The Anfield
Senior Member
- Dec 15, 2025
- 168
- 174
Duuh nyie mtakuwa arsenal mahasimu wa Jiji moja mnamuombea mabaya kocha mpya hamtaki Chels wainuke walete ushindan baina club mbalimbali England na kuleta UEFA....Mlichopata jana ni ile new manager bounce. It explains ni kivipi mliafford kupata magoli mawili na mkaamini yule dogo ni mzuri mkampa namba game dhidi ya Brentford.
But we all know y'all are shit. Lampard bado begi la nguo kaliweka standby.
Eti "Lampard aandae mabegi" na Katkati wiki hii Chelsea ana gemu na nani UEFA?? Kocha aanze kupimwa hapo pia, Tunajua arsenal yupo na Intermilan, wknd na Man utd