Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,361
- 77,178
Kuna mmoja hapo hata wewe jina lake humjui ila unaongozwa na hisia sasa hivi.
Kuna mmoja hapo hata wewe jina lake humjui ila unaongozwa na hisia sasa hivi.
Huyu jamaa akiwa fit, Chelsea una uhakika wa kupata clean sheet.
View attachment 3515191
NdiyoMabeki wa kati ambao tunaowahitaji na tusiowahitaji
Tunawahitaji lakini sio wa kuwategemea sana
🟨 Wesley Fofana - Ni mzuri akiwa fiti, lakini upatikanaji na uimara wa muda mrefu inatia wasiwasi.
🟨 Trevoh Chalobah — Ni beki mzuri, lakini mtindo wake hauendani na mradi wa sasa.
Wanaweza kuondoka
Wakisajili wazuri mbona hamsemi?Wakati umefika wa kusajili malapulapu na mazagazaga kujaza kikosi
Embu naomba unisaidie kitu, ni kidhibitisho gani ambacho kinaonyesha wamiliki wanamuingilia kocha?Dhana ya uendelevu au maono ya wamiliki naitilia mashaka kutokana na kinachoendelea. Ukitaka kujenga timu ya ushindani mbeleni ni lazima kuna vitu usacrifise kufikia hayo malengo.
Wamiliki wameshindwa kuacha kocha awe huru na timu yake kiasi wanataka wawe wanaingia mambo mengi ya wachezaji. Maana yake wakiona kocha anafanya jambo ambalo litaenda kinyume na biashara yao iwe rahisi ku interfere kulinda msingi wao.
Kwa hapo tu hiyo project waliyonayo siioni ikitekelezeka. Kwasababu tutakua tunaenda mbele na kurudi nyuma.
Duuh nyie mtakuwa arsenal mahasimu wa Jiji moja mnamuombea mabaya kocha mpya hamtaki Chels wainuke walete ushindan baina club mbalimbali England na kuleta UEFA....Mlichopata jana ni ile new manager bounce. It explains ni kivipi mliafford kupata magoli mawili na mkaamini yule dogo ni mzuri mkampa namba game dhidi ya Brentford.
But we all know y'all are shit. Lampard bado begi la nguo kaliweka standby.
Man City anatandikwa kama Norwich City
ndani ya dakika 2 goli 2 na bado wako vulnerable sana
Nmecheka hapo kwa chalobah 😂Mabeki wa kati ambao tunaowahitaji na tusiowahitaji
✅Levi Colwill — Beki wa kisasa, anacheza mpira vizuri, mwepesi, anafaa kabisa mustakabali wa Chelsea.
✅Mamadou Sarr — Kipaji kikubwa, mguu wa kushoto, beki mkali na mwenye uwiano mzuri.
✅Jérémy Jackuet — Kiwango cha juu cha uwezo, mwepesi, mwenye nguvu na anasogeza timu mbele.
🔵 Aaron Aneslimno — Bado hajakomaa kwa majukumu ya kikosi cha kwanza kwenye ligi kama ya EPL.
Tunawahitaji lakini sio wa kuwategemea sana
🟨 Wesley Fofana - Ni mzuri akiwa fiti, lakini upatikanaji na uimara wa muda mrefu inatia wasiwasi.
🟨 Trevoh Chalobah — Ni beki mzuri, lakini mtindo wake hauendani na mradi wa sasa.
Wanaweza kuondoka
🔴 Tosin Adarabioyo — Makosa mengi, hawezi kumudu mchezo chini ya presha. Hawezi kumudu 1v1 na ni mzito kurudi kulinda goli akishotoka nje ya eneo la hatari
🔴 Benoît Badiashile — Mzito kugeuka na kufanya tackling, na kwenye high line anateseka sana. anapoteza mipira sana na kuiweka Chelsea kwenye hatari ya kufungwa magoli ya hovyo
Anahitaji Mkopo Zaidi
Chelsea kivivu vivu tumeweza kuingia top 8
FT
Chelsea 1 - 0 Pafos
Mechi na Napoli jumanne ijayo ni a must win match
View attachment 3532784
Watagawana nusu kwa nusu😂🤣View attachment 3533082
Hivi clean sheet ya jana ni ya golikipa yupi?
Mmechanganyikiwa, huyo Douglas Luis wa kaz gani sasa ? Hapo akina Andrey Santos hawachezi,
Huyu Luis ni injury prone, hawez kukupa mechi 10 consecutively, Luis tangia ametoka Villa ameenda Juve sio yule tena, anastruggle sana...... hap Forest tu nafasi hapati, nyie mmejaa mazima sio.. Basi sawa ! Bwana Miwani anapambana kulinda kibarua
Ndo maboss wenu wamejaa mazima, mazungumzo yako final stage...tuseme ni pendekezo la New coachKweli kabisa, usajili wa Douglas Luiz kwenda Chelsea hauhitajiki.
Tayari tunao hawa sita, na wawili tu ndio wanatakiwa kwenye starting XI:
Enzo na Caicedo, Andrey Santos, Dario Esugo ni ngumu kucheza halafu unaongeza tena mzigo
Tunahitaji kina kiasi gani kwenye kiungo kabla mambo hayajageuka vurugu kabisa.
- Enzo Fernández
- Moises Caicedo
- Andrey Santos
- Dario Esugo
- Romeo Lavia
- Reece James
View attachment 3533452