Ni kweli PSG na Real Madrid wanamtaka Enzo Fernández. Nasikia PSG wako tayari kutoa hadi €150 milioni. Sijasikia bado kama wamiliki wa Chelsea wameweka bei au wanataka kiasi gani.Kuna tetesi PSG wanamtaka Enzo Fernandez mwisho wa msimu.
Kama mtakumbuka juzikati nilisema kitu kuhusiana na biashara wamiliki wa club. Hapa PSG anaenda kupigwa mpunga mrefu sana na kama itashindikana kuuzwa, Enzo ataenda kuwa mfia timu kwa sababu ana mkataba mpaka 2032.
Tunaleta mapenzi kwenye biashara za watu
Mbn pesa nyingi sana!!!?,kwa mnaomjua huyu dogo uwezo wake vipi
Dhana ya uendelevu au maono ya wamiliki naitilia mashaka kutokana na kinachoendelea. Ukitaka kujenga timu ya ushindani mbeleni ni lazima kuna vitu usacrifise kufikia hayo malengo.Wamiliki wanataka kujenga timu yenye ushindani wa kubeba makombe makubwa kwa miaka mingi, huku wakihakikisha mfumo wa uendeshaji unakuwa endelevu. Wale waliowahi kusoma au kufanya kazi kwenye miradi ya maendeleo wanaelewa vizuri dhana ya uendelevu.
Hiyo ni bei ya clabu ya Rennes, Ofa ya sasa ya Chelsea kwa Jérémy Jacquet iko chini ya €65 milioni ambayo Rennes wanaitaka, lakini kiasi halisi bado hakijathibitishwa hadharani. Mazungumzo yanaendelea, na Chelsea tayari wamewatuma wawakilishi kwenda Ufaransa kusukuma dili hilo liendelee.Mbn
Mbn pesa nyingi sana!!!?,kwa mnaomjua huyu dogo uwezo wake vipi
Ndg hii model klabu nyingi zilziofanikiwa ndizo zinafuataDhana ya uendelevu au maono ya wamiliki naitilia mashaka kutokana na kinachoendelea. Ukitaka kujenga timu ya ushindani mbeleni ni lazima kuna vitu usacrifise kufikia hayo malengo.
Wamiliki wameshindwa kuacha kocha awe huru na timu yake kiasi wanataka wawe wanaingia mambo mengi ya wachezaji. Maana yake wakiona kocha anafanya jambo ambalo litaenda kinyume na biashara yao iwe rahisi ku interfere kulinda msingi wao.
Kwa hapo tu hiyo project waliyonayo siioni ikitekelezeka. Kwasababu tutakua tunaenda mbele na kurudi nyuma.
SawaHiyo ni bei ya clabu ya Rennes, Ofa ya sasa ya Chelsea kwa Jérémy Jacquet iko chini ya €65 milioni ambayo Rennes wanaitaka, lakini kiasi halisi bado hakijathibitishwa hadharani. Mazungumzo yanaendelea, na Chelsea tayari wamewatuma wawakilishi kwenda Ufaransa kusukuma dili hilo liendelee.
Hongereni Arsenal, enedleeni kumng'ang'ania huyo mganga wenuEverton wana mpangoi wa kumpa Arsenal Ubingwa
Too bad
Master Mendy mtaalamu wa Hizi kaziPanenka ni kisusio cha Mendy — laiti Brahim Díaz angejua, angechagua staili nyingine kabisa ya kupiga penalti.
View attachment 3531671
Kuna mmoja hapo hata wewe jina lake humjui ila unaongozwa na hisia sasa hivi.
Huyu jamaa akiwa fit, Chelsea una uhakika wa kupata clean sheet.
View attachment 3515191
NdiyoMabeki wa kati ambao tunaowahitaji na tusiowahitaji
Tunawahitaji lakini sio wa kuwategemea sana
🟨 Wesley Fofana - Ni mzuri akiwa fiti, lakini upatikanaji na uimara wa muda mrefu inatia wasiwasi.
🟨 Trevoh Chalobah — Ni beki mzuri, lakini mtindo wake hauendani na mradi wa sasa.
Wanaweza kuondoka
Wakisajili wazuri mbona hamsemi?Wakati umefika wa kusajili malapulapu na mazagazaga kujaza kikosi
Embu naomba unisaidie kitu, ni kidhibitisho gani ambacho kinaonyesha wamiliki wanamuingilia kocha?Dhana ya uendelevu au maono ya wamiliki naitilia mashaka kutokana na kinachoendelea. Ukitaka kujenga timu ya ushindani mbeleni ni lazima kuna vitu usacrifise kufikia hayo malengo.
Wamiliki wameshindwa kuacha kocha awe huru na timu yake kiasi wanataka wawe wanaingia mambo mengi ya wachezaji. Maana yake wakiona kocha anafanya jambo ambalo litaenda kinyume na biashara yao iwe rahisi ku interfere kulinda msingi wao.
Kwa hapo tu hiyo project waliyonayo siioni ikitekelezeka. Kwasababu tutakua tunaenda mbele na kurudi nyuma.