Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

maresca ni kocha mzuri kimbinu ni vile kukosa kwake uzoefu wa kufundisha team mkubwa ndio sometimes unamcost ndio maana unakuta anafanya mistake ila haindoni yeye kuwa kocha mzuri
Kocha hamna mtu pale aisee, kuna vitimu huko mchangani vinapga mpira acha kbs. chelsea mpira wao kama wazee, nafas ya kupiga pasi ipo! mpira unarudishwa nyuma kha!.

Halafu kweli kw akili timamu tumeuza Madueke tukanunua Gittens?!!
 
Kocha hamna mtu pale aisee, kuna vitimu huko mchangani vinapga mpira acha kbs. chelsea mpira wao kama wazee, nafas ya kupiga pasi ipo! mpira unarudishwa nyuma kha!.

Halafu kweli kw akili timamu tumeuza Madueke tukanunua Gittens?!!
Sasa madueke kaifanyia Nini Chelsea
 
Gittens kaifanyia nini Dortimund? Chakusikitisha tumeuza bajaji tumenunua baiskeli.
Madueke anacheza upande wa winga wa kulia anapocheza Estevao na Pedro Neto fikiria kwa hiyo miamba miwili Madueke anachukua namba kwa nani? Ndio maana akaona Bora asepe
 
maresca ni kocha mzuri kimbinu ni vile kukosa kwake uzoefu wa kufundisha team mkubwa ndio sometimes unamcost ndio maana unakuta anafanya mistake ila haindoni yeye kuwa kocha mzuri
Alisema mwanzoni mabeki wanatakiwa Sporting Director wakampuuza. Unataka afanye vizuri na akina Tosin, Chalobah na academy Acheampong? Fans saa nyingine hawako fair
 
Madueke anacheza upande wa winga wa kulia anapocheza Estevao na Pedro Neto fikiria kwa hiyo miamba miwili Madueke anachukua namba kwa nani? Ndio maana akaona Bora asepe
Amesepa sawa na hakuwa mchezaji mzuri pia, ilitakiwa sasa tuupgrade sio tudowngrade. Sijui chelsea huwa wanaangalia nini kw mchezaji kabla ya kumnunua?! Au kuna upigaji.
 
Alisema mwanzoni mabeki wanatakiwa Sporting Director wakampuuza. Unataka afanye vizuri na akina Tosin, Chalobah na academy Acheampong? Fans saa nyingine hawako fair
Alisema mwanzoni mabeki wanatakiwa Sporting Director wakampuuza. Unataka afanye vizuri na akina Tosin, Chalobah na academy Acheampong? Fans saa nyingine hawako fair
Watu wanamlaumu kwenye kubadilisha kwake mabeki ila tuwe wa kweli beki yupi ukimtoa chalobah hajagusa kitanda cha wagonjwa?
 
Amesepa sawa na hakuwa mchezaji mzuri pia, ilitakiwa sasa tuupgrade sio tudowngrade. Sijui chelsea huwa wanaangalia nini kw mchezaji kabla ya kumnunua?! Au kuna upigaji.
Kwenye nafasi ya Madueke tumemsajili Estevao je ni upgrade au downgrade ya Madueke?
 
Chelsea vs Wolves
4-2-3-1
------------Delap-------------

Garnacho ----- Pedro ----- Neto

-----Enzo (C) -----Caicedo -----

Cucurella-Chalobah-Fofana-Gusto

--------------Sanchez------------

Subs
  1. Jørgensen
  2. Tosin
  3. Hato
  4. Acheampong
  5. James
  6. Santos
  7. Gittens
  8. Estevão
  9. Guiu
1762628698104.png
 
Watu wanamlaumu kwenye kubadilisha kwake mabeki ila tuwe wa kweli beki yupi ukimtoa chalobah hajagusa kitanda cha wagonjwa?
Hao wote takataka, ilipotokea majeruhi ya Levi Colwill, beki aliyeibeba beki yote pale nyuma Marseca aliomba asajiliwe beki wa kuja kuziba hiyo nafasi, SD wakakataa, wakapuuza. Swala la Chalobah au Tosin kuingia majeruhi haina impack kama majeruhi ya Colwill. Mada ndio ipo hapo
 
Ikiwa Chelsea itashinda usiku wa leo, itapanda hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya EPL. Lakini kama Bournemouth atatoa sare au kufungwa kesho, Chelsea itabakia nafasi ya tatu—nafasi ya chini kabisa katika tatu bora kwa Matchweek 11, bila kujali matokeo ya Liverpool dhidi ya Man City.
 
Estevão Willian ni mchezaji mwenye impack ya haraka. Hahitaji dakika—sekunde tu zinatosha. Enzo Maresca anatakiwa awe anaweka kumbukumbu.

Estevão Willian (18) ana ukomavu wa maamuzi mara kumi zaidi kuliko Alejandro Garnacho (21), Jamie Gittens (20), Malo Gusto (22), Joao Pedro (24), na akademi yote ya Chelsea kwa ujumla. Bado ni mgeni nchini England na kwenye Ligi Kuu—mchezaji wa kipekee kabisa.
1762637477368.png
 
FT
Chelsea vs Wolves 3-0
Chelsea ya pili
Kama Bornemouth atatoa droo au kugungwa hapo kesho tutaenda wiki ya 11 tukiwa watatu

1762638968519.png
 
Tatizo hili li timu letu leo linacheza vizuri halafu kesho Lina haribu 😫😫😓😓
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom