Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huwezi kuuza mchezaji ambaye yupo kwenye mipango mbona Lavia na Fofana ni majiruhi kila siku lakini hawauzwi? Kwa sababu wapo kwenye mipango.

Next:- Jackson, Nkunku, Disasi, Santos (Mkopo) Tosin, Sterling, Lavia + Fofana (Cost Benefit Analysis).

Kabla dirisha halijafungwa kuna CBs wawili watashushwa. Believe that.
Kdh hakuwa kwenye mpango wa kuuzwa but imetokea fursa ya kutakiwa na team na Everton wamekuja na offer nzuri ukizitiwa ni mchezaji ambaye wa akiba ndio maana Chelsea haikusita kumuuza. Kumbuka pia Chelsea wapo kwenye mpango wakuuza wachezaji mara chance hiyo imetokea ndio maana wamefanya biashara
 
Huyo Lavia ndio alifanya mpaka Kuna muda tuone team yetu inataka kuchukua ubingwa wa EPL ila baada ya kuumia ndio team ikaanza kupoteza direction. Kwa namna tulivyosajili Lavia anaumuhimu kwasababu nafasi yake Kuna watu watacheza na yeye atakuwa sehemu ya msaada kwahiyo hapaswi kuuzwa
Si kweli Lavia kucheza mechi ngapi msimu uliopita? ,chache sana muda wote alikuwa kitandani .
 
Huwezi kuuza mchezaji ambaye yupo kwenye mipango mbona Lavia na Fofana ni majiruhi kila siku lakini hawauzwi? Kwa sababu wapo kwenye mipango.

Next:- Jackson, Nkunku, Disasi, Santos (Mkopo) Tosin, Sterling, Lavia + Fofana (Cost Benefit Analysis).

Kabla dirisha halijafungwa kuna CBs wawili watashushwa. Believe that.
KDH hakuwa kwenye mpango, nilisema amekuwa squad player asiye na manung'uniko. Squad player ni kama spair part ya tairi linalowekwa nyuma ya gari. Inaeza ikapita mwaka mzima bila kutumika.
Niweke sawa hapa
Squad player kwa kawaida ikitokea ofa haachi kuzwa
Squad player wengine ni kama
Badiashile hata sasa ni squad player
Christopher Nkunku kwa msimu uliopita
Filip Jorgensen hadi sasa
George
Asheampong
Nicolas Jackson - Msimu huu
Marc Guiu - kashatolewa mkopo NK
Hao squad player ni opportunity sale. Hawauzwi ila ikitokea ofa nzuri anauzwa ndicho kilichotokea kwa KDH
 
Enzo Maresca na timu yake ya ukufunzi waliachwa "bila kauli" na impression ya kwanza ya Estevao kwenye mazoezi.

Katika mechi ya kwanza ya mazoezi, alifunga hattrick.

Alikuwa wa kwanza kufika, na pia wa mwisho kuondoka, alitumia masaa 2 katika ofisi ya Maresca kuzungumza mbinu za mpira.
1754334779646.png
 
Enzo Maresca na timu yake ya ukufunzi waliachwa "bila kauli" na impression ya kwanza ya Estevao kwenye mazoezi.

Katika mechi ya kwanza ya mazoezi, alifunga hattrick.

Alikuwa wa kwanza kufika, na pia wa mwisho kuondoka, alitumia masaa 2 katika ofisi ya Maresca kuzungumza mbinu za mpira.
View attachment 3431486
Huyu boya alikua anaongea lugha gani wakati Palma alituambia kingereza hajui.
 
Huyu boya alikua anaongea lugha gani wakati Palma alituambia kingereza hajui.
Italiano ni lugha ya asili ya Vulgar Latin
Estevao Willian wanatumia Kireno ambayo asili yake ni Vulgar Latin
Labda wanaelewana kwa upande huo
AU wametumia mtafsiri wa lugha kama alivyofanya kwenye Kombe la Dunia alipoongea na Cole Palmer
 
Enzo Maresca na timu yake ya ukufunzi waliachwa "bila kauli" na impression ya kwanza ya Estevao kwenye mazoezi.

Katika mechi ya kwanza ya mazoezi, alifunga hattrick.

Alikuwa wa kwanza kufika, na pia wa mwisho kuondoka, alitumia masaa 2 katika ofisi ya Maresca kuzungumza mbinu za mpira.
View attachment 3431486
We hii taarifa umeipatia wapi mbona ya ndani sana
 
Chelsea imewatoa wachezaji 9 kwenye tovuti ya klabu (ukurasa wa wasifu):
  1. Raheem Sterling
  2. Ben Chilwell
  3. Renato Veiga
  4. Armando Broja
  5. Lesley Ugochukwu
  6. Axel Disasi
  7. Datro Fofana
  8. Carney Chukwuemeka
  9. Alfie Gilchrist
 
Naishauri EPL Waweke utaratibu wa wachezaji pinzani kunywa maji au energy drinks kwenye mechi za chelsea, imagine PSG tulikuwa tunamkula na maji tunampa ili apate nguvu 😂
 
Ligi ya Brazili iko physical na tumemuona kwenye FIFA Club World Cup alivyocheza na kubeba MOTM mara 2 Palmeiras walipocheza na kutoa droo dhidi ya Porto na 2-0 dhidi ya Al Ahly
Timu za Brazil pia kwenye club world cup wamefanya vzuri Kuna timu Moja ilimfunga inter mwana FAINALI ya UEFA nyingine ikawatoa Al hilal..bila kusahau flamengo walivyowafunga Chelsea
 
Umemwita boya ukimaanisha nini mkuu; naomba kufahamu ili yawezekana kuna jambo nikajifunza kwako.
Nilimuona ni kichwa upepo alivyowafunga chelsea akashangilia!, hakumwona Jao Pedro.
Ajitahid tu afanye vizuri. Simuoni akifanya vizur ana uduanzi flani hivi. Brazilian madueke.
 
Esetvao Willian ameshabatizwa au kusilimishwa huyu kila kitu chake sasa ni BLUUU

🚨| RASMI: Chelsea wamemtambulisha rasmi Willian Estevão, mwaka mmoja baada ya kuafikiana usajili wake na Palmeiras. 🇧🇷✔️

Kuhusu malengo ya muda mrefu Chelsea Esetavao Willian anasema

"Malengo yangu ya muda mrefu katika Chelsea ni kwamba nataka kushinda mataji yote iwezekanavyo: Ligi ya Premia na UCL pia. Na binafsi, kuwa mchezaji bora zaidi duniani na kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili ndoto hizi zitimie"
1754420734835.png
1754421098850.png

1754420930697.png
 
🗣 Estêvão: "Nilikuwa na karibu mwaka mmoja na nusu kusubiri hadi nifike hapa. Lakini imekuwa mwaka mmoja na nusu kwamba nimefanya kazi kwa bidii na nimefanya niwezavyo kufika hapa katika hali bora zaidi.

Nimefurahi sana sana. Ni uzoefu mpya katika maisha yangu, hatua mpya. Ninaisubiri kwa hamu na ninatumai itaenda vizuri iwezekanavyo."
1754421557034.png
 
Huyu jamaa alirushiwa madongo sana alipoajiriwa na timu, ila sasa manufaa yake yanaonekana

Willie Isa yupo kwa kila kipindi, kila safari, kila mchezo. Juu ya lami kwa ajili ya joto-up. Karibu na handaki kwa wakati wote ili kupeana mkono wa kila mchezaji wanapotoka. Yupo kusikiliza na kuzungumza.
@kierangill_DM

Willie Isa, nyota wa ligi ya raga ambaye aliifanya Chelsea kuwa mabingwa wa dunia wa dunia: Ndani ya jukumu lake kama 'mbunifu wa kitamaduni', majukumu muhimu siku za mechi na wachezaji wapya ... na wakati wa kutisha alilazimika kuwa mlinzi wa wachezaji.
1754424157102.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom