Santos hajaingia na Enzo kafunga goliEnzo anatukaba kocha inabidi amuingize Santos
Kivipi mzee
Jackson hasemwi vibaya kwa bahati mbaya. Mentality yake inamuangusha sana. Alipaswa kuwa mvumilivu aangalie ubora wake uko wapi na madhaifu yalipo arekebishe, sasa kujiona msimu mzima yeye ndio striker anakosa magoli kizembe tena mfululizo halafu sasa ni black shtuka wazungu hawawezi kukufumbia macho.Pressure ya team imechangia jamaa kuondoka, Palmer akiwa chini ya kiwango huwa hazungumziwi Kama Jackson alikosa magoli hata kama hiyo mechi kacheza vizuri kasoro kufunga goal in short Jackson ndio mchezaji aliyekuwa anaongoza kwa kusema vibaya hii imefanya hakose furaha
Slamu kwa mzee wa takatakaKivipi mzee
Slamu kwa mzee wa takataaliyemuita takataka yeye ndo takataka
Mkopo wa Nicolas Jackson ndio wa nne kwa ugahli katika dunia na historia ya soka🚨🔴⚪️ BREAKING:
Nicolas Jackson kwenda Bayern, HERE WE GO!
Dili lilikubaliwa na Chelsea kwa uhamisho wa mkopo wa awali.
Ada ya mkopo ya €15m kwa msimu mmoja pamoja na kipengele cha chaguo la kununua si lazima kwa kifurushi cha €80m na kifungu cha mauzo.
Jackson, atasafiri kwa ndege hadi Bavaria pamoja na wakala wake Ali Barat kutoka Epic Sports.
View attachment 3458455
| Rank | Player | Loaned To | Loan Fee (€) | Year |
| 1️⃣ | Álvaro Morata | Juventus | €20 million | 2020 |
| 2️⃣ | Álvaro Morata | Atlético Madrid | €18 million | 2019 |
| 3️⃣ | Giovani Lo Celso | Tottenham Hotspur | €16 million | 2019 |
| 4️⃣ | Nicolas Jackson | Bayern Munich | €15 million | 2025 |
| 5️⃣ | Jhon Durán | Fenerbahçe | €15 million | 2025 |
Ogopa sana jamaaa hujui mpiraKwa hiyo kwa kua ameenda spars sio takataka tena!! Amekua mchezaji mzuriView attachment 3458204
Asante mrembo kwa kutuletea Kama hivi
Bado footwork yake sio nzuri hapigi pass za kufika na Leo nusu atoe boko kwenda kwa TosinEbu tumjadili huyu takataka anayeitwa Robert Sanchez
Amezungukwa na difensi mbovu lakini katika mec hi 64 hadi sasa anazo cleansheets 20
View attachment 3458722