lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,482
Ndio mwenendo wa ligi inavyokuwa. Tukumbuke pia kuwa sio kama tuna timu nzuri sana, wachezajki wengi bado wanakuaLeo tunalingana point na Man Utd tukiwa nafasi ya tano na wakati tulikua nafasi ya pili wiki moja nyuma
Experience and elite players ni
- Robert Sanchez
- Reece James
- Wesley Fofana
- Moises Caicedo
- Enzo Fernandez
- Pedro Neto
- Marc Cucurella
Caicedo kadi nyekundu na ile mechi na Leeds Kocha aliboronga na aliomba msamaha, line up ya kumuweka Tosin na approach ya game ilikuwa sio nzurio kabisa, hata hiyo mecho na Bornemouth tuliponea chupu chupu tu.
Hao wengine waliobaki aidha sio elite au bado wanakomaa
Kwa upande wangu bado naamini Maresca anajitahidi, angekuja kocha mwingine angeyumba hivyo hivyo
Levi Colwill na Cole Palmer wangekuwepo wazima sasa hivi tungekuwa na matokeo tofauti
Hata hivyo tumeshacheza mechi 15, Ushindi 7, Sare 4, Kichapo 4. Sawa na Man United. Pengo kwa Arsenal = pointi 8, pengo na katikati ya jedwali = pointi 10.
Ligi bado ngumu na mbichi, kila timu lazima ishinde mechi zake. Hakuna upande “mbaya.” Wala Man united wala Chelsea hawafanyi vibaya. Uamuzi wa kweli ni Mei.