakuwa mkubwa zaidi kuupanda ndo maana naona kocha alilenga kuhakikisha matokeo yanabaki at least vile vile kwa hata kipindi cha kwanza chote then ndo aingize zile silaha zake yaani palmer na toto tundu

Sehemu ambayo nakubaliana na mzee wa takataka na moja kwa moja hii itamaanisha napingana kidogo na kocha ni kwa john cena delap, jamaa kiukweli kiwango bado na ule upande ulifaa sana mtu hatari toka mwanzo, japo kwa namna nyengine pengine kumuanzisha estevao ambaye hakuwepo na timu kwa siku kadhaa kutokana na changamoto za kifamilia labda kisaikolojia hakuwa fresh ndo maana hakuweza kuanza naye kule kwa delap ila bado binafsi naamini kule angeanza mtu mwengine huenda angeoffer kitu kizuri zaidi

All in all hatuko mbali sana na nchi ya ahadi, na kocha naamini sio mbaya japo binafsi naendelea kumuasses na so far so good, zile nafasi za enzo alizopaisha zile kama tatu hivi angekutana nazo caicedo zileee anyways blue is the color wanangu upchelsea👊
 
Tumepoteza hii mechi kwenye matokeo lakini si kwenye kiwango cha uchezaji.
Kwa mbinu hizi, zikianza kuwa za kudumu bila kuyumba yumba, Chelsea inaweza kufika mbali—Top 4 EPL na hata kufanya vizuri kwenye UCL.
Kweli kabisa, kimfumo tumecgeza vizuri sana yule dogo Delap peke yake ndio mzigo uliobaki bahati yake umri wake vado mdogo ila sasa Chelsea haina muda wa kumsubiri mtu kama anapewa nafasi anaishia kufanya mafaulo ya kumpatia kadi tu.
 
Tumepoteza hii mechi kwenye matokeo lakini si kwenye kiwango cha uchezaji.
Kwa mbinu hizi, zikianza kuwa za kudumu bila kuyumba yumba, Chelsea inaweza kufika mbali—Top 4 EPL na hata kufanya vizuri kwenye UCL.
huyu Kocha wenu apewe wachezaji anaowataka....sio Eghbali anayewataka....mtafika pahala ila wakiendeleza ule ufala wao Ile bodi yenu....hakyani hyu rose nyemba naye mtamfukuza
 
Ww Lofa Mkohoti na vilaza wenzio njooni hapa tu discuss namna ya kuandaa sherehe ya ubingwa kwa vidume wenu....nyny mtakuwa kitengo Cha kugawa vinywaji kwa wageni waalikwa kama kina Livakuku na Mama Cita....tangu mwaka 2021 hamjatufunga na hio dalili haionekani kabisa.....narudia Tena hyu Kocha wenu mawani naye mtamfukuza tu🤠🤠
 
Kama kuna mtu atakuja kulaumu kwa kufungwa leo naamini huyo mtu hajui mpira. Tumejitahidi sana ila tukubali huu ukweli Arsenal ni timu bora sana sio tu UK ila ni ulaya nzima.

Inaumiza sana ila kuna amani katika kuukubali ukweli
Ubatizo unaanza
 
Leo hakuna kisingizio cha wachezaji.

Leo kisingizio ni mfumo.

Wazenge wengine huwaoni kwenye huu uzi wa hawa watu lakini niamini mimi hawa wangepata suluhu wangejisifu ujinga na wenzao wangekuja kuwasifu.

Wazenge kabisa
 
huyu Kocha wenu apewe wachezaji anaowataka....sio Eghbali anayewataka....mtafika pahala ila wakiendeleza ule ufala wao Ile bodi yenu....hakyani hyu rose nyemba naye mtamfukuza
Amortim angepewa wachezaji anaowataka sasa hivi Man Un ited sijui wangekuwa wapi? Apprach bodi inachukua ya ID football ni kama ilivyo Barcelona, PSG, Bayern Munich, Man City na timu nyingine lukuki. Ili siku kocha akiach au kutimuliwa tunamleta tu kocha anayefanana na identity. Man City sasa hivi wanamuandaa Maresca kuchukua mikoba ya PEP kwa sababu ya identity kufanana. Hii ya kumtafutia kocha wachezaji kwenye identity isyo ya kudumu ya backline ya 3/5 ni mtindo wa kizamani sana na sio sustainable
 
Ww Lofa Mkohoti na vilaza wenzio njooni hapa tu discuss namna ya kuandaa sherehe ya ubingwa kwa vidume wenu....nyny mtakuwa kitengo Cha kugawa vinywaji kwa wageni waalikwa kama kina Livakuku na Mama Cita....tangu mwaka 2021 hamjatufunga na hio dalili haionekani kabisa.....narudia Tena hyu Kocha wenu mawani naye mtamfukuza tu🤠🤠
Kama Arsenal watashinda Premier League msimu huu, watakuwa ni moja ya timu dhaifu zaidi kuwahi kutwaa taji hilo katika historia ya ligi.
-Paul Scholes 🤣 🤣 🤣 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom