lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,482
Hongereni Chelsea kwa kupanda hadi nafasi ya 6, hatua kwa hatua tunapanda pamoja, tukijenga nguvu ya pamoja.
FT:
Napoli 2–3 Chelsea 💙🔥
Ushindi mkubwa, mentality thyabiti, na moyo wa kupambana hadi mwisho.
Safari inaendelea na tunaelekea hatua ya makundi 16 bora kwa ushujaa kabisa.
View attachment 3535817