Kuna mashabiki humu wakiongozwa na lembumbu huwaambii kitu khs lavia, yani wao n kutetea kila kitu hawataki kukosoa utadhani Wana hisa hapo Chelkenge 😂Naitwa Romeo Lavia nimesajiliwa THE BLUES kuja kula mshahara wa bure. Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam.
View attachment 3534882
Wewe sio shabiki wa Chelsea huna haja ya kupoteza muda wako kuongelea masuala ya ChelseaKuna mashabiki humu wakiongozwa na lembumbu huwaambii kitu khs lavia, yani wao n kutetea kila kitu hawataki kukosoa utadhani Wana hisa hapo Chelkenge 😂
Fofana ni beki mzuri, kocha ndie kaboa kumfanya CCB, hili suala Enzo Marseca alishasema kwamba nyakati zote alizomjaribu Fofana kwenye CCB hakucheza vizuri. Fofana anafaa beki wa pembeni ndipo anacheza vizuriDuniani kuna vituko, eti Fofana ni beki!
Hongereni Chelsea kwa kupanda hadi nafasi ya 6, hatua kwa hatua tunapanda pamoja, tukijenga nguvu ya pamoja.
FT:
Napoli 2–3 Chelsea 💙🔥
Ushindi mkubwa, mentality thyabiti, na moyo wa kupambana hadi mwisho.
Safari inaendelea na tunaelekea hatua ya makundi 16 bora kwa ushujaa kabisa.
View attachment 3535817
Sawa shabiki wa Chelsea mwnyw nembo ya Chelsea usoni kila ukipita unajulikana 😂Wewe sio shabiki wa Chelsea huna haja ya kupoteza muda wako kuongelea masuala ya Chelsea
Huyu kocha yeye anaangalia kupata ushindi tu yaani uongozi wetu ungekuwa una akili wangempa beki wa Kati mmoja kisiki tungekuwa mbali sana
Hivi raha mnapata wapi mkiwa mnapinga tu, mnatengeneza upinzani ndani ya ushabiki. Nakubali kama kuna mambo hayaendi vizuri ukipinga inamake sense. Lakini hata timu ikishinda kocha kabahatisha, akifungwa takataka hajui mpira..Usipumbazwe na hayo matokeo anapata, pale hamna kocha.