Ulisema hatatufikisha mahali na mimi nikatoa ushahidi wa alivyotufikisha mahali hata kama ni makombe dhaifu kwa maoni yenu. Muwe na shukurani vinginevyo Mungu atawahesabia dhambi.Comference kombe la timu dhaifu, halafu hilo la CWC nimekua na shaka nalo pia, iweje Club ya Dunia isitoe mchezaji bora? au kocho bora? Tuzo ya Club Bora tuzo anapewa wa Club bingwa!! inamaacha kikombe cha WCW ni cha mchongo.
Mgosi ni tapeli
George over Guiu??? Huyu kocha kwa kweli si muelewi huwa naona kama vile anabetKikosi cha kucheza dhidi ya Mourinho.
Hakuna Andrey Santos
Marc Guiu kwenye Benchi
Tyrique George, kiongozi wa mashambulizi
Nini maoni yako
View attachment 3481416
Vumilia mwakani tunaye Mike Penders, ananolewa kule StrasbourgRobart kuendelea kuwepo Chelsea ni dharau kwa mashabiki
Liverkuku iliyolala mara mbili chali, wale wameheuka wagawaji tuZe blauzi kila siku lazima mle umeme, ngoja mechi ijayo mko na livakuku lazima awalambe
Kiukweli kabisa sisi hatuwezi kuifunga Liverpool kocha kashindwa kutengeneza team ambayo ipo balanced kwenye kushambulia na kudefence opponent anapata urahisi sana kutufikia golini plus team inamakosa mengi na aina mpira wa Liverpool tunawezaje kuifungaLiverkuku iliyolala mara mbili chali, wale wameheuka wagawaji tu
Hakuna cha Isak wala Ekitike wal Wirtz
Timu inarely na Cole Palmer kwenye kutengeneza nafasi. Pia Colwill alikuwa ni msingi wa ulinzi na mahsambulizi.Kiukweli kabisa sisi hatuwezi kuifunga Liverpool kocha kashindwa kutengeneza team ambayo ipo balanced kwenye kushambulia na kudefence opponent anapata urahisi sana kutufikia golini plus team inamakosa mengi na aina mpira wa Liverpool tunawezaje kuifunga
J2 mna kazi moja tu kushinda....acheni vrsingizio majirani....Livakuku pulling imeshaisha.... Tunawaomba sana mkaze makalio uwanjani...na kadi za kilofalofa hatutaki....mechi tatu mfululizo mnakula red card....inaonesha mna kikundi Cha wahuni humo ndaniTimu inarely na Cole Palmer kwenye kutengeneza nafasi. Pia Colwill alikuwa ni msingi wa ulinzi na mahsambulizi.
Kuna hawa wachezaji wakikosekana Chelsea haiwezi kuamnua matokeo
kikosekana mmoja, timu inapwaya
- Levi Colwill
- Cole Palmer
- Moises Caicedo
- Cucurella
Kila mtu ashinde mechi zakeJ2 mna kazi moja tu kushinda....acheni vrsingizio majirani....Livakuku pulling imeshaisha.... Tunawaomba sana mkaze makalio uwanjani...na kadi za kilofalofa hatutaki....mechi tatu mfululizo mnakula red card....inaonesha mna kikundi Cha wahuni humo ndani
Kwahyo ulitaka Ballon d or apewe nani....Palmer au Pedro🤣🤣🤣🤣....na kocha Bora Maresca....lile lilikuwa kombe la Trump mmeenda kucheza kumfurahisha yule Babu....mnacheza na kina Flamingo sijui Santos mnajiona mmekamilika🤣🤣🤣....na bdo mtadundwa sana....ila J2 mjikaze muache ufalaComference kombe la timu dhaifu, halafu hilo la CWC nimekua na shaka nalo pia, iweje Club ya Dunia isitoe mchezaji bora? au kocho bora? Tuzo ya Club Bora tuzo anapewa wa Club bingwa!! inamaacha kikombe cha WCW ni cha mchongo.
Mgosi ni tapeli
Ndo mnatakiwa mshinde🤣🤣🤣...fujo nyiiiingi kwny usajili...ila ukifika mda wa kukiputa unaona nyotanyota tuKila mtu ashinde mechi zake
Comference kombe la timu dhaifu, halafu hilo la CWC nimekua na shaka nalo pia, iweje Club ya Dunia isitoe mchezaji bora? au kocho bora? Tuzo ya Club Bora tuzo anapewa wa Club bingwa!! inamaacha kikombe cha WCW ni cha mchongo.
Mgosi ni tapeli


ila wachezaji wa Chelsea, eti hii takataka nayo iko Chelsea.
Nasikia Disas amerudishwa kuokoa jahazi.