Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
Kila lenye heri Chelsea FC, ila...Jamani hawa PSG mnawaona? Challenge kama hii ndio tunaitaka sasa
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Kila lenye heri Chelsea FC, ila...Jamani hawa PSG mnawaona? Challenge kama hii ndio tunaitaka sasa
Jumaapili utaonafrom
Jumaapili sio mbali tuombe Uzima tuUnajikojolea wewe amka kitandani!
Mark my tweet
Wewe sio wa kwanza kum underrate Chelsea, before game na fluminens walisema tutafungwa lakini bado Chelsea inadunda,binafsi bado siamini kama Chelsea Anafungwa kirahisi hivoUnajikojolea wewe amka kitandani!
Baki na mitazamo Yako na maresca Bado yupo........Hupangiwi stress bali unaelezwa jinsi watu tunavyotofautiana mitazamo.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Who cares? Mfano we mnyalukole kuishabikia Chelsea FC si kiherehere chako binafsi? Chelsea FC inakujua au usipoishabikia inapungukiwa nini zaidi?Baki na mitazamo Yako na maresca Bado yupo........
Una utani na Makolokolo wenye CV za kususa susa wewe...Wanetu wa Chelsea mtapeleka timu kweli Jumapili?
Una utani na Makolokolo wenye CV za kususa susa wewe...
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Sometimes mchezaji kuwa mzuri au mbaya hutokana na Kocha mwenyewe na mifumo yake.Jamani jamani chelsea mkiweka yule beki wenu mwenye nywele kama kimba la mavi aloohhhh, barcola atamlambisha nyasi mpaka basi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uelewe usielewe maisha lazima yaendelee na hakuna namna zaidi ya mvua kunyesha ili tujue panapovuja.Jumapili ndio utaelewa kuwa ubinadamu ni kazi
Beki zitalamba sana nyasiUelewe usielewe maisha lazima yaendelee na hakuna namna zaidi ya mvua kunyesha ili tujue panapovuja.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Acha zilambe ili Matapeli ya Chelsea FC "wadhamini" waaibike na kujuta kwanini walikataa kumsajili Luis Enrique kuwa Kocha wa Chelsea FC na kumleta Kocha toka underdog team "Leicester city FC".Beki zitalamba sana nyasi
Wewe unajua sokaNimeanglia mpira vzur Chelsea anaweza kumfunga PSG final madrid hakucheza kitimu