Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea hawakucheza vizuri mechi zote za Rosenior ila wanatoka na points
Baada ya Palace kupungua kwa red card Chelsea ndio ilizidiwa kabisa. What wrong with Chelsea?
FT
Chelsea 3-1
Chelsea inakuwa nafasi ya nne ikiwa Man United hatashinda leo dhidi ya Arsenal
1769357093893.png
 
Ushindi wa leo wa 3–1 kwa Chelsea dhidi ya Crystal Palace umeletwa kwenu na SOUTH AMERICA 🌎🔥
  1. Esetvao - Brazil
  2. João Pedro (assist ya Esetvao - Brazil)
  3. Enzo Fernández - Argentina
Brazil+Argentina = 4G/A
 
Kwa mda unaofuata nitawashangilia wadogo zetu Asenyeto wampige Manyule ili tuwe nafasi nzuri
 
Matheus Cunha ni mchezaji mzembe, sawa kabisa na João Pedro — lakini wakipata nafasi karibu na lango, huwa makini kupita maelezo mbele ya goli.

Dakika ya 86: Arsenal 2–3 Man United
 
Bora nyumbu ashinde, tutashuka nafasi Ila tutaipambania wakati ujao.
Goli la Cunha nimejikuta tu nimeshangilia kwa nguvu zote mamaeee ........ man u yu wamenifurahisha leo dah!

Man u sasahivi wanacheza kibingwa, Carick nahisi kuna desa anapewa na kibabu Fargie. sisi tunashinda ila tunacheza kama timu ya legue 1, back pass kibaaaoooo
 
Mkuu kwanini una fikra hizi?
Nikuulize na mimi kwa nini huelewi hii fikra rahisi hivi?
Chelsea inacheza vizuri kwa timu zinazofunguka na inaishiwa mbinu kwa timu zinazokaa nyuma na kujilinda.
Napoli ni timu inayocheza kandanda la kufunguka kama wanavyocheza Chelsea
Jumanne ndio utaelewa hii fikra yangu vizuri zaidi.
 
Chelsea inafikiria kumrudisha Ngolo Kante kwa mkopo kutoka Al-Ittihad
mnasemaje
 
Chelsea inafikiria kumrudisha Ngolo Kante kwa mkopo kutoka Al-Ittihad
mnasemaje
Mnatia huruma! Mara kante, mara Douglas Luis... hivi mna shida ya kiungo kweli ? Ama kocha tapeli ? Kule nyuma ni pazia.... backline yote inatakiwa kufanyiwa overhaul... kipa nae pazia
 
Mnatia huruma! Mara kante, mara Douglas Luis... hivi mna shida ya kiungo kweli ? Ama kocha tapeli ? Kule nyuma ni pazia.... backline yote inatakiwa kufanyiwa overhaul... kipa nae pazia
Chelsea imefungwa goli 25 hadi sasa. Walifungwa chache zaidi yetu ni Arsenal 17 na Man city 21
Ukiwa na viungo wazuri backline itakuwa nzuri automatically. Ukiwa na viungo wanaotoboka, hata uwe na mabeki wazuri wataachia tu. Viungo na mabeki wakiwa wazuri ni bora zaidi.
Asante kwa ushauri wako
Kuhusu viungo Koach ana mpango wa kuwatumia viungo wote ambao ni wazima
  • Enzo Fernandez kama namba 10
  • Andrfey Santos na Moises Caicedo kama pivot
Waliobaki ni wagonjwa
  • Romeo Lavia (Yuko injury na akija ni mechi moja au mbili anarudi kuuguza majeraha)
  • Dario Esugo (hatakuwepo kwa zaidi ya mwezi)
Sasa naona umeoan kwa nini wanataka kumuongeza kiungo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom