Wamepigwa za uso wapi ndg?
- Mbona Christopher Nkunku anauzwa?
- Raheem Sterling na Ben Chilwell wamepigwa ban kushiriki mazoezi na timu ya kwanza. Maresca hafurahii kuwa na wachezaji wasiokuwa sehemu ya mpango wake.
Wachezaji kama Wesley Fofana na Romeo Lavia wanaaminika na kocha kiasi cha kupewa nafasi ya kusubiri hata wakiwa majeruhi—ndio maana hataki kuwaondoa.
Uelewa huu ni muhimu, ndugu:
🤔 Wanaouzwa ni wale ambao uongozi hauna tena mpango nao, si tu kwa sababu ya majeraha.
🔄 Wanaobaki ni wale ambao, hata majeruhi, bado wana thamani ya kiufundi na kimkakati.
Katika dirisha hili la usajili, kila kitu ni wazi Wesley Fofana na Rom,eo Lavia wako wazima, lakini kocha ana blueprint yake. Na blueprint Wesley Fofana naRomeo Lavia wako kwenye mpango wake wa kimkakati na kimbinu na kiufundi msimu ujao