Bora nyumbu ashinde, tutashuka nafasi Ila tutaipambania wakati ujao.Kwa mda unaofuata nitawashangilia wadogo zetu Asenyeto wampige Manyule ili tuwe nafasi nzuri
hata nafasi ya 5 EPL itacheza UCL mwaka huu piaBora nyumbu ashinde, tutashuka nafasi Ila tutaipambania wakati ujao.
Goli la Cunha nimejikuta tu nimeshangilia kwa nguvu zote mamaeee ........ man u yu wamenifurahisha leo dah!Bora nyumbu ashinde, tutashuka nafasi Ila tutaipambania wakati ujao.
Nikuulize na mimi kwa nini huelewi hii fikra rahisi hivi?Mkuu kwanini una fikra hizi?
Ila huyu anajua kuondoka na point kiujanja ujanja. Mtoto wa mjini huyoNarudia tena hatuna Kocha hapa.
Mr takataka unatakiwa kusema hakuna kocha kwa sababu zipi??Narudia tena hatuna Kocha hapa.
Huyu jamaa tuliingia cha stendi haki ya mungu. dah!Naitwa Romeo Lavia nimesajiliwa THE BLUES kuja kula mshahara wa bure. Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam.
View attachment 3534882
Bonge la mchezaji, akidhibitiwa tu kama James, tunaye kiungo maridadi kabisa.Naitwa Romeo Lavia nimesajiliwa THE BLUES kuja kula mshahara wa bure. Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam.
View attachment 3534882
Mnatia huruma! Mara kante, mara Douglas Luis... hivi mna shida ya kiungo kweli ? Ama kocha tapeli ? Kule nyuma ni pazia.... backline yote inatakiwa kufanyiwa overhaul... kipa nae paziaChelsea inafikiria kumrudisha Ngolo Kante kwa mkopo kutoka Al-Ittihad
mnasemaje
Chelsea imefungwa goli 25 hadi sasa. Walifungwa chache zaidi yetu ni Arsenal 17 na Man city 21Mnatia huruma! Mara kante, mara Douglas Luis... hivi mna shida ya kiungo kweli ? Ama kocha tapeli ? Kule nyuma ni pazia.... backline yote inatakiwa kufanyiwa overhaul... kipa nae pazia
Lakini priority yenu ni beki kwa sasa mkuu kuliko mid.... hilo kila mtu anaona, hata asiejua mpira ! Enzo as 10, Palmer vp ? Wing ? 7 na 11 Palmer hafanyi vizuri kama namba 10[his natural position]Chelsea imefungwa goli 25 hadi sasa. Walifungwa chache zaidi yetu ni Arsenal 17 na Man city 21
Ukiwa na viungo wazuri backline itakuwa nzuri automatically. Ukiwa na viungo wanaotoboka, hata uwe na mabeki wazuri wataachia tu. Viungo na mabeki wakiwa wazuri ni bora zaidi.
Asante kwa ushauri wako
Kuhusu viungo Koach ana mpango wa kuwatumia viungo wote ambao ni wazima
Waliobaki ni wagonjwa
- Enzo Fernandez kama namba 10
- Andrfey Santos na Moises Caicedo kama pivot
Sasa naona umeoan kwa nini wanataka kumuongeza kiungo
- Romeo Lavia (Yuko injury na akija ni mechi moja au mbili anarudi kuuguza majeraha)
- Dario Esugo (hatakuwepo kwa zaidi ya mwezi)
Huyu na yule mjinga mwingine anaitwa Garagher ni wa kupuuzwa tu hawana lolote.Paul Scholes: “Iwapo Arsenal watashinda ligi, hii itakuwa timu mbovu zaidi kuwahi kushinda ligi.”
View attachment 3535129
Malezi ya Cole Palmer ni complicated kwa msimu huu, tutamkosa mechi nyingi sana kwa sababu ya Groin injury yake ambayo walizembea akacheza mechi nyingi za mwanzoni huku akiwa majeruhi. Kwa kusema hayo Rosenior ataendl;ea kumtumia mara nyingi sana Enzo Fernandez kwenye namba 10Lakini priority yenu ni beki kwa sasa mkuu kuliko mid.... hilo kila mtu anaona, hata asiejua mpira ! Enzo as 10, Palmer vp ? Wing ? 7 na 11 Palmer hafanyi vizuri kama namba 10[his natural position]