Ni vigezo gani wanavyotumia Mapundits kuipa Liverpool ubingwa EPL msimu 25/26? Au kigezo cha kuwa bingwa mtetezi?
Kwa mawazo yangu naiona Liverpool haitabeba ubingwa 25/26 kwa sababu msimu huu top six team zimesajili wachezaji wengi wa kucover majeruhi na pia sidhani kama zitarudia kufanya ule uzembe wa kudondosha points ovyo kama walivyofanya 24/25.
Bingwa mtetezi atapata ushindani mkubwa sana kutoka kwa The blues na Arsenal na sio City.
THE BLUES anaweza kuwa bingwa Kwa Sababu imesharudi Kwenye njia ya kubeba makombe + kuboresha safu ya ushambuliaji ambapo ilituangusha sana msimu 24/25.
1. Chelsea
2. Liverpool
3. Arsenal
4. City