Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu jamaa akiwa fit, Chelsea una uhakika wa kupata clean sheet.
View attachment 3515191

Mabeki wa kati ambao tunaowahitaji na tusiowahitaji

Tunawahitaji lakini sio wa kuwategemea sana
🟨 Wesley Fofana - Ni mzuri akiwa fiti, lakini upatikanaji na uimara wa muda mrefu inatia wasiwasi.
🟨 Trevoh Chalobah — Ni beki mzuri, lakini mtindo wake hauendani na mradi wa sasa.
Wanaweza kuondoka
Ndiyo
 
Wakati umefika wa kusajili malapulapu na mazagazaga kujaza kikosi
Wakisajili wazuri mbona hamsemi?
Enzo Fernandez mmemuita takataka sasa anatakiwa na timu kubwa na atanunuliwa kwa bei kubwa
PSG Wameshaweka Euro 150M
Kuna sehemu jana Chelsea wamewabip Real Madrid kuwa Enzo yuko sokoni
Aondoke ndio mjue umuhimu wake.
Bei Chelsea wanataka ni
£180m/€207m/$241.2m
1768813729240.png
 
Dhana ya uendelevu au maono ya wamiliki naitilia mashaka kutokana na kinachoendelea. Ukitaka kujenga timu ya ushindani mbeleni ni lazima kuna vitu usacrifise kufikia hayo malengo.

Wamiliki wameshindwa kuacha kocha awe huru na timu yake kiasi wanataka wawe wanaingia mambo mengi ya wachezaji. Maana yake wakiona kocha anafanya jambo ambalo litaenda kinyume na biashara yao iwe rahisi ku interfere kulinda msingi wao.

Kwa hapo tu hiyo project waliyonayo siioni ikitekelezeka. Kwasababu tutakua tunaenda mbele na kurudi nyuma.
Embu naomba unisaidie kitu, ni kidhibitisho gani ambacho kinaonyesha wamiliki wanamuingilia kocha?
 
Mlichopata jana ni ile new manager bounce. It explains ni kivipi mliafford kupata magoli mawili na mkaamini yule dogo ni mzuri mkampa namba game dhidi ya Brentford.

But we all know y'all are shit. Lampard bado begi la nguo kaliweka standby.
Duuh nyie mtakuwa arsenal mahasimu wa Jiji moja mnamuombea mabaya kocha mpya hamtaki Chels wainuke walete ushindan baina club mbalimbali England na kuleta UEFA....
Eti "Lampard aandae mabegi" na Katkati wiki hii Chelsea ana gemu na nani UEFA?? Kocha aanze kupimwa hapo pia, Tunajua arsenal yupo na Intermilan, wknd na Man utd
 
Man City anatandikwa kama Norwich City
ndani ya dakika 2 goli 2 na bado wako vulnerable sana
 
Mashabiki wa Chelsea ni toxic sana hata hapa Jamiiforums.
Chelsea ikicheza vizuri wanapotea na kukaa kimya huku wakisubiri timu au kocha aboronge ndio wajitokeze kama wapinzani kuja kuwasodoa wamiliki, bodi, kocha na wachezaji. Hii sio maana ya support kabisa. Kukiwa na matatizo makubwa unaweza kukjosoa lakini most of the time unatakiwa kutoa support kwa timu. Ndio maana ya supporters

Supporters are not destroyers
 
Chelsea Starting XI vs Pafos FC
4-2-3-1
------Delap--------

Garnacho --- Enzo -- Neto

--Caicedo ---James (C)--

Hato--Badiashile--Fofana--Gusto

----------Jorgensen---------
Subs:
  1. Robert Sánchez
  2. Josh Acheampong
  3. Trevoh Chalobah
  4. Marc Cucurella
  5. Landon Emenalo
  6. Andrey Santos
  7. Reggie Walsh
  8. Tyriq George
  9. Estevão Willian
  10. Jamie Gittens
  11. João Pedro
  12. Marc Guiu
 
Mabeki wa kati ambao tunaowahitaji na tusiowahitaji
✅Levi Colwill — Beki wa kisasa, anacheza mpira vizuri, mwepesi, anafaa kabisa mustakabali wa Chelsea.
✅Mamadou Sarr — Kipaji kikubwa, mguu wa kushoto, beki mkali na mwenye uwiano mzuri.
✅Jérémy Jackuet — Kiwango cha juu cha uwezo, mwepesi, mwenye nguvu na anasogeza timu mbele.
🔵 Aaron Aneslimno — Bado hajakomaa kwa majukumu ya kikosi cha kwanza kwenye ligi kama ya EPL.
Tunawahitaji lakini sio wa kuwategemea sana
🟨 Wesley Fofana - Ni mzuri akiwa fiti, lakini upatikanaji na uimara wa muda mrefu inatia wasiwasi.
🟨 Trevoh Chalobah — Ni beki mzuri, lakini mtindo wake hauendani na mradi wa sasa.
Wanaweza kuondoka
🔴 Tosin Adarabioyo — Makosa mengi, hawezi kumudu mchezo chini ya presha. Hawezi kumudu 1v1 na ni mzito kurudi kulinda goli akishotoka nje ya eneo la hatari
🔴 Benoît Badiashile — Mzito kugeuka na kufanya tackling, na kwenye high line anateseka sana. anapoteza mipira sana na kuiweka Chelsea kwenye hatari ya kufungwa magoli ya hovyo
Anahitaji Mkopo Zaidi
Nmecheka hapo kwa chalobah 😂

N Sawa na demu mbovu Ila kila siku wana wanamgombania.

Mashabiki bhana 😂
 
Chelsea kivivu vivu tumeweza kuingia top 8
FT
Chelsea 1 - 0 Pafos
Mechi na Napoli jumanne ijayo ni a must win match

1769032694829.png
 
Chelsea kivivu vivu tumeweza kuingia top 8
FT
Chelsea 1 - 0 Pafos
Mechi na Napoli jumanne ijayo ni a must win match

View attachment 3532784

Itakuwa rahisi zaidi kuifunga Napoli kwenye Uwanja wa Stadio Armando Maradona kuliko kuifunga Pafos hapa Stamford Bridge. Chelsea bado inahangaika sana dhidi ya timu zinazokaa nyuma na kujilinda. Natumai Napoli watacheza wazi, ili wachezaji wetu wapate nafasi ya kujenga mashambulizi. Mechi ya lazima kushinda ili kuepuka playoff.
 
Mashabiki wa Chelsea ni kama mafarisayo wale wa kinazi sio hawa wayahudi wa sasa hivi
1) Yohana mbatizaji alikuja hali wala hanywi wakamuita Ana mapepo
2) Akaja Yesu Kristo anakula na kunywa wakamuita Mlafi na mlevi
Hata aje kocha mzuri atakosolewa tu na kupachikwa majina mbalimbali
 
Mmechanganyikiwa, huyo Douglas Luis wa kaz gani sasa ? Hapo akina Andrey Santos hawachezi,

Huyu Luis ni injury prone, hawez kukupa mechi 10 consecutively, Luis tangia ametoka Villa ameenda Juve sio yule tena, anastruggle sana...... hap Forest tu nafasi hapati, nyie mmejaa mazima sio.. Basi sawa ! Bwana Miwani anapambana kulinda kibarua
 
Mmechanganyikiwa, huyo Douglas Luis wa kaz gani sasa ? Hapo akina Andrey Santos hawachezi,

Huyu Luis ni injury prone, hawez kukupa mechi 10 consecutively, Luis tangia ametoka Villa ameenda Juve sio yule tena, anastruggle sana...... hap Forest tu nafasi hapati, nyie mmejaa mazima sio.. Basi sawa ! Bwana Miwani anapambana kulinda kibarua

Kweli kabisa, usajili wa Douglas Luiz kwenda Chelsea hauhitajiki.
Tayari tunao hawa sita, na wawili tu ndio wanatakiwa kwenye starting XI:
Enzo na Caicedo, Andrey Santos, Dario Esugo ni ngumu kucheza halafu unaongeza tena mzigo
  1. Enzo Fernández
  2. Moises Caicedo
  3. Andrey Santos
  4. Dario Esugo
  5. Romeo Lavia
  6. Reece James
Tunahitaji kina kiasi gani kwenye kiungo kabla mambo hayajageuka vurugu kabisa.

1769191450130.png
 
Kweli kabisa, usajili wa Douglas Luiz kwenda Chelsea hauhitajiki.
Tayari tunao hawa sita, na wawili tu ndio wanatakiwa kwenye starting XI:
Enzo na Caicedo, Andrey Santos, Dario Esugo ni ngumu kucheza halafu unaongeza tena mzigo
  1. Enzo Fernández
  2. Moises Caicedo
  3. Andrey Santos
  4. Dario Esugo
  5. Romeo Lavia
  6. Reece James
Tunahitaji kina kiasi gani kwenye kiungo kabla mambo hayajageuka vurugu kabisa.

View attachment 3533452
Ndo maboss wenu wamejaa mazima, mazungumzo yako final stage...tuseme ni pendekezo la New coach
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom