lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Kuna mashabiki walisema Estevao Willian anatakiwa kuadapt ligi ya ulaya. Huyu sio wale akina Madueke anayehitaji mechi 100 kujua naman ya kucheza. Dakiak 18 tu goli na zingekwua tatu. Mashuti yake km 250/saa sawa na mashuti ya Jackson an Broja ukichanganya pamoja. Kijanana mashuti nmkuliko umri wake. Sioni Pedro Neto akimuweka benchi Estevao na Madueke na Rio Ngumoha alijua hili ndio maana akatimua mbio kwend Arsenal na Liverpool.