Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wasaidie ndgu zenu wa London,Arsenal Kwa kumfunga Man city Januari4, ingawa mna record mbaya sana Kwa man city ya guadiola, mna mechi zaidi 15 hamjafunga since fainali UEFA 2021 mkiwa na Kocha T.T mkijitahidi sana draw sijui ya 1-1,4-4 nk...
Japo nae Arsenal wiki ijayo ana kibarua kigumu Tena Kwa Aston Villa inabidi ashinde asisubiri tu Man city ateleze. So "the ball is in your court" mfungwe muendelee kutoka nje top4/5 ya Uefa na Mbio za Ubingwa zifutike Rasmi. Tusubiri tuone.
 
Chelsea mna tatizo moja tu....hamtaki kujenga timu kwa akili na umakini ila mna mihemko....timu Kila baada ya siku 2 inasajili....Tena Bora ilenge sehemu muhimu....wanazoazoa tu....sasahivi sioni ubora wa Gittens...Garnacho mmepigwa mchana kweupe...yule Estevao nn kimemkuta...yupoyupo tu....shida yenu nyny ni mabeki kule nyuma....Kila siku tunawaambia....huwezi shinda Kila gemu goli 3...Kuna gemu utahitqji goli moja na kushikilia bomba mwanzo mwisho....hiko nyny hamkiwezi.....fanyeni yte mapimbi nyny ila wiki ijayo mkakaze makalio mtoe hata draw na Man city
 
Screenshot_20251228-101322_Facebook.jpg
 
Chelsea mna tatizo moja tu....hamtaki kujenga timu kwa akili na umakini ila mna mihemko....timu Kila baada ya siku 2 inasajili....Tena Bora ilenge sehemu muhimu....wanazoazoa tu....sasahivi sioni ubora wa Gittens...Garnacho mmepigwa mchana kweupe...yule Estevao nn kimemkuta...yupoyupo tu....shida yenu nyny ni mabeki kule nyuma....Kila siku tunawaambia....huwezi shinda Kila gemu goli 3...Kuna gemu utahitqji goli moja na kushikilia bomba mwanzo mwisho....hiko nyny hamkiwezi.....fanyeni yte mapimbi nyny ila wiki ijayo mkakaze makalio mtoe hata draw na Man city
Kuna winga pale Arsenal anaemkaribia Estevao??
 
Chelsea wasaidie ndgu zenu wa London,Arsenal Kwa kumfunga Man city Januari4, ingawa mna record mbaya sana Kwa man city ya guadiola, mna mechi zaidi 15 hamjafunga since fainali UEFA 2021 mkiwa na Kocha T.T mkijitahidi sana draw sijui ya 1-1,4-4 nk...
Japo nae Arsenal wiki ijayo ana kibarua kigumu Tena Kwa Aston Villa inabidi ashinde asisubiri tu Man city ateleze. So "the ball is in your court" mfungwe muendelee kutoka nje top4/5 ya Uefa na Mbio za Ubingwa zifutike Rasmi. Tusubiri tuone.
Sisi hatuna uwezo wa kumfunga City na hata kama tulikua na uwezo huo tupo bega kwa bega kuhakikisha tunafungwa na City. Sisi furaha yetu ni kumfunga Arsenal tu.
 
Mjitahidi mechi ijayo mote hata draw na city ila msidondoshe alama zote tatu.
Sisi Arsenal tutakuwa nyuma yenu siku.Kila la heri
 
Mkuu tafuta juisi unywe🤠🤠...kina Saka na Madueke ni mbali sana huko....tukimchezesha Nwaneri tu kule Winger anampika hyo kilaza wenu vzuri tu....siku Ile kakutana na kimeo Calafiori kaishia kukimbiakimbia tu.....tafuteni mabeki wa kueleweka ndugu zetu...huu ushauri tunawapa kwa moyo safi sana....
Kuna winga pale Arsenal anaemkaribia Estevao??
 
Sisi hatuna uwezo wa kumfunga City na hata kama tulikua na uwezo huo tupo bega kwa bega kuhakikisha tunafungwa na City. Sisi furaha yetu ni kumfunga Arsenal tu.
Hapo kene kumfunga Arsenal sasa🤣🤣...sijui mara ya mwisho lini....yaani Kila siku mnajaribu kwlikwli ila mnaishia kupasuka tu....jengeni timu kwanza kwa Miaka kama 10 ndo mfikirie kutufunga mkuu
 
Yani sisi tukikutana tu na timu yoyote hata nje ya top four iliyo katika ubora wake au imechangamka kidogo tu sahau kushinda
Kocha amekuwa mpuuzi sana, ile mechi ya jana tuliwazidi Aston Villa kila idara. Anatolewa Cucu na Palmer na Garnacho walioipa uhai timu un aleta Gittens na Delap unamuacha uwanjani Badiashile. Kocha anajikoroga sana kama mwaka jana hadi apigwe za uso ndipo akili irudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom