Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilimuona ni kichwa upepo alivyowafunga chelsea akashangilia!, hakumwona Jao Pedro.
Ajitahid tu afanye vizuri. Simuoni akifanya vizur ana uduanzi flani hivi. Brazilian madueke.
Sasa asishangilie kuifungia chama lake la tangu utotoni iliyomkuza la palmeiras?uzuri yeye mwenyewe alisema kabla nikiifunga Chelsea nitashangilia..! Vitu vingine mnachukulia personal mpk unaanza kuleta chuki za kiduwanzi kwa mchezaji🤣...Chelsea hata chooni kule Cobham alikuwa apajui afu UNATAKA asishangilie?....Joao Pedro ile fluminense alionyesha respect Kwasababu n timu iliyomlea.....
 
😅🚨 BREAKING: Estevão amechagua nambari 21 Chelsea—sio tu jezi, lakini heshima kwa miaka 21 tangu Arsenal ilipotwaa taji la Ligi Kuu ya Uingereza mara ya mwisho. 💙🔵
@mattlaw

1754425944219.png
 
💙🔥 Tumesubiri kwa muda mrefu IMEKWISHA HIYO! Tuliota, tulitumaini, tuliomba, na sasa ni kweli! 🙌 Estevao Willian AMEWASILI pale Stamford Bridge! 🏟️⚡ Kijana wetu amepambwa kwa rangi ya bluu ya Chelsea, na anahisi kuwa sawa! 💫💥 Wakati wa kuangaza sauti, Legend katika uundwaji! 🙏🔵 #EstevaoWillian
1754427720738.png
 
Sasa asishangilie kuifungia chama lake la tangu utotoni iliyomkuza la palmeiras?uzuri yeye mwenyewe alisema kabla nikiifunga Chelsea nitashangilia..! Vitu vingine mnachukulia personal mpk unaanza kuleta chuki za kiduwanzi kwa mchezaji🤣...Chelsea hata chooni kule Cobham alikuwa apajui afu UNATAKA asishangilie?....Joao Pedro ile fluminense alionyesha respect Kwasababu n timu iliyomlea.....
Mkohoti sijui ana shida gani, yaani Willian aache kushangilia timu yake ya asili wakati hata Chelsea hajavaa jezi yake, hajui kama atapelekwa mkopo mwisho wa siku akaihama Chelsea hata bila kugusa nyasi za darajani? Saa nyingine watu wana personal issue zao zaidi ya ushabiki
 
😅🚨 BREAKING: Estevão amechagua nambari 21 Chelsea—sio tu jezi, lakini heshima kwa miaka 21 tangu Arsenal ilipotwaa taji la Ligi Kuu ya Uingereza mara ya mwisho. 💙🔵
@mattlaw

View attachment 3432868
Aisee kweli Arsenal itabaki kuwa timu kubwa tuu.. yani nyie hamjisikii raha mpaka mjifananishe na sisi.
Makombe mnachukua nyie lakini kutwa mnakaa kuiwaza Arsenal 😁

Anyway, naona mmeongeza mpiga nyeto mwengine..
 
Thiago Silva 🆚 PSG vs Chelsea: Legacy Comparison

ClubAppearancesClean SheetsGoalsMajor TrophiesLeadership RoleLegacy Impact
PSG 🇫🇷20492107 Ligue 1 titlesLong-term captainClub legend, defensive anchor
Chelsea 🇬🇧151N/A9Champions League,
Club World Cup
Senior leader,
short-term icon
Fan favorite, elite late-career form
 
Aisee kweli Arsenal itabaki kuwa timu kubwa tuu.. yani nyie hamjisikii raha mpaka mjifananishe na sisi.
Makombe mnachukua nyie lakini kutwa mnakaa kuiwaza Arsenal 😁

Anyway, naona mmeongeza mpiga nyeto mwengine..
Mkuu team kubwa ni ile inayochukua makombe makubwa sio inayoshika nafasi ya pili na huu msimu mnatoka patupu tena
 
Aisee kweli Arsenal itabaki kuwa timu kubwa tuu.. yani nyie hamjisikii raha mpaka mjifananishe na sisi.
Makombe mnachukua nyie lakini kutwa mnakaa kuiwaza Arsenal 😁

Anyway, naona mmeongeza mpiga nyeto mwengine..
Hiyo kauli ni ya kumkumbuka marehemu Arsenal. Hatunaye tena tangu miaka 21 iliyopita
 
Hiyo kauli ya kutuhusisha na Arse8 sio ya uongozi hatuitambui ipuuzwe. Msemaji wetu hapa ni Hziyech22

lembu - Mwenyekiti wetu ila sometimes kwenye mapambano anabaki nyuma nyuma anatupiga mishale mgongoni.
Ukisikia mtu anadai Arsenal yuko hai, huyo atakuwa ni mzimu wake. Arsenal alishafariki miaka 21 iliyopita tangu ile invisible yao. Wamekuwa kama Dume la Nyuki akimpanda Malkia anakufa hapo hapo
 
Enzo Maresca hataki kutegemea mchezaji mmoja nyota pale Darajani.
Anaunda kikosi kama kundi la nyuki—wakikushambulia, hutajua ni nani aliyekupiga shoti. 🐝⚽
Ndiyo maana Chelsea haikujisumbua kusaka majina makubwa kama Viktor Gyökeres, Benjamin Šeško, au Victor Osimhen.
Kwa Maresca, ushindi unatokana na muunganiko wa vipaji, si mng’ao wa mtu mmoja.

1754471399366.png
 
🔥 Utabiri wa Mpangilio wa Top 6 – EPL Msimu wa 2025/26 🔮
1️⃣ Liverpool – Kikosi kipya chenye njaa ya ubingwa, kinaonekana kuja kwa kasi ya radi.
2️⃣ Chelsea – Maresca anajenga mashine ya kisasa; hakuna nyota mmoja, ni mfumo unaoua.
3️⃣ Man City – Ingawa ni mabingwa wa zamani, ushindani unaonekana kuwakalia vibaya msimu huu.
4️⃣ Arsenal – Vijana wa Arteta wanapambana, lakini bado wanahitaji ukomavu wa mechi kubwa.
5️⃣ Man United – Kipindi cha mpito kinaendelea; bado wanatafuta utambulisho wa kudumu.
6️⃣ Tottenham Hotspur – Wanaonyesha dalili za kuimarika, lakini consistency bado ni changamoto.
⚽ Msimu huu unakuja na moto wa ushindani—hakuna nafasi ya makosa! kosa moja utabiri umevurugika 😀
 
🔥 Utabiri wa Mpangilio wa Top 6 – EPL Msimu wa 2025/26 🔮
1️⃣ Liverpool – Kikosi kipya chenye njaa ya ubingwa, kinaonekana kuja kwa kasi ya radi.
2️⃣ Chelsea – Maresca anajenga mashine ya kisasa; hakuna nyota mmoja, ni mfumo unaoua.
3️⃣ Man City – Ingawa ni mabingwa wa zamani, ushindani unaonekana kuwakalia vibaya msimu huu.
4️⃣ Arsenal – Vijana wa Arteta wanapambana, lakini bado wanahitaji ukomavu wa mechi kubwa.
5️⃣ Man United – Kipindi cha mpito kinaendelea; bado wanatafuta utambulisho wa kudumu.
6️⃣ Tottenham Hotspur – Wanaonyesha dalili za kuimarika, lakini consistency bado ni changamoto.
⚽ Msimu huu unakuja na moto wa ushindani—hakuna nafasi ya makosa! kosa moja utabiri umevurugika 😀
Sijui kwanini ila moyo wangu unaniambia tunabeba EPL kwa namna tunavyoseti team yetu na njaa ya vijana naona kabisa linaweza kutokea hili.Simuoni Man city anakaa juu ya Arsenal kwangu utabiri wangu utakuwa hivi
1. Chelsea

2. Liverpool

3. Arsenal

4. Man City

5. Spurs

6. Man United
 
Ngumu
Chelsea wanataka kusafisha takataka kwanza
RB Leipzig wanaweza kuweka ngumu hasa baada ya Newcastle na Man United kuchafua hali ya hewa kwa Sesko
Mchezaji ameshaonesha kuwa hataki kuendelea na team yake na amesema anaitaka Chelsea sizani Kama deal itakuwa ngumu
 
Czan km ni gumu naona mpk Leipzig kwanza wamalizane na mambo ya sesko.....
🚨UPDATES: Chelsea remain in advanced talks over Xavi Simons but no breakthrough yet for two reasons. Leipzig are focused on Sesko deal right now and then also Chelsea are focused on sales. Leipzig will clarify Xavi situation after Sesko deal.

Xavi Simons is waiting for Chelsea to complete their outgoings.

Nicolas Jackson is leaving Chelsea. It’s not a new news if you have been following the channel.

[via Fabrizio Romano]
 
Sijui kwanini ila moyo wangu unaniambia tunabeba EPL kwa namna tunavyoseti team yetu na njaa ya vijana naona kabisa linaweza kutokea hili.Simuoni Man city anakaa juu ya Arsenal kwangu utabiri wangu utakuwa hivi
1. Chelsea

2. Liverpool

3. Arsenal

4. Man City

5. Spurs

6. Man United
Shida ya Chelsea hata kama ulinzi wetu umeimarika haijakomaa kivile, Labda kama Wesley Fofana atakuwa fit kwa mechi sio chini ya 20
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom