Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,531
- 18,727
Usipumbazwe na hayo matokeo anapata, pale hamna kocha.
Huyu kocha yeye anaangalia kupata ushindi tu yaani uongozi wetu ungekuwa una akili wangempa beki wa Kati mmoja kisiki tungekuwa mbali sana