The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 1,136
- 1,382
Mzee wa kuhakiki wageni Katavi kumbe na wewe msharii enh??Hongera kumbe na ww unajua kiingereza,,,,,,,,,,,,,same final.
Last edited by a moderator:
Mzee wa kuhakiki wageni Katavi kumbe na wewe msharii enh??Hongera kumbe na ww unajua kiingereza,,,,,,,,,,,,,same final.
Mkuu kweli mpira dk 90,sikuamini macho yangu.
iam happy mwenye ule wimbo wa phareel aniwekee hapa iam haaaaaaaaaaaaaaappppppppppppppppppppyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
I have been speaking here a lot! And I said PSG must die at Stamford Bridge! And that is what happened today!
Km tungekufa Leo sasaivi Ktk hii thread mngekua mmejaa humu kutushambulia Lkn wote mmekula kona!
KTBFFH
haya chelsea kapita. naona harufu ya timu nyingine ya england kushinda kesho.
wabishi tunasonga kibishi....
Hizi mechi ngumu ndo zinatupa mizuka....
...ktbffh....