Yeyote aliyemfanyia uskauti huyu dogo ni genious
NO.PARMER ALIKUA ANAPANDA KITANDANI AMEDONDOKA AMEPATA JERAHA JINGINE
Timu imecheza vibaya karibu mchezo wote. tumshukuru Mungu tulikuwa tukicheza na Burnley
Hichi kitu asifanye kwa Newcastle au BournemouthTimu imecheza vibaya karibu mchezo wote. tumshukuru Mungu tulikuwa tukicheza na Burnley
Pamoja na line up mbovu lakini tumeweza kuwapumzisha Moises Caicedo, Wesley Fofana, Alejandro Garnacho, Estevao Willian na Reece James kwa dk 45
Pampja na kucheza vibaya tumeweza kuondoka Turf Moor na points 3, magoli mawili na clean sheet moja zaidi kwa Robert Sanchez na Timu kwa ujumla
Bila kusahau assist ya Marc Guiu
Yuko vizuri sana dogo
Ile assist ilikuwa bonge moja la assistTimu imecheza vibaya karibu mchezo wote. tumshukuru Mungu tulikuwa tukicheza na Burnley
Pamoja na line up mbovu lakini tumeweza kuwapumzisha Moises Caicedo, Wesley Fofana, Alejandro Garnacho, Estevao Willian na Reece James kwa dk 45
Pampja na kucheza vibaya tumeweza kuondoka Turf Moor na points 3, magoli mawili na clean sheet moja zaidi kwa Robert Sanchez na Timu kwa ujumla
Bila kusahau assist ya Marc Guiu
Unafuraha mpka umepandisha kisukari😂Kwa matokeo ya leo, na kesho arsenal apigwe, wote tuseme tawire 😂
Jambo muhimu tumeweza kuwapumzisha baadhi ya wachezaji wetu Bora kama Caicedo, James, Estevao,Fofana na GarnachoMara nyingi chelsea ikitokaga international break na ikapangiwa kucheza mchana inapotezaga mchezo fanyeni utafiti. Chelsea kucheza ovyo jana ni matokeo kutoka international break. Pamoja na kucheza vibaya lakini ilitetea point 3. Laite chelsea ingecheza aidha na newcastle au boro basi ilikuwa inapoteza. All in all point 3 kibindoni
Nipo sana humuUnafuraha mpka umepandisha kisukari😂
Huwa sikioni humu
Dingilai umeanza kucheki bolu?Marc Guiu na Jarmie Gittens wanazidi kuwa imara zaidi ...madogo wanakipiga kweli kweli
Hakuna mtu aliyemjaji Gusto kwa magoli. Yeye ni beki ambaye aninvert vizuri sana. Tataizo dogo la Gusto huwa saa nyingine hawi mchezoni na hivyo kufanya silly mistakes but bado ni mdogo na anaendelea kuwa mchezaji muhimu kwenye timuJuzi tuu hapa nimetoka kuona post ikisema Gusto hajawahi kufunga goli.
Ila kwa position yake huwezi kumjaji kwa magoli.
Hatimaye 🙌
Yeah na point 3 piaJambo muhimu tumeweza kuwapumzisha baadhi ya wachezaji wetu Bora kama Caicedo, James, Estevao,Fofana na Garnacho