Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Carney Chukwuemeka kwenda Borussia Dortmund, HERE WE GO! Mpango umekamilika na mpango umethibitishwa.

Chelsea itapokea ada ya takriban €25m huku kipengele cha nyongeza na kipengee kizito cha kuuza kikijumuishwa, muhimu katika mpango huo.

Anselmino (uhamisho wa mkopo) na Carney (uhamisho wa kudumu) wote watafanyiwa uchunguzi wa kiafya siku ya Jumatatu.

1756035983696.png
 
Carney Chukwuemeka kwenda Borussia Dortmund, HERE WE GO! Mpango umekamilika na mpango umethibitishwa.

Chelsea itapokea ada ya takriban €25m huku kipengele cha nyongeza na kipengee kizito cha kuuza kikijumuishwa, muhimu katika mpango huo.

Anselmino (uhamisho wa mkopo) na Carney (uhamisho wa kudumu) wote watafanyiwa uchunguzi wa kiafya siku ya Jumatatu.

View attachment 3451299
Hivi ili deal linaweza kujumuishwa kwa PRS ya UEFA champions league
 
Hivi ili deal linaweza kujumuishwa kwa PRS ya UEFA champions league
Hapana, UEFA wao wanaangalia bajeti ya wachezaji waliokuwa kwenye A-list ya kuanzia mechi za mtoano January 2025, Carney Chukwuemeka hakuwepo kwenye A-List
 
Nyie takataka
Mmeona wenzenu wamefungwa tano na arsenal kama nyinyi
Sasa jiandaeni kama hamtonyoa tutatumia majivu ya moto kuwakwangua mbaki vipara
Kisa umemfunga dogo aliyepanda Daraja basi unaona umewin maishaaa ee😂😂😂😂
 
Hapana, UEFA wao wanaangalia bajeti ya wachezaji waliokuwa kwenye A-list ya kuanzia mechi za mtoano January 2025, Carney Chukwuemeka hakuwepo kwenye A-List
Kama ni hivyo mbona Kama naona kutakuwa na ugumu
 
Chelsea messages to those close to Garnacho in the last 24-48 hours: "Stay patient and wait, this deal will happen" (@FabrizioRomano @podcastherewego) #CFC
 
Ujuaji ndio unawasumbuaga humu na kujiona mna haki ya kuhitimisha kila kitu mwisho mnabadilika
Hivi kun ashabiki wa Chelsea hajafurahia msimu wa 2024/25 ulivyoisha kwa kupata top 4 (UCL) na kubeba makombe makubwa mawili ya ulaya na Dunia? Kama yupo naomba tumchangie akapimwe na dokta mtaalamu wa mifupa na ubongo pale MOI au nje kabisa
 
Hivi kun ashabiki wa Chelsea hajafurahia msimu wa 2024/25 ulivyoisha kwa kupata top 4 (UCL) na kubeba makombe makubwa mawili ya ulaya na Dunia? Kama yupo naomba tumchangie akapimwe na dokta mtaalamu wa mifupa na ubongo pale MOI au nje kabisa
Wapo kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom