Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,163
- 104,756
Yah but kama vile this time imekuwa too painful kwake.Araujo hakuwahi kuwa mchezaji mzuri hata kabla hatukuwafunga
Yah but kama vile this time imekuwa too painful kwake.Araujo hakuwahi kuwa mchezaji mzuri hata kabla hatukuwafunga
🤣🤣🤣Timu imejaa matakataka ikiongozwa na kubwa jinga Maresca
🤣🤣Siangalia mpira ila hizi sub Za mabeki sizielewi aisee
Kwa hiyo tutakuwa ni wa kupoteza tu kwa timu za namna hiyo?, hivi Atalanta kweli wa kuisumbua Chelsea hivi, kocha unaingia na rundo la mabeki kwa timu kama Atalanta!!!?,huyu kocha hatufikishi popote aisee hata kombe la dunia vilabu upepo tu ulikuwa upande wakeDifensi ikiwa na Badiashile na Tosin, unategemea nini?
Chelsea walikuwa wabovu hata baada ya kutangulia kufunga
Naona Maresca amesalimu amri kwa timu zenye kutumia Back 5
Hii kauli niliwahi kuisema tulivyofika fainali kombe la dunia, Raia humu Wakaishia kunipa maneno makali 😂hata kombe la dunia vilabu upepo tu ulikuwa upande wake
Maresca kocha wa kawaida sana.
Na hata ya PSG haikuwa ngumu fainaliHii kauli niliwahi kuisema tulivyofika fainali kombe la dunia, Raia humu Wakaishia kunipa maneno makali 😂
Ila huu ndio ukweli, kwenye kombe la dunia hatukupita kwenye njia ngumu.
Sometimes mpira n bahati, na sisi tulipita na bahati.
Kama niliwahi kukupinga nisamehe sanaHii kauli niliwahi kuisema tulivyofika fainali kombe la dunia, Raia humu Wakaishia kunipa maneno makali 😂
Ila huu ndio ukweli, kwenye kombe la dunia hatukupita kwenye njia ngumu.
Sometimes mpira n bahati, na sisi tulipita na bahati.
We jamaa bana kwa kutetea ujinga wa wazi unastahili tuzo,Na hata ya PSG haikuwa ngumu fainali
Mimi naona timu yeyote ikifungwa fungwa kidogo tu, mashabiki wanapoteana na akili inahama na kusahau mema yote ya nchi. Ni kawaida ya mwanadamu
Chelsea shida zake za msingi zinajulikana
Cole Palmer ni achitech wa mashambulizi hawa wengine wanaigiza tu
Difensi yetu is still "UNDER CONSTRUCTION"
Winga wetu is still "UNDER DEVELOPMENT"
Striker wetu bado wako "UNDER TEST"
Muwe na subiri na aminini PROCESS bado hatujafika nchi ya ahadi, Confernece league na FIFA WC ilikuwa tu ni asali na maziwa njiani
Nilimwambia lembu kuwa team yetu haina sharpness kwenye kushambulia tupo slow sana ndio maana tunashindwa kumudu hizi team za kawaida tunashida kwenye ubunifu ndio maana sometime forward wetu Kama Jaoa Pedro anaonekana kawaida kwa sababu chances hazitenezwi za kutosha inamfanya muda mwingine ashuke chini achukue mipira, Enzo ni mpambanaji lakini hakuna anachooffer mbele uongozi ulizingua kutomsajili Xavi Simons yule jamaa angetusaidia wameenda kumsajili unproven player focundo ambaye hafiti aina ya uchezaji unatakiwa Kama no 10.Mpira ule wa msimu uliopita mpaka tukashika nafasi ya 2 ndio mzuri si huu wa Sasa ambayo tunapata shida kutengeneza nafasi kwa sababu tunawapa muda mpinzani kujipanga kwenye kujilindaWe jamaa bana kwa kutetea ujinga wa wazi unastahili tuzo,
Kocha yupo na timu zaidi ya miezi 18 bado anafanya experiment zisizo na muendelezo alafu unaamini timu itapata cohesion kwa kubadilisha game approach kila mechi tena kwa kuvuruga mpaka position za wachezaji
Mfano jana timu ipo 1-1 unamuingiza RB Gusto akacheze AMF ,
Ameumia Fofana unaingiza beki tena wakati kuna defensive player 6 ndani as if unakabiliana na Bayern Allianz kumbe ni Atlanta
Huyo Enzo kachoka lakini kila mechi ataanzishwa
Kesho utamkuta Achempong kama RW, Kesho kutwa CB week ijayo DM yaani ni full mauzauza hii ndio underprocess unayoiona?
Timu haina flow wala rhythm inafurahia kupoza mechi kitu ambacho timu ndogo na za wastani zinafurahia bado unaamini huyu kilaza kuna kitu anaimprove?