Huwezi kutaka matokeo ya ushindi kwa kikosi hiki, hao viungo wote hapo katikati wa kazi gani? Una fahamu fika wewe ndio unahitaji kushinda kwa namna yoyote ile alafu unaenda kujaza viungo wote ulio nao. Mbaya zaidi pembeni una muweka takataka Delap, aisee nilikuwa nacheka pindi hiyo takataka ikipewa mpira.
Huyu kocha ni takataka sana, basi kwa kikosi hicho angalau ule upande ipo ile takataka Delap angeweka winga mmoja (Estevao). Kisha huo upande ndio awe ana utumia sana kwa mashambulizi yaani mipira yote ipelekwe huko. Sasa hiyo takataka Delap ku force ata haijui, ikipewa mpira ni kurudisha nyuma tu.
Toa hiyo takataka aingie Estevao alafu muone nini kitatokea mpaka dakika ya 60.