Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,327
Yani ata Mimi tian coz Nimekua nasema sn humu kila Siku lkn Watu wabishi!
Just see! We've done it without Hazard!
Teh Teh Teh Teh
Tena usiseme hivyo... you never know Hazard angaweza kuharibu coz unajua yule mjerumani ni ngangali na hii gemu ndo saizi yake.
Hongereni sana ndugu zangu...mmeiwakilisha EPL coz huu mwaka ulionekana mgumu sana kwa England.
Last edited by a moderator: