Tunafuatilia sana hadi Real Madrid wameacha kucheza Alonso anaweza asiilete timu uwanjani baada ya HT😀Jamani ambao hamuangalii hii game ya PSG mnakosa kujifunza kitu muhimu sana. Nina imani Maresca huko anaangalia hii game na benchi lote la ufundi
PSG 3 - 0 MADRID
Sie si arsenal au Liverpool au R Madrid jumapili njoo uoneAisee! Mjiandae kisaikolojia
Haha sawa tutaonaSie si arsenal au Liverpool au R Madrid jumapili njoo uone
Courtois anajitahidi sana kupunguza idadi ya magoli. Quality kama hii tunaitaka kwa Sanchez. Imagine Dembele huyu anakutana na beki BadiasheliTunafuatilia sana hadi Real Madrid wameacha kucheza Alonso anaweza asiilete timu uwanjani baada ya HT😀
Huyo Lavia mlitusaidia sana kumchukua 🤣🤣Enzo & Caicedo hizi mashine zipewe maua yao. Work rate yao ni kubwa sana uwanjani.
Tungepata mbadala wa Lavia wakina Enzo na Caicedo wakawa huru kutembea uwanjani aisee eneo la kiungo lingekuwa moto sana.
Lavia majeruhi ndio changamoto.
Labda Santos anaweza kufanya jambo, japokuwa kwa sasa ni mzito sana.
Eee naona saiv mmekaa ki bingwa bingwa 🤣🤣🤣Kocha wetu tunaweza kumsema vibaya but kiukweli wakati mwingine anafanya vizuri tumsifie, Jana tumepiga mpira mkubwa kuliko mechi zote za michuano hii.Mimi napenda namna tunavyofika mbali kiasi hiki faida yake inasaidia Nini? Tunajenga mentality wachezaji kuwa na uchu ya ubingwa na pia kwa kocha uzoefu wake kuongezeka baadae tutakuwa tishio sana team imejipata mapema kuliko namna wapinzani wetu wanavyofikiri
Hahahaa hatariHuyo akizeeka watamuita mchawi aisee😂
Unajikojolea wewe amka kitandani!Nimeanglia mpira vzur Chelsea anaweza kumfunga PSG final madrid hakucheza kitimu
basi peleka hiyo timu yako inayocheza kitimuNimeanglia mpira vzur Chelsea anaweza kumfunga PSG final madrid hakucheza kitimu
Hupangiwi stress bali unaelezwa jinsi watu tunavyotofautiana mitazamo.Sasa Unanipangia stress mzee😂