Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wamewasajili wachezaji wawili alafu cha ajabu wote viungo washambuliaji ndipo nawashangaa sports director wetu huwa wanawazaga nini
Julio amesajiliwa na Strasbourg sio Chelsea
Facundo Buonanotte ndie kasajiliwa Chelsea backup ya Palmer
Kumbukeni pia kuna vipingamizi vya UEFA msiwe mnaheuka jazba tu bila kujua wamilkiki na SD wamekwama wapi
 
Wamewasajili wachezaji wawili alafu cha ajabu wote viungo washambuliaji ndipo nawashangaa sports director wetu huwa wanawazaga nini
Taarifa zingijne za uzushi zinadai kuwa Brighton walitaka kugoma kumtoa Julio ndipo wakakubaliana na Chelsea wamchukue Buonanotte kubeba mshahara wake wote na kulipa ada ndogo (Inaweza kuwa hakuna ada au ni ndogo sana)
Kwa hiyo kuna mambo yanayoendelea nyuma ya pazia tusiyojua.
Mimi naamini kaka hakukuwa na sababu nzito hawa SDs na Owners hawawezi kujadiliana na mchezji na RB Leipzig kwa zaidi ya mwezio halafu wakaja kumuachia tu hivi hivi,lazima kuna sababu kubwa
Aidha ada kubwa inayoingiza Chelsea kuvunja sheria za fedha au mchezaji anayo matatizo ya kitaalamu
 
🚨🔴⚪️ BREAKING:
Nicolas Jackson kwenda Bayern, HERE WE GO!
Dili lilikubaliwa na Chelsea kwa uhamisho wa mkopo wa awali.
Ada ya mkopo ya €15m kwa msimu mmoja pamoja na kipengele cha chaguo la kununua si lazima kwa kifurushi cha €80m na kifungu cha mauzo.
Jackson, atasafiri kwa ndege hadi Bavaria pamoja na wakala wake Ali Barat kutoka Epic Sports.

1756541608085.png
 
🚨🔴⚪️ BREAKING:
Nicolas Jackson kwenda Bayern, HERE WE GO!
Dili lilikubaliwa na Chelsea kwa uhamisho wa mkopo wa awali.
Ada ya mkopo ya €15m kwa msimu mmoja pamoja na kipengele cha chaguo la kununua si lazima kwa kifurushi cha €80m na kifungu cha mauzo.
Jackson, atasafiri kwa ndege hadi Bavaria pamoja na wakala wake Ali Barat kutoka Epic Sports.

View attachment 3458455
Nicolas Jackson kuwa chaguo la tatu lilikuwa tu nadhariaya fikra (Conspiracy Theory ya watu tu 🧠
Siku hizi mchezaji anapigania nafasi, Jackson angecheza vizuri zaidi ya Joao Pedro na Delap angeendelea kuwa wa kwanza kwenye timu
Sitaki kusikia “huyu ni chaguo la kwanza” au “yule ni la pili.” Uchezaji uwanjani ndio unaamua nafasi ya mchezaji. ⚔️🔥
Jackson kutaka kutoka ni wkamba aliogopa kupambana, ukweli ndio huu
 
Nicolas Jackson kuwa chaguo la tatu lilikuwa tu nadhariaya fikra (Conspiracy Theory ya watu tu 🧠
Siku hizi mchezaji anapigania nafasi, Jackson angecheza vizuri zaidi ya Joao Pedro na Delap angeendelea kuwa wa kwanza kwenye timu
Sitaki kusikia “huyu ni chaguo la kwanza” au “yule ni la pili.” Uchezaji uwanjani ndio unaamua nafasi ya mchezaji. ⚔️🔥
Jackson kutaka kutoka ni wkamba aliogopa kupambana, ukweli ndio huu
Pressure ya team imechangia jamaa kuondoka, Palmer akiwa chini ya kiwango huwa hazungumziwi Kama Jackson alikosa magoli hata kama hiyo mechi kacheza vizuri kasoro kufunga goal in short Jackson ndio mchezaji aliyekuwa anaongoza kwa kusema vibaya hii imefanya hakose furaha
 
Taarifa zingijne za uzushi zinadai kuwa Brighton walitaka kugoma kumtoa Julio ndipo wakakubaliana na Chelsea wamchukue Buonanotte kubeba mshahara wake wote na kulipa ada ndogo (Inaweza kuwa hakuna ada au ni ndogo sana)
Kwa hiyo kuna mambo yanayoendelea nyuma ya pazia tusiyojua.
Mimi naamini kaka hakukuwa na sababu nzito hawa SDs na Owners hawawezi kujadiliana na mchezji na RB Leipzig kwa zaidi ya mwezio halafu wakaja kumuachia tu hivi hivi,lazima kuna sababu kubwa
Aidha ada kubwa inayoingiza Chelsea kuvunja sheria za fedha au mchezaji anayo matatizo ya kitaalamu
Wangemsajili hata beki mmoja ningewaona wamaana SD wametuangusha sana sikatai usajili wa Buonanotte dogo kweli anakipaji kizuri na anaenda kuwa Kama back up ya Palmer na Chelsea inaokoa gharama lakini swali kwanini tumeshindwa hata kusign hata beki mmoja ili tufunge usajili, Enzo Maresca kalizungumza sana hili na ukizingatia tumeuza Nkuku na tayari tumemtoa kwa mkopo Jackson. Wangefanya hivi wangetuliza midomo ya watu wengi sana na tukasahau usajili wa Xavier Simons
 
Pressure ya team imechangia jamaa kuondoka, Palmer akiwa chini ya kiwango huwa hazungumziwi Kama Jackson alikosa magoli hata kama hiyo mechi kacheza vizuri kasoro kufunga goal in short Jackson ndio mchezaji aliyekuwa anaongoza kwa kusema vibaya hii imefanya hakose furaha
Jackson ni mchezaji mzuri sana—alimradi tu asiingie kwenye mtego wa kulazimisha kufunga. Ana uwezo wa kushikilia mpira, kupenya kwa kasi, na kutoa pasi zenye akili. Tatizo linakuja anapokuwa uso kwa uso na goli; badala ya kuboresha, hali hiyo ilikuwa inazidi kuwa mbaya.

Kama ulivyosema, Jackson alishindwa kuhimili presha. Mechi yake ya mwisho ilitoa picha kamili—alipoamua kufunga badala ya kumpasia Palmer aliyekuwa kwenye nafasi bora, ilionyesha wazi amechanganyikiwa.

Lakini kwa upande mwingine, tunamuuza kwa bei nzuri kwenda Bayern. Wakishindwa, waturudishie. Hakuna aliyemfukuza Jackson, na kwa kweli sidhani kama ameondoka kwa njia mbaya.

1756550905822.png
 
Chelsea vs Fulham

Line up 4-2-3-1

-----Delap--

Neto --Pedro -- Estevao

--Enzo -----Caicedo--

Cucurella ---Tosin---Chalobah ---Gusto

--Sanchez---

Subs
1. Jorgensen
2. Wesley Fofana
3. Hato
4. James
5. Acheampong
6. Santos
7. Essugo
8. Gittens
9. George


1756551101834.png
 
🔴 HABARI MPYA KABISA (Swahili): Facundo Buonanotte kuelekea Chelsea — Here we go imethibitishwa! 🔵🇦🇷
📑 Makubaliano ya mkopo yamekamilika, bila kipengele cha kununua mchezaji kudumu.
❗️ Taarifa zinaeleza kuwa Chelsea watakuwa na nafasi ya kulinganisha ofa za baadaye na kumchukua Buonanotte endapo watakubaliana na Brighton.
🕵️‍♂️ Habari ya kipekee, imethibitishwa rasmi.
Fabrizio Romano
View attachment 3458124
Dogo anatumia mguu wa kushoto km palmer tu. ..Bora hzi sajili kuliko sajili za bei kubwa afu mtu anakuja kuflop vibaya sana na anacheza kwa presha km kina Florian vitz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom