Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Estevao Willian ametangazwa MOTM
Ameanza kwa mara ya kwanza na akapewa Man of The Match
Hongera sana
1755896233642.png
 
Mtu kama Fofana sio wa kucheza Chelsea inapaswa acheze Burnely huko
 
Mtu kama Fofana sio wa kucheza Chelsea inapaswa acheze Burnely huko
Ndg yangu hivi kuna siku wewe unafurahia ushindi na kusahau negative za mchezaji mmoja mmoja?/ Kweli
Nakushauri kwa afya yako furahi zaidi ya unavyokosoa.
Kosoa kidogo (10%) halafu furahia na positive (90%) na afya yako itaimarika na miak ya kuishi itaongezwa
 
Hii kapewa tu ilipaswa apewe Joao Pedro, kigeni dogo Estevao inapaswa abadili aina yake ya uchezaji bila hivyo ataingia kwenye kundi la matakataka. Naona bado anadhani hiyo ni ligi ya huko kwao Brazil.
Esxtevao Willian ametangazwa MOTM
Ameanza kwa mara ya kwanza na akapewa Man of The Match
Hongera sana
View attachment 3449720
 
Ndugu yangu hii michezaji ya hovyo ndio inatupigisha mikeka kila msimu inapaswa kuifyekelea mbali. We mwenyewe umeona huyo dogo alivyo pewa nafasi alicho kifanya, ni takataka tupu.
Ndg yangu hivi kuna siku wewe unafurahia ushindi na kusahau negative za mchezaji mmoja mmoja?/ Kweli
Nakushauri kwa afya yako furahi zaidi ya unavyokosoa.
Kosoa kidogo (10%) halafu furahia na positive (90%) na afya yako itaimarika na miak ya kuishi itaongezwa
 
Hii kapewa tu ilipaswa apewe Joao Pedro, kigeni dogo Estevao inapaswa abadili aina yake ya uchezaji bila hivyo ataingia kwenye kundi la matakataka. Naona bado anadhani hiyo ni ligi ya huko kwao Brazil.
Umesoma hizo stats hapo kwenye picha?
 
RB Leipzig wanatuma ujumbe gani kwa Chelsea? 👀
Wametupia hii picha kwenye ukurasa wao wa X…
Ishara kimya au nia wazi kabisa?
Mchezo wa karata za usajili unazidi kuwa moto 🔥💼

1755898328746.png
 
🟦⚡ Estevão Willian aling'ara kwa mara ya kwanza rasmi akiwa na Chelsea dhidi ya West Ham mnamo tarehe 22 Agosti 2025.
Katika mechi yake ya kwanza kama mchezaji wa kikosi cha kwanza, kijana huyu wa Kibrazili alionesha kiwango cha juu sana—akichangia kwa pasi ya bao, akiongoza timu kwa pasi za hatari, dribbles, na hata tackles.
Ingawa alianza kwa kosa lililosababisha bao la West Ham, Estevão hakukata tamaa. Alijibu kwa kasi, ubunifu, na uamuzi sahihi—akiingia kwenye boksi na kutoa pasi safi kwa Enzo Fernández kufunga bao muhimu.
🏆 Mwisho wa mechi, alitajwa kuwa Mchezaji Bora wa Mechi (Man of the Match) na Sky Sports—ishara ya kipaji chake cha kipekee na utayari wake wa kupambana.

Maresca kuhusu Estevão:
“Tulifungwa bao kwa sababu alipoteza mpira wakati wa kujenga mashambulizi, lakini anahitaji makosa kama haya ili ajifunze. Kwa ujumla, ameonesha kiwango cha kuvutia.”

Marc Cucurella alimsifia akisema:
“Ni kijana mdogo, lakini ameonesha ukomavu wa hali ya juu. Alichukua maamuzi sahihi sana. Wachezaji wote wapya, wale waliosajiliwa msimu huu, wamekuja kusaidia timu—kuleta kitu kizuri, nguvu chanya, na vipaji vya hali ya juu...”

1755899631390.png
 
Hii kapewa tu ilipaswa apewe Joao Pedro, kigeni dogo Estevao inapaswa abadili aina yake ya uchezaji bila hivyo ataingia kwenye kundi la matakataka. Naona bado anadhani hiyo ni ligi ya huko kwao Brazil.
Sasa mkuu huoni si Bado anakua..atakuja kuwa sawa ndo ukuaji huo ndogondogo ndo maana halisi ya potential..ila huyu mzee wa takataka kazi ipo😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom