Watu wanataka tuamini kwamba Carabao Cup ndiyo kipimo cha ukubwa? Kwa kweli, nani duniani anapigania Carabao?
Sisi ni Mabingwa wa Dunia — timu iliyowahi kushinda kila kitu kikubwa barani Ulaya na Duniani halafu leo tuanze kujishusha kupigania kikombe cha mbuzi na Arsenal? Haiingii akilini. Hii mechi ilikuwa tu kama kuwapa somo kwamba viwango vya Chelsea na Arsenal haviko daraja moja, hata kama matokeo ya jana yalikuwa ya mashindano madogo.
Kikubwa ni safari ya EPL na Ulaya, si Carabao. Hapo ndipo timu kubwa hujitambulisha.
View attachment 3538973