Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Uongozi hauna mpango wa dharura wa kumnunua beki mmbadala wa Levi Colwill
Uongozi unaimani kubwa kwa kikosi kilichopo na hasa kwa usajili wa hivi karibuni wa Jorrel Hato na anaweza kucheza nafasi ya CB/LB.
-Fabrizio Romano

1754604389958.png
 
Kuna taarifa zimevuja kwamba Nicolas Jackson ameanza kuonyesha jeuri na hayuko tayari kuwa chaguo la mwisho kwenye nafasi ya striker. Anataka yeye ndie awe kipaumbele. Sasa kama kawaida yake Maresca hataki tena na yeye na Nkunku hawataichezea Chelsea tena wako sokoni kuuzwa mwezi huu. Kwaheri Jackson tulikupenda ila wewe jeuri yako imekupoteza. Natumaini huko utakakokwenda utafanikiwa kama Mohamed Salah
1754604554834.png
1754604583857.png
 
Duh Hilo ni pigo kubwa na Option za mabeki tuliobakia nao baada ya injury ya muda mrefu ya colwill ni:
Chalobah
Tosin
Hato
Fofana
Badiashille
Anselmino
Kuna uwezekano huyu anselmino asipelekwe kwa mkopo baada ya hyo injury....aisee mbona km nyuma tutakuwa weupe sana😂... Ingawa defence yetu kwenye club world cup wameonyesha ukomavu flan
 
Duh Hilo ni pigo kubwa na Option za mabeki tuliobakia nao baada ya injury ya muda mrefu ya colwill ni:
Chalobah
Tosin
Hato
Fofana
Badiashille
Anselmino
Kuna uwezekano huyu anselmino asipelekwe kwa mkopo baada ya hyo injury....aisee mbona km nyuma tutakuwa weupe sana😂... Ingawa defence yetu kwenye club world cup wameonyesha ukomavu flan
LCB ni
Hato
Badiashille
Anselmino
 
FRIFA watafikiria endapo Chelsea — Mabingwa wa Dunia kwa sasa 🌍🏆 — watapewa tiketi ya moja kwa moja kushiriki mashindano ya 2029, bila kuhitaji kuzingatia 'coefficient factor' au kushinda tena UCL 🎟️⚽.
1754670820408.png
 
Mawazo yako hapo, usajili mbaya au mzuri
Hapo anakosekana tu Xavi Simons na Alejandro Garnacho
1754671299208.png
 
Chelsea vs Bayer 04 Leverkusen saa tatu usiku
----Delap----
George---Palmer---Estevao

--Santos--Caicedo--

Cucurella--Chalobah--Acheampong--Gusto

----Jorgensen----

Subs:
  1. Robert Sánchez
  2. Gabriel Slonina
  3. Tosin Adarabioyo
  4. Aaron Anselmino
  5. Jorrel Hato
  6. Reece James
  7. Collins Antwi
  8. Enzo Fernández
  9. Jesurun Rak-Sakyi
  10. Dário Essugo
  11. Jamie Bynoe-Gittens
  12. Pedro Neto
  13. João Pedro Junqueira de Jesus

1754673097246.png
 
Chelsea vs Bayer 04 Leverkusen saa tatu usiku
----Delap----
George---Palmer---Estevao

--Santos--Caicedo--

Cucurella--Chalobah--Acheampong--Gusto

----Jorgensen----

Subs:
  1. Robert Sánchez
  2. Gabriel Slonina
  3. Tosin Adarabioyo
  4. Aaron Anselmino
  5. Jorrel Hato
  6. Reece James
  7. Collins Antwi
  8. Enzo Fernández
  9. Jesurun Rak-Sakyi
  10. Dário Essugo
  11. Jamie Bynoe-Gittens
  12. Pedro Neto
  13. João Pedro Junqueira de Jesus

View attachment 3436154
Hapo katikati nimepapenda Santos na Caicedo
 
Kitu ambacho Mimi sipendi ni huyo Aaron Anselmino kwanini hapewi nafasi kabisa tumuone
 
Joao Pedro kwangu ndio best signing in term attributes he has
Bado Estevao hajacheza, Bado Hato hajacheza, Bado Jamie Gittens hajacheza, Bado Esugo hajapewa muda wa kutosha kuonyesha makali yake, Ila mpaka sasa Joa Pedro anaonekana atakuwa wa moto sana na ndio maana Jackson anataka kukimbia huko kwenda kwenye timu ndogo size yake
 
Chelsea vs Bayer 04 Leverkusen saa tatu usiku
----Delap----
George---Palmer---Estevao

--Santos--Caicedo--

Cucurella--Chalobah--Acheampong--Gusto

----Jorgensen----

Subs:
  1. Robert Sánchez
  2. Gabriel Slonina
  3. Tosin Adarabioyo
  4. Aaron Anselmino
  5. Jorrel Hato
  6. Reece James
  7. Collins Antwi
  8. Enzo Fernández
  9. Jesurun Rak-Sakyi
  10. Dário Essugo
  11. Jamie Bynoe-Gittens
  12. Pedro Neto
  13. João Pedro Junqueira de Jesus

View attachment 3436154
Christopher Nkunku na Nicolas Jackson hawajachaguliwa. Wote wawili wanatarajia kuondoka Chelsea msimu huu wa joto
 
Wazee Mkohoti John dillinger msimu hajaanza wa kujenga nyumba tumeshaanza kunyang'anyana fito, punguzeni hasira, jukwaa hili ni la kuburudika, kuondoa stress na kushangilia timu yetu. Hakuna haja ya kushikana mashati.

Si ni marafiki ambao hatujuani, tuheshimiane tuu, kupitia jukwaa hili nimeshatengeneza ndugu wengi kwa kuonana nao ana kwa ana. Thus why namuheshimu kila mtu hapa, ushabiki wangu ni wa utani utani nikiamini tunaburudika.

Naomba mfunge mjadala wa kutupiana maneno makali. Sio utamaduni wetu hapa, naomba mshushe hasira wakuu

Bank ya Marekani tupo kazini.
Na huyo aliyemuita boya kafunga kwenye game yake ya kwanza akiwa na Chelsea😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom