Mnatoka leo
Mpira wa Chelsea hauna mvuto..
Maskini jirani naona dalili zote za kupanda pipa zinaonekana
Chelsea 2 PSG 0
Chelsea 2 PSG 0
Tunaweza kukosa EPL lakini tukikomaa twaweza twaa hii kitu UCL na timu ya kujikomgoja
Teh Teh Teh Teh
Jamani raha Jamani raha
Chelsea 2 PSG 0
Jamani mko wapi mliotubeza?
Mmmh Chelsea wako vizuri nawakubali sana hawa jamaa japo sio mshabiki wao,wapo serously mno hasa ktk kutafuta point za muhimu,natamani team za kibongo zingetamani kuwa na munkari kama huo...Big Up CFC.