lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Itakuwa ngumu kwenye bei, tunaweza kumchukua hilo halina shaka ila sio bwerereee ndio nilimaanisha hivyoMchezaji ameshaonesha kuwa hataki kuendelea na team yake na amesema anaitaka Chelsea sizani Kama deal itakuwa ngumu
Kwa nini
RB Leipzig walikuwa na matatizo ya kifedha ambayo kwa kutangulia kumuuza Sesko wameshatatua na hivyo sasa kwa Simons hawana haraka ya kumuuza labda Simons ashinikize zaidi ya alivyofanya, aache kwenda mazoezi na mechi hadi Leipzig waogope. Wao dau lao wanashikilia euro mil 70 ambayo inaweza kupanda wakishamuuza Sesko