Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

🚨 BREAKING:

Gianluigi Donnarumma ameachwa nje ya kikosi cha PSG kwa UEFA Super Cup dhidi ya Tottenham.
Mahusiano na klabu yamevunjika kabisa — PSG tayari wamemsajili Lucas Chevalier kama mrithi wake.

📉 Uwezekano wa kuondoka msimu huu: 80%
🆓 Kubaki hadi kuondoka bure 2026: 20%
Chelsea, mko tayari kumchukua?
⚠️ Udhaifu wake mkubwa:
  • Footwork dhaifu kuliko hata Fili Jørgensen
  • Mzito sana kureact kwenye mashuti ya nguvu
#TransferNews #ChelseaFC #PSG #Donnarumma
1754961905655.png
 

🚨 BREAKING:

Gianluigi Donnarumma ameachwa nje ya kikosi cha PSG kwa UEFA Super Cup dhidi ya Tottenham.
Mahusiano na klabu yamevunjika kabisa — PSG tayari wamemsajili Lucas Chevalier kama mrithi wake.

📉 Uwezekano wa kuondoka msimu huu: 80%
🆓 Kubaki hadi kuondoka bure 2026: 20%
Chelsea, mko tayari kumchukua?
⚠️ Udhaifu wake mkubwa:
  • Footwork dhaifu kuliko hata Fili Jørgensen
  • Mzito sana kureact kwenye mashuti ya nguvu
#TransferNews #ChelseaFC #PSG #Donnarumma
Huyu ni wakawaida sana... Chelsea Kwa sasa inatakiwa ipate CB
 
Alejandro Garnacho bado anaisubiri Chelsea. Amezima simu hataki kuongea na timu zingine. Matarajia yake yote yako kwenye jiji la London. Naona labda ameshanunua nyumba ya kuishi hapo kama Willian alivyong'ang'aniaga London.
Yuko tayari huisubiri Chelsea hadi dakika ya mwsho wa dirisha la usajili.
View attachment 3438521
🚨💣 Chelsea wameongeza kasi ya mazungumzo ya kumsajili Alejandro Garnacho! Mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Chelsea na Manchester United yanaendelea kwa nguvu.

Garnacho ameeleza wazi kuwa anaitaka Chelsea pekee — masharti binafsi tayari yamekubaliwa, na sasa klabu zote mbili zinajadili ada ya uhamisho.

Garnacho anatarajiwa kuvalia jezi ya #CFC msimu huu wa joto. ⏳🔵

1754960473669.png
 
🚨💣 Chelsea wameongeza kasi ya mazungumzo ya kumsajili Alejandro Garnacho! Mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Chelsea na Manchester United yanaendelea kwa nguvu.

Garnacho ameeleza wazi kuwa anaitaka Chelsea pekee — masharti binafsi tayari yamekubaliwa, na sasa klabu zote mbili zinajadili ada ya uhamisho.

Garnacho anatarajiwa kuvalia jezi ya #CFC msimu huu wa joto. ⏳🔵

View attachment 3438754
‼️ Licha ya simu kutoka kwa Erik ten Hag’s Bayer Leverkusen na bosi wake wa zamani, ofa nzito na kubwa kutoka kwa Saudi Pro League, na hata ofa mapya kutoka Italia, Garnacho aliambia vilabu vyote 'hapana, asante'. Mpango wake ni kusalia Premier League na Chelsea mbele ya vilabu nyingine yoyote.

@FabrizioRomano
1754962939796.png
 
Ngoja nimwape story moja aliisimulia Mourinho wakati anahojiwa na Obi Mikel. Mourinho alisema hivi sababu ya kuota mvi mapema hasa upande wa kulia ni kwasababu ya Lasanna Diarra na Agent wake wakati wapo Chelsea siku akimchezesha full dk 90 na Diarra anaperform vizuri agent wake mara nyingi huwa anakuja ofisini kwake anadai mkataba mpya na asipomchezesha agent huwa anapendelea kuja tena ofisini anadai mchezaji wake anataka kuondoka nilichoshwa sana kwa kweli.
 
Man, huoni sajili za wanao taka kupambania ubingwa? Liverpool wame fanya usajili wa Florian Wirtz na Hugo Ekitike, Arsenal wamefanya usajili wa Gyokeres na Man City ana mtaka Rodrigo. Sisi Chelsea ni tunasajili matakataka tu kama hao kina Gittens, Liam Delap na wengineo. Alafu wakati huo huo unataka uende ukapambane nao, hebu tuweni serious basi.
Gittens sio takataka man..
 
Man, huoni sajili za wanao taka kupambania ubingwa? Liverpool wame fanya usajili wa Florian Wirtz na Hugo Ekitike, Arsenal wamefanya usajili wa Gyokeres na Man City ana mtaka Rodrigo. Sisi Chelsea ni tunasajili matakataka tu kama hao kina Gittens, Liam Delap na wengineo. Alafu wakati huo huo unataka uende ukapambane nao, hebu tuweni serious basi.
Unatumia sana hisia kuLiko uhaLisia.. Gittens sio taka taka, punguza mihemko
 
Man, huoni sajili za wanao taka kupambania ubingwa? Liverpool wame fanya usajili wa Florian Wirtz na Hugo Ekitike, Arsenal wamefanya usajili wa Gyokeres na Man City ana mtaka Rodrigo. Sisi Chelsea ni tunasajili matakataka tu kama hao kina Gittens, Liam Delap na wengineo. Alafu wakati huo huo unataka uende ukapambane nao, hebu tuweni serious basi.
Sasa mkuu huyo Hugo Ekitike na Jackson Wana utofauti gani? au kwasababu Liverpool kamsajili kwa pesa kubwa? Sikia ni kwambie watu wanasajili kwa matakwa ya system ya kocha huyo Gittens unaemponda kasajiliwa kwa sababu ana fit mfumo wa Maresca
 
Man, huoni sajili za wanao taka kupambania ubingwa? Liverpool wame fanya usajili wa Florian Wirtz na Hugo Ekitike, Arsenal wamefanya usajili wa Gyokeres na Man City ana mtaka Rodrigo. Sisi Chelsea ni tunasajili matakataka tu kama hao kina Gittens, Liam Delap na wengineo. Alafu wakati huo huo unataka uende ukapambane nao, hebu tuweni serious basi.
Falsafa ya Kocha ni tofauti kabisa na hao akina Slot na Arteta
Maresca anataka wachezaji wanaoweza kuwachezesha wenzao hata kama akifunga goli 10 kwa msimu
Profile zote zilziosajiliwa hasa msimu huu zinaakisi hiyo falsafa
Maresca hataki supastar klama Erling Haaland au Gorkeres au Osimhen ambao wao wanatanguliza fahari binafsi ya kufunga magoli 50 kwa msimu ili wawe masupastar. Wakiumia au form ikishuka timu haina wa kumtumainia tena
Tumebeba makombe makubw andani ya muda mfupi kwa falsafa hiyo
Timu A na B ya Chelsea inaweza kabisa kubeba makombe makubwa na kuleta ushindani kwenye EPL. Nina uhakika hii Chelsea A au B inaweza kushika nafasi ya chini ya 32 kwenye EPL.
Kocha akicheza karata zake vizuri hata EPL tunabeba
Ambition, mentality na uwezo wa wachezaji unasema yote
Tunahitaji tu kuimarisha kwenye defence kwa sababu ya Colwill kuumia na Wesley Fofana sio wa kumtumainia kwa sababu ya majeruhi
Naamini uongozi utamleta defender kama
  1. Marc Guehi,
  2. Murilo au
  3. Piero Hincapie wa Bayer 04 Leverkusen
Pia Antonio Silva na Alessandro Bastoni wanatajwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom