Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Moises Caicedo aliandika historia kubwa katika Uwanja wa London Stadium alipocheza mechi yake ya 100 akiwa na Chelsea FC — ⚽💙

Katika ishara ya heshima na sherehe, Moi alipewa jukumu la kuwa nahodha wa kikosi hicho kwa siku hiyo maalum. Na hakusita kuonyesha uongozi wake — alifunga bao la kuvutia lililowasha moto wa shangwe kwa mashabiki na kuifanya tafrija ya baadaye kuwa tamu zaidi.

Hongera sana Moi — jiwe la pembeni lisilotikisika la Chelsea FC.
Uwepo wako uwanjani ni kama injini ya mafanikio ya klabu. Kila ushindi, kila hatua, kila chembe ya matumaini — ina jina lako ndani yake.

View attachment 3449953
Hakika huyu jamaa kawa mtamu kama mcharo. Napenda akicheza na mtu badi Lavia......tumwombee Lavia apone arudi kwenye kiwango chake na hasisumbuliwe na majerah ya mara kwa mara. Amen
 
Hakika huyu jamaa kawa mtamu kama mcharo. Napenda akicheza na mtu badi Lavia......tumwombee Lavia apone arudi kwenye kiwango chake na hasisumbuliwe na majerah ya mara kwa mara. Amen
Romeo Lavia kapona ila uongozi hawana haraka ya kumuwahisha kwa sababu yuko Esugo na Santos ambao wanaweza kucheza kama yeye. Kiungo tumeshiba vipaji na majembe
 
Romeo Lavia kapona ila uongozi hawana haraka ya kumuwahisha kwa sababu yuko Esugo na Santos ambao wanaweza kucheza kama yeye. Kiungo tumeshiba vipaji na majembe
Bado naomba sana Jackson asiondoke ila abadilishiwe majukumu ya kugunga. Jamaa kwa kujiposion na kusupply mipira ni hatari tupu.
Akicheza kwa kazi ya kusambaza mpira kwa Palmer au Pedro Joao.
 
Bado naomba sana Jackson asiondoke ila abadilishiwe majukumu ya kugunga. Jamaa kwa kujiposion na kusupply mipira ni hatari tupu.
Akicheza kwa kazi ya kusambaza mpira kwa Palmer au Pedro Joao.
Hata Mimi napenda abaki
 
Bado naomba sana Jackson asiondoke ila abadilishiwe majukumu ya kugunga. Jamaa kwa kujiposion na kusupply mipira ni hatari tupu.
Akicheza kwa kazi ya kusambaza mpira kwa Palmer au Pedro Joao.
Maresca anamuona kama Striker tu na alishasema mara nyingi. Mchezaji pekee kwenye ustriker ambaye Maresca anamuona kwenye nafasi nyingi ni Joao Pedro basi. Delap na Jackson ni striker tu according to Gaffer
 
Nyie takataka
Mmeona wenzenu wamefungwa tano na arsenal kama nyinyi
Sasa jiandaeni kama hamtonyoa tutatumia majivu ya moto kuwakwangua mbaki vipara
 
Hakuna mchezaji pale ile ni takataka tupu, kingine ili Xavi Simons na Garnacho waje inapaswa Jackson na Nkunku watoke, yaani kiufupi hizo takataka ndio zinazuia hao wachezaji kusajiliwa. Kingine hao wachezaji wawili inapaswa watoke ili hesabu ziwesawa nadhani mpaka wiki ijayo inaisha hizo takataka zitakuwa zimetolewa.
Bado naomba sana Jackson asiondoke ila abadilishiwe majukumu ya kugunga. Jamaa kwa kujiposion na kusupply mipira ni hatari tupu.
Akicheza kwa kazi ya kusambaza mpira kwa Palmer au Pedro Joao.
 
Subiri wiki ijayo LiverBROILER akunyooshe uache kamdomo. Unafunga timu imetoka Championship huko nawe unatamba! Wewe kweli ni takataka.
Nyie takataka
Mmeona wenzenu wamefungwa tano na arsenal kama nyinyi
Sasa jiandaeni kama hamtonyoa tutatumia majivu ya moto kuwakwangua mbaki vipara
 
Hakuna mchezaji pale ile ni takataka tupu, kingine ili Xavi Simons na Garnacho waje inapaswa Jackson na Nkunku watoke, yaani kiufupi hizo takataka ndio zinazuia hao wachezaji kusajiliwa. Kingine hao wachezaji wawili inapaswa watoke ili hesabu ziwesawa nadhani mpaka wiki ijayo inaisha hizo takataka zitakuwa zimetolewa.
Bora nkuku kuliko huyo garnacho
 
Bora nkuku kuliko huyo garnacho
Kumlinganisha Christopher Nkunku na Alejandro Garnacho sio sawa kabisa
Sababu:
Nkunku hata kama ni mzuri anaishia kwenye form ya mpira na Garanacho ndio kwanza hajaanza peak form yake. Haya mawazo mbaki nazo huko geto kwa sababu hazina faida kwa Chelsea. Unalinganisha miaka 27 na 21 kweli kweli. Nadhani hujawaza vizuri au chuki binafsi kwa Garancho inakusukuma. Utashangaa Garnacho anakuja na kuwa first choice kuliko hata Gittens
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom