Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hongera kwa wote waliohusika — Cole Palmer fundi mbunifu wa ujenzi wa mashambulizi, pasi sahihi ya Moisés Caicedo, maono ya João Pedro, akili ya Pedro Neto kumuachia mpira Enzo, na mwisho kabisa ufungaji wa ustadi maridaid wa Enzo Fernández kukamilisha comeback dakika za nyongeza.
Chelsea 3–2 West Ham.

 
James na Neto hawapo

Arsenal vs Chelsea
Carabao Cup
2nd Leg
1st Leg 3-2

3-4-1-2

--Delap--Joao Pedro--

-- Enzo --

Cucurella--Santos --- Caicedo--Gusto

Hato--Chalobah — Fofana

--Sánchez--

Subs
  • Sharman-Lowe
  • Acheampong
  • Badiashile
  • Holland
  • Palmer
  • Estevao
  • Garnacho
  • Guiu
  • Mheuka

1770145479225.png
 
Leo ninategemea kwa mara ya kwanza kuangalia Full match ya Chelsea chini kocha Liam. Kwa namna alivyopanga kikosi ninapata Imani tunaweza kufanya kitu
 
Ukiachana na mambo ya ufundi. Hii match inataka utulivu zaidi hasa kwa Chelsea kuanzia hata kabla match ikiwa sare na hata ikitokea tukatangulia au kutanguliwa. Utulivu ukipotea tumepoteza match

Hawa leo wetu palepale kwao. Niamini mimi bro
 
James na Neto hawapo

Arsenal vs Chelsea
Carabao Cup
2nd Leg
1st Leg 3-2

3-4-1-2

--Delap--Joao Pedro--

-- Enzo --

Cucurella--Santos --- Caicedo--Gusto

Hato--Chalobah — Fofana

--Sánchez--

Subs
  • Sharman-Lowe
  • Acheampong
  • Badiashile
  • Holland
  • Palmer
  • Estevao
  • Garnacho
  • Guiu
  • Mheuka

View attachment 3538665
Hii inaiteq nakuzia huku nakushambulia.
 
Huwezi kutaka matokeo ya ushindi kwa kikosi hiki, hao viungo wote hapo katikati wa kazi gani? Una fahamu fika wewe ndio unahitaji kushinda kwa namna yoyote ile alafu unaenda kujaza viungo wote ulio nao. Mbaya zaidi pembeni una muweka takataka Delap, aisee nilikuwa nacheka pindi hiyo takataka ikipewa mpira.

Huyu kocha ni takataka sana, basi kwa kikosi hicho angalau ule upande ipo ile takataka Delap angeweka winga mmoja (Estevao). Kisha huo upande ndio awe ana utumia sana kwa mashambulizi yaani mipira yote ipelekwe huko. Sasa hiyo takataka Delap ku force ata haijui, ikipewa mpira ni kurudisha nyuma tu.

Toa hiyo takataka aingie Estevao alafu muone nini kitatokea mpaka dakika ya 60.
 
Huwezi kutaka matokeo ya ushindi kwa kikosi hiki, hao viungo wote hapo katikati wa kazi gani? Una fahamu fika wewe ndio unahitaji kushinda kwa namna yoyote ile alafu unaenda kujaza viungo wote ulio nao. Mbaya zaidi pembeni una muweka takataka Delap, aisee nilikuwa nacheka pindi hiyo takataka ikipewa mpira.

Huyu kocha ni takataka sana, basi kwa kikosi hicho angalau ule upande ipo ile takataka Delap angeweka winga mmoja (Estevao). Kisha huo upande ndio awe ana utumia sana kwa mashambulizi yaani mipira yote ipelekwe huko. Sasa hiyo takataka Delap ku force ata haijui, ikipewa mpira ni kurudisha nyuma tu.

Toa hiyo takataka aingie Estevao alafu muone nini kitatokea mpaka dakika ya 60.
Tafuta timu ukawe kocha, mimi nitakuwa shabiki wako wa kwanza
 
Narudia tena hii timu mashabiki wana mdomo kuliko uwezo wa timu.
 
Kama kuna mtu atakuja kulaumu kwa kufungwa leo naamini huyo mtu hajui mpira. Tumejitahidi sana ila tukubali huu ukweli Arsenal ni timu bora sana sio tu UK ila ni ulaya nzima.

Inaumiza sana ila kuna amani katika kuukubali ukweli

Tumepoteza hii mechi kwenye matokeo lakini si kwenye kiwango cha uchezaji.
Kwa mbinu hizi, zikianza kuwa za kudumu bila kuyumba yumba, Chelsea inaweza kufika mbali—Top 4 EPL na hata kufanya vizuri kwenye UCL.
 
Ni mtazamo tu

Mechi ya leo haikuwa mbaya, approach ya kocha kwenye mechi ilikuwa ina tija na namuelewa kwa ile lineup aliyoanza nayo kwa sababu margin ilikuwa ndogo sana tofauti ya goli moja ukicheza kidogo tu inabadilika na mlima unakuwa mkubwa zaidi kuupanda ndo maana naona kocha alilenga kuhakikisha matokeo yanabaki at least vile vile kwa hata kipindi cha kwanza chote then ndo aingize zile silaha zake yaani palmer na toto tundu

Sehemu ambayo nakubaliana na mzee wa takataka na moja kwa moja hii itamaanisha napingana kidogo na kocha ni kwa john cena delap, jamaa kiukweli kiwango bado na ule upande ulifaa sana mtu hatari toka mwanzo, japo kwa namna nyengine pengine kumuanzisha estevao ambaye hakuwepo na timu kwa siku kadhaa kutokana na changamoto za kifamilia labda kisaikolojia hakuwa fresh ndo maana hakuweza kuanza naye kule kwa delap ila bado binafsi naamini kule angeanza mtu mwengine huenda angeoffer kitu kizuri zaidi

All in all hatuko mbali sana na nchi ya ahadi, na kocha naamini sio mbaya japo binafsi naendelea kumuasses na so far so good, zile nafasi za enzo alizopaisha zile kama tatu hivi angekutana nazo caicedo zileee anyways blue is the color wanangu upchelsea👊
 
Tumepoteza hii mechi kwenye matokeo lakini si kwenye kiwango cha uchezaji.
Kwa mbinu hizi, zikianza kuwa za kudumu bila kuyumba yumba, Chelsea inaweza kufika mbali—Top 4 EPL na hata kufanya vizuri kwenye UCL.
Kweli kabisa, kimfumo tumecgeza vizuri sana yule dogo Delap peke yake ndio mzigo uliobaki bahati yake umri wake vado mdogo ila sasa Chelsea haina muda wa kumsubiri mtu kama anapewa nafasi anaishia kufanya mafaulo ya kumpatia kadi tu.
 
Tumepoteza hii mechi kwenye matokeo lakini si kwenye kiwango cha uchezaji.
Kwa mbinu hizi, zikianza kuwa za kudumu bila kuyumba yumba, Chelsea inaweza kufika mbali—Top 4 EPL na hata kufanya vizuri kwenye UCL.
huyu Kocha wenu apewe wachezaji anaowataka....sio Eghbali anayewataka....mtafika pahala ila wakiendeleza ule ufala wao Ile bodi yenu....hakyani hyu rose nyemba naye mtamfukuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom