MrKanteChelsea
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 655
- 823
Wajuaji wa hili jukwaa timu hii bado
We ndio utakuwa takataka kama unamatarajio makubwa na team inayobadilisha utamaduni na kutegemea ichukue misimu michache kurudi kwenye consistency level ya ushindaniLeo ngoja niwambie ukweli mchungu.
Kila alie shabiki na mpenzi wa Chelsea FC asome hili andiko. Klabu yetu ya Chelsea ni ya kawaida sana wala msijidanganye kuwa tuna ukali wowote ule. Ata ile FIFA Club World Cup tulibahatisha tu.
Klabu yetu haina uwezo wa kupamba na klabu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan, Man City, Napoli na nyingine kwenye mashindano yoyote yale, tutaishia kushiriki tu. Kwa sasa level zenu ni Conference League huko, bado hatujawa na uwezo wa kuleta upinzani kwenye UEFA na UEFA Europa League. Huo ndio ukweli ukubali ama ukatae huo ndio uhalisia.
Huwezi kwenda kwenye mashindano makubwa kama UEFA wakati huo huo una lundo la wachezaji ambao ni matakataka tu. Wenzako wana silaha kweli kweli mfano, Harry Kane, Mohammed Sarah, Lamine Yamal, Mbappe Haaland na wengine wengi kuwaandikia wote sito weza. Wakati huo sisi tuna matakataka akina Enzo Maresca, Sanchez, Enzo Fernandez, Liam Delap, Jamie Gittens, Romeo Lavia, Facundo Buonanotte, Malo Gusto, Jorrel Hato na matakataka mengine.
Huwa nashangaa sana unakuta mtu hapa jukuani ana kaza mshipa kabisa eti kwa hilo lundo la matakataka kuna mahala watatufikisha, kwa kweli inasikitisha sana. Inapaswa tuelewe na tukubali wanao tuhalibia timu ni hawa wapuuzi walio uziwa hii timu. Hizi sajili za hovyo hovyo alafu wakati huo tukitaka matokeo chanja ni sawa na kuokota embe chini ya mnazi.
Klabu nyingine zinafanya sajili za maana eti sisi tunaenda kusajili watu kama Liam Delap, Jamie Gittens alafu unategemea upate matokeo chanya tunaacha wachezaji wazuri wa kutupa hiyo chanya tunakimbilia matakataka ambao ata hawajulikani walikuwa wanafanya nini hapo kabla.
Hapa hamna timu ya kuleta upinzani kwenye UEFA na EPL, level zetu saizi ni kina Sunderland, West Ham, Wolves, Leeds na wengine kama hao. Huwezi fika level za ukubwa wakati huohuo una lundo la matakataka.
Huo ndio ukweli mchungu, ukubali ama ukatae ila tambua huo ndio uhalisia wenyewe. Mtu anae fahamu na mpenzi wa mpira hawezi pingana na huu ukweli. Tizama kuanzia kikosi tulicho nacho na uchezaji tunao cheza kisha tathmini tunaweza kuwa bora mbele ya hao miamba. Sisi bado sana.
🤣🤣🤣 umeandika ukweli mtupu ila ulichokosea ni ni kimoja tu, kuiweka Arsenyau kwenye hii kauli yako:Leo ngoja niwambie ukweli mchungu.
Kila alie shabiki na mpenzi wa Chelsea FC asome hili andiko. Klabu yetu ya Chelsea ni ya kawaida sana wala msijidanganye kuwa tuna ukali wowote ule. Ata ile FIFA Club World Cup tulibahatisha tu.
Klabu yetu haina uwezo wa kupamba na klabu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan, Man City, Napoli na nyingine kwenye mashindano yoyote yale, tutaishia kushiriki tu. Kwa sasa level zenu ni Conference League huko, bado hatujawa na uwezo wa kuleta upinzani kwenye UEFA na UEFA Europa League. Huo ndio ukweli ukubali ama ukatae huo ndio uhalisia.
Huwezi kwenda kwenye mashindano makubwa kama UEFA wakati huo huo una lundo la wachezaji ambao ni matakataka tu. Wenzako wana silaha kweli kweli mfano, Harry Kane, Mohammed Sarah, Lamine Yamal, Mbappe Haaland na wengine wengi kuwaandikia wote sito weza. Wakati huo sisi tuna matakataka akina Enzo Maresca, Sanchez, Enzo Fernandez, Liam Delap, Jamie Gittens, Romeo Lavia, Facundo Buonanotte, Malo Gusto, Jorrel Hato na matakataka mengine.
Huwa nashangaa sana unakuta mtu hapa jukuani ana kaza mshipa kabisa eti kwa hilo lundo la matakataka kuna mahala watatufikisha, kwa kweli inasikitisha sana. Inapaswa tuelewe na tukubali wanao tuhalibia timu ni hawa wapuuzi walio uziwa hii timu. Hizi sajili za hovyo hovyo alafu wakati huo tukitaka matokeo chanja ni sawa na kuokota embe chini ya mnazi.
Klabu nyingine zinafanya sajili za maana eti sisi tunaenda kusajili watu kama Liam Delap, Jamie Gittens alafu unategemea upate matokeo chanya tunaacha wachezaji wazuri wa kutupa hiyo chanya tunakimbilia matakataka ambao ata hawajulikani walikuwa wanafanya nini hapo kabla.
Hapa hamna timu ya kuleta upinzani kwenye UEFA na EPL, level zetu saizi ni kina Sunderland, West Ham, Wolves, Leeds na wengine kama hao. Huwezi fika level za ukubwa wakati huohuo una lundo la matakataka.
Huo ndio ukweli mchungu, ukubali ama ukatae ila tambua huo ndio uhalisia wenyewe. Mtu anae fahamu na mpenzi wa mpira hawezi pingana na huu ukweli. Tizama kuanzia kikosi tulicho nacho na uchezaji tunao cheza kisha tathmini tunaweza kuwa bora mbele ya hao miamba. Sisi bado sana.
Mwaka jana nusu fainali....mwaka huu breki ni fainali....kuchukua hapo sijajua....ila nyny mkijitahidi sana nafasi ya 22....sijui mtacheza play offs au vp ila hyo ndo nafasi yenu stahiki na mtaishika tuNafikiri hii nguvu ungeenda kuwakumbusha wenzako hili kombe halijawahi kufika Emirates
Arsenyau ni level nyingine shehe🤠🤠....kina Madrid na wenzake hawataki kabisa kukutana na sisi....mwaka huu Kuna mkubwa mwingine tutamfumua robo fainali hamtakaa muamini🤣🤣🤣 umeandika ukweli mtupu ila ulichokosea ni ni kimoja tu, kuiweka Arsenyau kwenye hii kauli yako:
"Klabu yetu haina uwezo wa kupambana na klabu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan, Man City, Napoli na nyingine kwenye mashindano yoyote yale, tutaishia kushiriki tu."
🤣🤣🤣 Pipi tunakuomba tuko chini ya miguu yako mechi ijayo dhidi ya Chelkenge usifanye prediction😁😁😁Engonga. Wali gonga
🤣🤣🤣 Hatukatai Arsenyau kua mpo level nyingine, nilichompinga Papaa Gx ni kule kusema kwake kua timu yao itaishia kushiriki tu, lakini haina uwezo wa kupambana na timu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan na Man City, akasahau kua Arsenyo ndio mabingwa wa kushiriki michuano yote pasi na kubeba kombe lolote.Arsenyau ni level nyingine shehe🤠🤠....kina Madrid na wenzake hawataki kabisa kukutana na sisi....mwaka huu Kuna mkubwa mwingine tutamfumua robo fainali hamtakaa muamini
Ili uchukue kombe inabidi ushiriki kwanza....sasahivi Man U Hana nafasi ya kuchukua UEFA ila majirani zangu Nyukesto anao kwa sababu anashiriki...tuunge mkono jirani mwaka huu tunabeba ile ndo😀😀🤣🤣🤣 Hatukatai Arsenyau kua mpo level nyingine, nilichompinga Papaa Gx ni kule kusema kwake kua timu yao itaishia kushiriki tu, lakini haina uwezo wa kupambana na timu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan na Man City, akasahau kua Arsenyo ndio mabingwa wa kushiriki michuano yote pasi na kubeba kombe lolote.


wale wapinga nyeto ujue wamekufua
umeandika ukweli mtupu ila ulichokosea ni ni kimoja tu, kuiweka Arsenyau kwenye hii kauli yako:
"Klabu yetu haina uwezo wa kupambana na klabu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan, Man City, Napoli na nyingine kwenye mashindano yoyote yale, tutaishia kushiriki tu."



Pipi tunakuomba tuko chini ya miguu yako mechi ijayo dhidi ya Chelkenge usifanye prediction
![]()
Mechi saba bado, tumeanza na mifupa tutamalizia na minofuNawakumbusha tu majirani mpo nafasi ya 32 mpk sasa kwny msimamo....mdogomdogo mtafika tu msijali
Chelsea usiiachie ifike Nusu Fainali🤣🤣🤣 Hatukatai Arsenyau kua mpo level nyingine, nilichompinga Papaa Gx ni kule kusema kwake kua timu yao itaishia kushiriki tu, lakini haina uwezo wa kupambana na timu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan na Man City, akasahau kua Arsenyo ndio mabingwa wa kushiriki michuano yote pasi na kubeba kombe lolote.
Flamengo wanawasaidia Arsenal wajue kuwa Chelsea ilifungwa 3-1 na Flamengo na kuanzia hapo wakachaji betri hadi kuwa mabingwa. Kujikwaa sio mwisho wa safari bali ndio kwanza safari inaaznia hapo
As long as Chalobah na Tosin wanazima pale nyuma hakyanani...mkijitahidi mtacheza play offs....8 Bora hamuwezi kushika....namba zinakataaMechi saba bado, tumeanza na mifupa tutamalizia na minofu
Ninyi mmeanza na minofu
Jumla ya points 20 ambayo itatosha kabis akumaliza ndani ya nane bora
- Wed Sep 17: Bayern Munich (a) 3-1
- Tue Sep 30: Benfica (h) 3-0
- Wed Oct 22: Ajax (h) 4-0
- Wed Nov 5: Qarabag (a) 0-4
- Tue Nov 25: Barcelona (h) 2-2
- Tue Dec 9: Atalanta (a) =2-3
- Wed Jan 21: Pafos (h) 5-0
- Wed Jan 28: Napoli (a) = 1-2
Atalanta...Barcelona..Napoli sioni point zinapatikana wapi....jitahidini majiraniMechi saba bado, tumeanza na mifupa tutamalizia na minofu
Ninyi mmeanza na minofu
Jumla ya points 20 ambayo itatosha kabis akumaliza ndani ya nane bora
- Wed Sep 17: Bayern Munich (a) 3-1
- Tue Sep 30: Benfica (h) 3-0
- Wed Oct 22: Ajax (h) 4-0
- Wed Nov 5: Qarabag (a) 0-4
- Tue Nov 25: Barcelona (h) 2-2
- Tue Dec 9: Atalanta (a) =2-3
- Wed Jan 21: Pafos (h) 5-0
- Wed Jan 28: Napoli (a) = 1-2
We jamaa ni wazi opinions zako zimejaa hisia kuliko uhalisia, hayo majina unayoyaweka kwenye equation hapo ni as if wote wanacheza timu moja kwamba wenzetu wana salah yamal haaland ni kama wanatokea timu moja wakati kwenye hiyo equation jina la palmer linaingia bila ubishi ila hujaliona hiloLeo ngoja niwambie ukweli mchungu.
Kila alie shabiki na mpenzi wa Chelsea FC asome hili andiko. Klabu yetu ya Chelsea ni ya kawaida sana wala msijidanganye kuwa tuna ukali wowote ule. Ata ile FIFA Club World Cup tulibahatisha tu.
Klabu yetu haina uwezo wa kupamba na klabu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan, Man City, Napoli na nyingine kwenye mashindano yoyote yale, tutaishia kushiriki tu. Kwa sasa level zenu ni Conference League huko, bado hatujawa na uwezo wa kuleta upinzani kwenye UEFA na UEFA Europa League. Huo ndio ukweli ukubali ama ukatae huo ndio uhalisia.
Huwezi kwenda kwenye mashindano makubwa kama UEFA wakati huo huo una lundo la wachezaji ambao ni matakataka tu. Wenzako wana silaha kweli kweli mfano, Harry Kane, Mohammed Sarah, Lamine Yamal, Mbappe Haaland na wengine wengi kuwaandikia wote sito weza. Wakati huo sisi tuna matakataka akina Enzo Maresca, Sanchez, Enzo Fernandez, Liam Delap, Jamie Gittens, Romeo Lavia, Facundo Buonanotte, Malo Gusto, Jorrel Hato na matakataka mengine.
Huwa nashangaa sana unakuta mtu hapa jukuani ana kaza mshipa kabisa eti kwa hilo lundo la matakataka kuna mahala watatufikisha, kwa kweli inasikitisha sana. Inapaswa tuelewe na tukubali wanao tuhalibia timu ni hawa wapuuzi walio uziwa hii timu. Hizi sajili za hovyo hovyo alafu wakati huo tukitaka matokeo chanja ni sawa na kuokota embe chini ya mnazi.
Klabu nyingine zinafanya sajili za maana eti sisi tunaenda kusajili watu kama Liam Delap, Jamie Gittens alafu unategemea upate matokeo chanya tunaacha wachezaji wazuri wa kutupa hiyo chanya tunakimbilia matakataka ambao ata hawajulikani walikuwa wanafanya nini hapo kabla.
Hapa hamna timu ya kuleta upinzani kwenye UEFA na EPL, level zetu saizi ni kina Sunderland, West Ham, Wolves, Leeds na wengine kama hao. Huwezi fika level za ukubwa wakati huohuo una lundo la matakataka.
Huo ndio ukweli mchungu, ukubali ama ukatae ila tambua huo ndio uhalisia wenyewe. Mtu anae fahamu na mpenzi wa mpira hawezi pingana na huu ukweli. Tizama kuanzia kikosi tulicho nacho na uchezaji tunao cheza kisha tathmini tunaweza kuwa bora mbele ya hao miamba. Sisi bado sana.
Leo ngoja niwambie ukweli mchungu.
Kila alie shabiki na mpenzi wa Chelsea FC asome hili andiko. Klabu yetu ya Chelsea ni ya kawaida sana wala msijidanganye kuwa tuna ukali wowote ule. Ata ile FIFA Club World Cup tulibahatisha tu.
Klabu yetu haina uwezo wa kupamba na klabu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan, Man City, Napoli na nyingine kwenye mashindano yoyote yale, tutaishia kushiriki tu. Kwa sasa level zenu ni Conference League huko, bado hatujawa na uwezo wa kuleta upinzani kwenye UEFA na UEFA Europa League. Huo ndio ukweli ukubali ama ukatae huo ndio uhalisia.
Huwezi kwenda kwenye mashindano makubwa kama UEFA wakati huo huo una lundo la wachezaji ambao ni matakataka tu. Wenzako wana silaha kweli kweli mfano, Harry Kane, Mohammed Sarah, Lamine Yamal, Mbappe Haaland na wengine wengi kuwaandikia wote sito weza. Wakati huo sisi tuna matakataka akina Enzo Maresca, Sanchez, Enzo Fernandez, Liam Delap, Jamie Gittens, Romeo Lavia, Facundo Buonanotte, Malo Gusto, Jorrel Hato na matakataka mengine.
Huwa nashangaa sana unakuta mtu hapa jukuani ana kaza mshipa kabisa eti kwa hilo lundo la matakataka kuna mahala watatufikisha, kwa kweli inasikitisha sana. Inapaswa tuelewe na tukubali wanao tuhalibia timu ni hawa wapuuzi walio uziwa hii timu. Hizi sajili za hovyo hovyo alafu wakati huo tukitaka matokeo chanja ni sawa na kuokota embe chini ya mnazi.
Klabu nyingine zinafanya sajili za maana eti sisi tunaenda kusajili watu kama Liam Delap, Jamie Gittens alafu unategemea upate matokeo chanya tunaacha wachezaji wazuri wa kutupa hiyo chanya tunakimbilia matakataka ambao ata hawajulikani walikuwa wanafanya nini hapo kabla.
Hapa hamna timu ya kuleta upinzani kwenye UEFA na EPL, level zetu saizi ni kina Sunderland, West Ham, Wolves, Leeds na wengine kama hao. Huwezi fika level za ukubwa wakati huohuo una lundo la matakataka.
Huo ndio ukweli mchungu, ukubali ama ukatae ila tambua huo ndio uhalisia wenyewe. Mtu anae fahamu na mpenzi wa mpira hawezi pingana na huu ukweli. Tizama kuanzia kikosi tulicho nacho na uchezaji tunao cheza kisha tathmini tunaweza kuwa bora mbele ya hao miamba. Sisi bado sana.
Hayo makelele tumeyazoea sanaAs long as Chalobah na Tosin wanazima pale nyuma hakyanani...mkijitahidi mtacheza play offs....8 Bora hamuwezi kushika....namba zinakataa