Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ushindi wa leo wa 3–1 kwa Chelsea dhidi ya Crystal Palace umeletwa kwenu na SOUTH AMERICA 🌎🔥
  1. Esetvao - Brazil
  2. João Pedro (assist ya Esetvao - Brazil)
  3. Enzo Fernández - Argentina
Brazil+Argentina = 4G/A
 
Kwa mda unaofuata nitawashangilia wadogo zetu Asenyeto wampige Manyule ili tuwe nafasi nzuri
 
Matheus Cunha ni mchezaji mzembe, sawa kabisa na João Pedro — lakini wakipata nafasi karibu na lango, huwa makini kupita maelezo mbele ya goli.

Dakika ya 86: Arsenal 2–3 Man United
 
Bora nyumbu ashinde, tutashuka nafasi Ila tutaipambania wakati ujao.
Goli la Cunha nimejikuta tu nimeshangilia kwa nguvu zote mamaeee ........ man u yu wamenifurahisha leo dah!

Man u sasahivi wanacheza kibingwa, Carick nahisi kuna desa anapewa na kibabu Fargie. sisi tunashinda ila tunacheza kama timu ya legue 1, back pass kibaaaoooo
 
Mkuu kwanini una fikra hizi?
Nikuulize na mimi kwa nini huelewi hii fikra rahisi hivi?
Chelsea inacheza vizuri kwa timu zinazofunguka na inaishiwa mbinu kwa timu zinazokaa nyuma na kujilinda.
Napoli ni timu inayocheza kandanda la kufunguka kama wanavyocheza Chelsea
Jumanne ndio utaelewa hii fikra yangu vizuri zaidi.
 
Chelsea inafikiria kumrudisha Ngolo Kante kwa mkopo kutoka Al-Ittihad
mnasemaje
 
Chelsea inafikiria kumrudisha Ngolo Kante kwa mkopo kutoka Al-Ittihad
mnasemaje
Mnatia huruma! Mara kante, mara Douglas Luis... hivi mna shida ya kiungo kweli ? Ama kocha tapeli ? Kule nyuma ni pazia.... backline yote inatakiwa kufanyiwa overhaul... kipa nae pazia
 
Mnatia huruma! Mara kante, mara Douglas Luis... hivi mna shida ya kiungo kweli ? Ama kocha tapeli ? Kule nyuma ni pazia.... backline yote inatakiwa kufanyiwa overhaul... kipa nae pazia
Chelsea imefungwa goli 25 hadi sasa. Walifungwa chache zaidi yetu ni Arsenal 17 na Man city 21
Ukiwa na viungo wazuri backline itakuwa nzuri automatically. Ukiwa na viungo wanaotoboka, hata uwe na mabeki wazuri wataachia tu. Viungo na mabeki wakiwa wazuri ni bora zaidi.
Asante kwa ushauri wako
Kuhusu viungo Koach ana mpango wa kuwatumia viungo wote ambao ni wazima
  • Enzo Fernandez kama namba 10
  • Andrfey Santos na Moises Caicedo kama pivot
Waliobaki ni wagonjwa
  • Romeo Lavia (Yuko injury na akija ni mechi moja au mbili anarudi kuuguza majeraha)
  • Dario Esugo (hatakuwepo kwa zaidi ya mwezi)
Sasa naona umeoan kwa nini wanataka kumuongeza kiungo
 
Paul Scholes: “Iwapo Arsenal watashinda ligi, hii itakuwa timu mbovu zaidi kuwahi kushinda ligi.”

1769517680816.png
 
Chelsea imefungwa goli 25 hadi sasa. Walifungwa chache zaidi yetu ni Arsenal 17 na Man city 21
Ukiwa na viungo wazuri backline itakuwa nzuri automatically. Ukiwa na viungo wanaotoboka, hata uwe na mabeki wazuri wataachia tu. Viungo na mabeki wakiwa wazuri ni bora zaidi.
Asante kwa ushauri wako
Kuhusu viungo Koach ana mpango wa kuwatumia viungo wote ambao ni wazima
  • Enzo Fernandez kama namba 10
  • Andrfey Santos na Moises Caicedo kama pivot
Waliobaki ni wagonjwa
  • Romeo Lavia (Yuko injury na akija ni mechi moja au mbili anarudi kuuguza majeraha)
  • Dario Esugo (hatakuwepo kwa zaidi ya mwezi)
Sasa naona umeoan kwa nini wanataka kumuongeza kiungo
Lakini priority yenu ni beki kwa sasa mkuu kuliko mid.... hilo kila mtu anaona, hata asiejua mpira ! Enzo as 10, Palmer vp ? Wing ? 7 na 11 Palmer hafanyi vizuri kama namba 10[his natural position]
 
Lakini priority yenu ni beki kwa sasa mkuu kuliko mid.... hilo kila mtu anaona, hata asiejua mpira ! Enzo as 10, Palmer vp ? Wing ? 7 na 11 Palmer hafanyi vizuri kama namba 10[his natural position]
Malezi ya Cole Palmer ni complicated kwa msimu huu, tutamkosa mechi nyingi sana kwa sababu ya Groin injury yake ambayo walizembea akacheza mechi nyingi za mwanzoni huku akiwa majeruhi. Kwa kusema hayo Rosenior ataendl;ea kumtumia mara nyingi sana Enzo Fernandez kwenye namba 10
Hivi karibuni Ronior alisema na waandishi wa habari kuwa anataka kujenga timu chini ya Enzo Fernandez. Nadhani utaelewa anamaana gani. Hata Palmer akiwa mzima anaweza asicheze namba 10 angalau kwa msimu huu
 
John Terry kuhusu Chelsea ya 2004/05
“Ilikuwa kama kuwa na ngazi tatu za ulinzi,” aliyekuwa nahodha wa Chelsea John Terry aliieleza The Athletic kwa tabasamu la kuridhika. “Kama ungekuwa unajenga nyumba, ingekuwa kama kuwa na Claude Makelele kwenye lango la mbele, Ricardo Carvalho na mimi bustanini, na Petr Cech mlangoni. Hutapenya humo, sivyo?”

Terry alikuwa akifurahia sana kukumbuka msimu wa 2004-05, wakati Chelsea waliweka rekodi ya Premier League ambayo huenda ni ngumu zaidi kuvunjwa kuliko nyingine yoyote — kuruhusu mabao 15 tu katika mechi 38 za ligi walipotwaa ubingwa kwa kishindo.

Mwanzoni mwa msimu huu, baada ya wapinzani wa Arsenal kufunga mabao matatu tu katika mechi zao 10 za mwanzo, ilionekana kana kwamba kikosi cha Mikel Arteta kingeweza kutoa changamoto ya kweli kwa rekodi hiyo.

Hata hivyo, Jumapili dhidi ya Manchester United, walifungwa mabao matatu, na kufikisha jumla ya mabao 17 waliyofungwa — jambo lililowaweka mbali na rekodi ya kipekee ya Chelsea ya mabao 15 pekee.

1769530916412.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom