Atamiss mechi na Manchester cityNarudia tena endeleeni kumuendekeza Caicedo
Hakuna mchezaji mule hamuwezi kushinda taji lolote kwa kumtegemea huyo garasa
Mna timu bora sana m waka huu. msiposhinda ligi au UEFA mtuambie hapa tuwafanye nini?Katika mechi 19 United kashinda mechi 8, kasuluhu 6 kapoteza 5. Kafunga magoli 33.
Na tunaisema United ni mbovu.
Nyinyi wapuuzi baada ya kutumia Bilioni 2 katika mechi 19 mmeshinda 8, mmesuluhu 6 mmepoteza 5. Mmefunga magoli 32.
Kenge kabisa
Mzee timu bora ya Arsenal kwangu ni 22/23 na 23/24 baada ya hapo naona tunapambana kama timu zingine zinavyotakiwa kupambana.Mna timu bora sana m waka huu. msiposhinda ligi au UEFA mtuambie hapa tuwafanye nini?
Anajiliwaza, mueleweHuyo Arsenal mwenyewe ulimfunga lini, mbona sikumbuki
Chelsea tatizo lao ni kocha tu wanatakiwa wamfukuze kocha, Bora wamlete Fabriga.Hii team kwa sasa shida ni wamiliki na wale sporting director huwez invest 1.5BN halaf useme unajenga team now ishavuka misim 4 na bado hatuonekani kama tuko tayar kugombania hata ubingwa hiyo top 4 yenyewe tunaitafuta kwa mbinde
Kumtoa jackson na kumleta Delap ni kama tumepiga hatua kumi nyuma tena
Kwani shida nini?? Mmempiga Arsenal goal 1, Bournemouth mmempiga goli 2. Mnataka Hadi mshindaje??Chelsea tatizo lao ni kocha tu wanatakiwa wamfukuze kocha, Bora wamlete Fabriga.
Et maamuzi kama ya Gittens😂Tunayo mechi 20 bado, safari ni ndefu bado, bingwa pekee na mpinzani wake wa karibu ndio watakuwa na pumzi ya kuizidi Chelsea hao wengine watajichokea njiani. Wa kumuombea hapa ni Maresca tu maana naona anafanya maamuzi kama ya Gittens