Chelsea imefungwa goli 25 hadi sasa. Walifungwa chache zaidi yetu ni Arsenal 17 na Man city 21
Ukiwa na viungo wazuri backline itakuwa nzuri automatically. Ukiwa na viungo wanaotoboka, hata uwe na mabeki wazuri wataachia tu. Viungo na mabeki wakiwa wazuri ni bora zaidi.
Asante kwa ushauri wako
Kuhusu viungo Koach ana mpango wa kuwatumia viungo wote ambao ni wazima
- Enzo Fernandez kama namba 10
- Andrfey Santos na Moises Caicedo kama pivot
Waliobaki ni wagonjwa
- Romeo Lavia (Yuko injury na akija ni mechi moja au mbili anarudi kuuguza majeraha)
- Dario Esugo (hatakuwepo kwa zaidi ya mwezi)
Sasa naona umeoan kwa nini wanataka kumuongeza kiungo